Tuesday, July 25, 2017
Graves of The Innocents (Makaburi Yasiyo na Hatia)- 6
Monday, July 24, 2017
Seven Days In Hell (Siku Saba Kuzimu)- 6
Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 5
Thursday, July 20, 2017
Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 4
Seven Days in Hell (Siku Saba Kuzimu)- 3
Graves of The Innocents (Makaburi ya Wasio na hatia) - 5
Makaburi ya Wasio na Hatia (The Graves of the Innocents)- 4
Wednesday, July 19, 2017
MAKABURI YA WASIO NA HATIA (GRAVES OF THE INNOCENTS)- 3
Tuesday, July 18, 2017
MAKABURI YA WASIO NA HATIA (GRAVES OF THE INNOCENTS)- 2
MAKABURI YA WASIO NA HATIA (GRAVES OF THE INNOCENTS)- 1
Monday, January 2, 2017
SEVEN DAYS IN HELL (SIKU SABA KUZIMU)- 2
Ilibidi nimsogelee dereva mwingine wa bodaboda, naye nikamsalimia kwa bashasha lakini hakunijibu, nikarudia tena na tena lakini bado hali ilikuwa ileile, nikaenda kwa watatu ambaye alikuwa akipiga stori na wenzake, naye akaonyesha kutonisikia.
Saturday, December 31, 2016
SEVEN DAYS IN HELL! (SIKU SABA KUZIMU)-1
Kwa kutumia mikono yangu miwili, nilijaribu kuminya pale kwenye jeraha kubwa ili kuzuia damu isiendelee kunimwagika lakini nilijikuta mikono ikikosa nguvu, kadiri muda ulivyokuwa unasonga mbele ndivyo nilivyokuwa nazidi kuishiwa nguvu.
Saturday, June 25, 2016
PENZI LILILOKUFA (DEAD LOVE)- 1
Kadiri muda ulivyokuwa unasonga mbele, ndivyo upepo ulivyokuwa ukizidi kuongezeka huku wingu jeusi likianza kutanda angani. Watu wote waliokuwa wakiufurahia upepo wa baharini, sasa walianza kuuona kuwa kero kwani ulikuwa ukiambatana na baridi kali huku kijua cha jioni kilichokuwa kikiwaka, kikimezwa na wingu zito jeusi.
Watu waliokuwa wamekaa ufukweni, waliendelea kupungua kwa kasi na muda mfupi baadaye, ufukwe ulikuwa kimya kabisa huku ngurumo za hapa na pale zikianza kusikika kuashiria mvua kubwa iliyokuwa ikitaka kunyesha.
Wednesday, August 19, 2015
MY REPENTANCE (KUTUBU KWANGU)- 1
Niliolewa na mume wangu kipenzi, Ibrahim au Ibra kama mwenyewe nilivyozoea kumuita ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye benki moja maarufu ambayo sitaitaja jina kwa sababu maalum, iliyopo hapa jijini Dar es Salaam.
Kabla Ibra hajanioa, tulidumu kwenye uchumba kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja, kipindi hicho nikiwa nasoma chuo kimoja cha uhasibu kilichopo Posta, katikati ya Jiji la Dar es Salaam, nikiwa ndiyo kwanza nimeanza mwaka wa kwanza.
Baada ya ndoa, mimi na Ibra tulihamia Mbezi Beach kwenye nyumba yetu ambako tuliishi pamoja mpaka tulipokuja kutengana kwa sababu ambazo ndizo hasa zilizonifanya nitafute nafasi hii ya kutubu hadharani na kukiri kwa kinywa changu yote niliyowahi kuyafanya.
Nimesukumwa kuja kusimulia mkasa wangu huu kwa sababu nataka watu wajifunze kupitia maisha yangu na Ibra. Najisikia aibu sana, najikaza tu kwa sababu nataka wanawake wenzangu waelewe kilichonitokea na kamwe wasifuate njia kama ambazo mimi nilipita. Pia iwe funzo kwa wanaume, hasa wale ambao wapo ndani ya ndoa.
Nasikitika kwamba nimekuwa kikwazo kikubwa katika maisha ya Ibra, mwanaume niliyetokea kumpenda kwa moyo wangu wote lakini kwa sababu ya mapungufu ya kibinadamu ambayo nitayaelezea, nikageuka na kuwa mwiba mkali kwenye maisha yake.
Nilisema tangu awali na nitaendelea kusema kwamba sijawahi kutokea kumpenda mwanaume kama nilivyompenda Ibra ila hata sielewi ni kitu gani kilichosababisha haya yote yatokee.
HEART ATTACK (SHAMBULIO LA MOYO)- 1
Radi kali na ngurumo za kutisha zilikuwa zikisikika huku na kule na kuzidi kuifanya hali kuwa tete. Manyunyu yaliongezeka na muda mfupi baadaye, mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali ilianza kumwagika. Watu wote walikimbilia majumbani mwao, huku wengine wakijibanza kwenye viambaza vya nyumba na maduka kujisitiri na mvua hiyo.
“Kaka amka tunataka kufunga baa.”
“Niongeze bia moja baridi na kiroba.”
“Inamaana hii mvua wewe huisikii au?”
“We mhudumu, nimekwambia ongeza bia, kwani wewe ndiyo umenileta hapa, sitaki kuwahi kurudi nyumbani kwani moto unawaka.”
“Kivipi?”
“Naishi na mwanamke ambaye ni tatizo kubwa maishani mwangu, yaani muda mwingine natamani kujifia niepuke mateso haya,” kijana mmoja mdogo alikuwa akijibizana kilevi na mhudumu wa baa ndogo ya Mpakani. Licha ya mvua kubwa iliyokuwa inamwagika, kijana huyo hakuonekana kujali, pombe zilikuwa zimemzidi lakini bado alikuwa anataka kuendelea kunywa.
A BOOK OF SATAN (KITABU CHA SHETANI)- 1

