Mwanadada Wema Sepetu, amefunguka kwamba hana tatizo na Zarina Hassan 'zari' licha ya kuwa mrembo huyo anatoka na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul 'Diamond'.
Wema aliyasema hayo usiku wa jana mei 25, 2015 katika kipindi cha Ala Za Roho kinachoongozwa na Loveness Malinzi 'diva' wakati akihojiwa.
Monday, May 25, 2015
WEMA: NAMPENDA ZARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-D9-f4g7v325whUZRZ0JZ7ywMS0QRURT7TipyByg4BjtHH5lqO6cKJRC0qEcCS8pvkXF-SbxNNlp87yzsMx1AmYQGgWmK-uMzhv-50LvY2KmBGdmwgl3S6V4doAhKCKFjufGtevgGA5gdrgMDo9SFlJ5NUBC0XI_m2lmdfMcZDUckKwhJ5W5N-Bd8/w545-h307/Untitled%20design.jpg)
-
Ni wiki nyingine ambapo mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba ambapo tunajadiliana mambo mbalimbali yanayohusu ...
-
Geneviv ni binti mdogo ambaye amezaliwa katika familia yenye maisha mazuri sana.Mungu amemjaalia kuwa na sura nzuri yenye mvuto.Bahati mbaya...
No comments:
Post a Comment