“Hee! Tayari ni saa moja? Mungu wangu, nitachelewa kazini,” Edmund Katera ‘Mundi’, kijana mdogo aliyekuwa akifanya kazi katika kampuni kubwa ya mawasiliano ya Hashcom Mobile kwenye kitengo cha Teknolojia ya Mawasiliano (Information Technology) alikurupuka kutoka usingizini na kukimbilia kwenye kabati lake la nguo kwa lengo la kuchukua taulo.
Harakaharaka akatoka mpaka nje na kuchukua ndoo ya maji ya kuoga huku mswaki ukiwa mdomoni, akatembea kwa hatua za haraka mpaka bafuni ambapo alijimwagia maji bila kujali ubaridi uliokuwepo asubuhi hiyo kutokana na mvua iliyokuwa inaishia.
NILIMUUA NIMPENDAYE (I KILLED MY BELOVED ONE)- 1

Ni hapo ndipo mimi na ndugu zangu wa tumbo moja tulipokulia hadi tulipokuwa wakubwa. Kwa kweli kwa kipindi cha utotoni, tuliishi maisha mazuri sana kwani baba yetu alikuwa akijiweza kifedha hivyo alituhudumia vizuri kwa mavazi, chakula na elimu bora.
Nakumbuka sisi ndiyo tulikuwa wa kwanza kumiliki runinga mtaani kwetu na ndiyo tulikuwa wa kwanza kupelekwa shuleni na ‘school bus’, tukisoma katika shule iliyokuwa inafundisha masomo yote kwa Kiingereza (English Medium), iliyokuwa nje kidogo ya jiji.
Mama yetu hakuwa akifanya kazi, alikuwa akishinda nyumbani kuhakikisha sisi wanaye tunapata kila tulichokihitaji, ikiwemo malezi bora. Kutokana na aina ya malezi tuliyolelewa, tulikuwa tofauti sana na watoto wengine tuliokuwa tukiishi nao mtaani kwetu.
Mimi na ndugu zangu wengine wa kike hatukuwa sawa na wasichana wengine mtaani kwetu ambao walianza kujihusisha na mapenzi wakiwa na umri mdogo, wengi wakitoka na wanaume wenye umri mkubwa, sawa na baba zao.
CRUEL WORLD (DUNIA KATILI)- 1

“Sukuma! Sukumaaa! Jikaze mwanangu... moja... mbili... tatu... haya sukumaaa!” sauti ya mkunga wa jadi, Mama Anunu ilisikika kutoka ndani ya kibanda cha nyasi na miti, akimhimiza msichana mdogo aliyekuwa na ujauzito mkubwa, Adelina kujitahidi ili hatimaye ajifungue.
Licha ya ujauzito wake kutimiza umri wa miezi kumi na moja, Adelina alishindwa kabisa kujifungua. Alishahangaika sana kwenye hospitali mbalimbali bila mafanikio, alishapewa dawa za kuongeza uchungu mara kadhaa bila mafanikio, mwisho ndipo aliposhauriwa kwenda kwa mama Anunu.
Mwanamke huyo, licha ya kuzuiwa na serikali kufanya shughuli za ukunga nyumbani kwake na badala yake akaambiwa awe anawapa washauri waende hospitali na kwenye vituo vya afya kwa usalama wao, bado aliendelea na kazi yake kwa siri, akiwasaidia wengi ambao ujauzito wao ulikuwa na matatizo na wale ambao hawakuwa na uwezo wa kusafiri mpaka hospitalini, kilometa nyingi kutoka eneo hilo.
Monday, August 3, 2015
A BOOK OF SATAN (KITABU CHA SHETANI)- 1
Wednesday, May 27, 2015
RAY AMKANA MTOTO WA JOHARI
Msanii wa filamu za Kibongo, Raymond Kigosi 'Ray' amemkana mtoto wa mpenzi wake wa muda mrefu, Blandina Chagula 'Johari' aitwaye Maria na kusisitiza kuwa mtoto huyo si damu yake.
Ray aliulizwa kuhusu mtoto wa Johari mbele ya Chuchu, akamkana na kwenda mbali zaidi kwa kusema ni jambo la heri kujiweka mbali na watu wanaotafuta umaarufu kupitia yeye.
"Achaneni na hayo mambo, sihusiki na lolote na jambo la mtoto na sipendi kabisa kuzushiwa mambo kama hayo, watu wasinitafsiri kwa minong'ono na badala yake wafuate ninachosema, kwa sasa mwanamke wa maisha yangu ni Chuchu na ntakuwa natembea nae kila mahali ili nione hao wanasema mimi ni mpenzi wao.
Monday, May 25, 2015
WEMA: NAMPENDA ZARI
Mwanadada Wema Sepetu, amefunguka kwamba hana tatizo na Zarina Hassan 'zari' licha ya kuwa mrembo huyo anatoka na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul 'Diamond'.
Wema aliyasema hayo usiku wa jana mei 25, 2015 katika kipindi cha Ala Za Roho kinachoongozwa na Loveness Malinzi 'diva' wakati akihojiwa.
Mmmh! Karama utaoa kweli ???
Mwanamuziki Luteni karama juzi jumamosi amemvalisha pete ya uchumba mpenz wake wa siku nyingi pia ni mwanamuziki Isabella mpanda "Bella" tukio hilo lilifanyika katika ukumbi wa klabu kakala iliyopo kigamboni jijini Dar es salaam
Tuesday, January 6, 2015
CAMERON DIAZ AND MADDEN ARE MARRIED!
Credits: E! News
JIMBO LA KILOSA; MAPIGANO, HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII NI TATIZO SUGU
Na Hashim Aziz
Mkullo (kulia) |
![]() | |
Mkullo |
IDI AMINI DADA; MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU

Monday, January 5, 2015
BOKO HARAM FIGHTERS OVERPOWER MULTINATIONAL FORCE
BAUCHI, Nigeria – Boko Haram Islamic extremists have overpowered a multinational military force and seized its key base on Nigeria's border with Chad, according to residents who took to canoes to escape.
Scores of soldiers and civilians were killed, while others drowned in Lake Chad, Nigerians taking refuge in a Chadian village said in cell phone calls Sunday night. They said insurgents fired rocket-propelled grenades and automatic assault rifles and hurled explosives.
![]() |
Boko Haram |
Tuesday, December 30, 2014
PATRICK PHIRI ATIMULIWA SIMBA
Phiri aliwahi kuwa kocha wa klabu hiyo mnamo mwaka 2003-2005 kabla hajaondoka na kurudi kwao Zambia kuifundisha timu yake ya taifa mnamo 2005-2008 baada ya hapo alirejea tena kuinoa Simba 2008-2011 kabla hajatimuliwa kwa mara nyingine tena. Phiri atakumbukwa kwa mengi sana ikiwemo ya kucheza ligi kuu bila ya kufungwa hata mechi moja rekodi aliyoiweka mwaka 2010-2011.
Kutimuliwa kwa Phiri kunakuja siku chache baada ya kutimuliwa kwa kocha wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo.
Sunday, December 28, 2014
MY REPENTANCE (KUTUBU KWANGU)- 4
ILIPOISHIA:
Friday, December 26, 2014
KUTUBU KWANGU (MY REPENTANCE)- 3
ILIPOISHIA:
Wednesday, December 24, 2014
A MAN WHO SHOOT OSAMA PROBED FOR RELEASING CLASSIFIED INFORMATION
![]() |
Robert O'neill |
TRIBAL MILITANT ATTACKS KILL AT LEAST 54 IN INDIA
KUTUBU KWANGU (MY REPENTANCE)- 2
ILIPOISHIA:
Tuesday, December 23, 2014
MREMBO APIGWA RISASI, AFARIKI
Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo eneo la tukio, majambazi hao walikuwa wametoka kufanya uhalifu kwenye kibanda kimoja cha M-Pesa kilichopo jirani na eneo hilo, wakati wakiondoka wakawa wanarusha risasi hovyo na moja ikampata mrembo huyu na kuyakatisha maisha yake papo hapo.
![]() |
mwili wa marehemu baada ya kupigwa risasi |
CHE GUEVARA, MAMBO 10 USIYOYAJUA!
Na Hashim Aziz
![]() |
Ernesto Che Guevara |
KUTUBU KWANGU (MY REPENTANCE)- 1
Wednesday, November 5, 2014
MBINU 10 ZA KUFUFUA PENZI LILILOKUFA
NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa. Ni wiki nyngine tunapokutana kwenye busati letu ambapo tunajuzana na kujadiliana mambo mbalimbali kuhusu uhusiano wa kimapenzi.
MMEGOMBANA NA MPENZI WAKO? FUATA MBINU HIZI KURUDISHA MAPENZI
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...

-
Geneviv ni binti mdogo ambaye amezaliwa katika familia yenye maisha mazuri sana.Mungu amemjaalia kuwa na sura nzuri yenye mvuto.Bahati mbaya...
-
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...