Friday, November 30, 2012

SIKU YA UKIMWI DUNIANI, UNAIADHIMISHAJE?

HASH POWER 7113
Desemba Mosi, kila mwaka huwa kunafanyika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani. Wewe utaiadhimishaje siku hii mwaka huu? 

WORLD'S AIDS DAY 

Thursday, November 29, 2012

FIRST LADIES, MICHELLE OBAMA & NETANYAHU'S WIFE

HASH POWER 7113// Acreditation: Michelle Obama Pics


0
First Lady Michelle Obama has tea with Mrs. Netanyahu, wife of Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu, in the Yellow Oval Room of the White House, July 6, 2010. (Official White House Photo by Samantha Appleton)

CONGO ACCUSES RWANDA OF SHIELDING WAR CRIMINAL

HASH POWER 7113 (Acreditation: Yahoo News)
Congo Rebels (M23)

UNITED NATIONS (Reuters) - The Democratic Republic of Congo accused neighboring Rwanda on Wednesday of supporting a rebellion in the country's east to prevent the arrest of former Congolese general Bosco Ntaganda who is wanted by the International Criminal Court.

KABURI LA SHARO MILIONEA HILI HAPA

Hii ndiyo nyumba ya milele ya Sharo, mahali alipozikwa.
HASH POWER 7113
Mazishi ya msanii maarufu wa Komedi na muziki wa Bongo Fleva, Hussein Mkiety 'Sharo Milonea' yalifanyika jana nyumbani kwao, kijiji cha Lusanga- Muheza mkoani Tanga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji.
Innah Lillah Wayna Illaih Rajiun!
Nyumbani kwa marehemu

Mama mzazi wa Sharo

Sehemu ya waombolezaji

Mzee Majuto msibani

Tuesday, November 27, 2012

UNENE WA KUPINDUKIA (OBESITY)


Wengi huwa wanaamini unene ndiyo afya, kwamba mtu mnene ana afya njema kuliko mwembamba lakini ukweli ni kwamba unene wa kupindukia (obesity) ni tatizo ambalo kila anayependa kuishi maisha marefu anapaswa kupigana nao.
Obesity ni hali ambayo mafuta yaliyozidi mwilini (excess body fat) hujikusanya katika sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo kwenye moyo, na kusababisha madhara makubwa ya kiafya kwa mhusika ikiwemo magonjwa ya moyo, kisukari au wakati mwingine vifo vya ghafla.
UTAJUAJE KAMA UNA OBESITY?
Wengi hushindwa kuelewa kama unene walionao ni wa kawaida au la, naamini baada ya kusoma mada hii, kila mmoja atakuwa na uwezo wa kujitambua mwenyewe bila hata kwenda kwa daktari.
BODY MASS INDEX (BMI)

UGONJWA WA KISUKARI (DIABETES MELLITUS)

HASH POWER 7113


Kisukari ni ugonjwa unaosababishwa na kuzidi kwa kiwango cha sukari mwilini, kunakoweza kusababishwa na ulaji mwingi wa sukari au kushindwa kwa kongosho (pancrease) kuzalisha kichocheo cha Insulin ambacho ndiyo hufanya kazi ya kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu.
Ugonjwa huu ni miongoni mwa magonjwa yanayowatesa watu wengi duniani, huku ukielezwa kusababisha vifo vingi
Aina za Kisukari

IS JAY Z MASONIC?

HASH POWER 7113
Rumours are trending worldwide claiming that the Rap Mogul, Shawn Carter is a mason, and that he believes in Light Bearer! No confirmation has yet been found but the symbols and words Hova uses, signify something beyond normal understanding.

Wednesday, September 5, 2012

Monday, September 3, 2012

MWANDISHI WA HABARI, DAVID MWANGOSI AUAWA KWENYE VURUGU ZA POLISI VS CHEDEMA

HASH POWER 7113// ACREDITATION: RUNDUGAI BLOG



Hapa polisi wakiwataka wafuasi wa Chadema kutawanyika eneo la tukio ofisi za Chadema Nyololo Mufindi


Mwili wa mwanahabari Daud Mwangosi ukiwa chini

Tuesday, August 21, 2012

MBUNGE WA IGUNGA AVULIWA UBUNGE

HASH POWER 7113
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa alipokuwa anamnadi Kafumu kwenye kampeni
Aliyekuwa mbunge wa Igunga, Tabora kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dalali Peter Kafumu amevuliwa ubunge wa jimbo hilo na Mahakama Kuu Kanda ya Tabora baada ya kubainika kuwa hakumshinda kihalali mpinzani wake, Kashinje wa Chadema.
Mahakama hiyo imechukua hiyo leo baada ya kuridhishwa na ushahidi wa pande zote mbili ambapo pia imebainika kuwa viongozi mbalimbali wa kiserikali, wakiwemo mawaziri na viongozi wastaafu walishirikiana kuwarubuni na kudaiwa kutoa rushwa kwa wananchi wa jimbo hilo ili Kafumu ashinde.
Habari hizo si nzuri kwa wanachama wa CCM ingawa kwa upande mwingine zimepokelewa kwa shangwe na mashabiki wa vyama pinzani hususan Chadema.

MELES ZENAWI DIES AT THE AGE OF 57

HASH POWER 7113// Acreditation: BBC News

Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi has died at the age of 57, state media say, after weeks of illness.
A government spokesman said Mr Meles had died in a hospital abroad - but did not say exactly where or give details of his ailment.
Meles Zenawi
Speculation about his health mounted when he missed an African Union summit in Addis Ababa last month.
Mr Meles took power as the leader of rebels that ousted communist leader Mengistu Haile Mariam in 1991.
He had dominated Ethiopian public life since the 1990s, as president and then prime minister.
He was austere and hardworking, with a discipline forged from years spent in the guerrilla movement - and almost never smiled, says Elizabeth Blunt, the BBC's former correspondent in Addis Ababa.

Monday, August 20, 2012

YU WENXIA- MISS WORLD 2012

HASH POWER 7113
Mashindano ya kumsaka Miss World 2012 yaliyofanyika Agosti 18, 2012 katika ukumbi wa Dongsheng Fitness Center, Ordos, Mongolia nchini China na kushirikisha warembo 116, Tanzania ikiwakilishwa na Lisa Jensen, yamemalizika na kumtangaza Yu Wenxia wa China kuwa mshindi.
Nafasi ya pili ilishikwa na Sophie Moulds wa Wales na ya tatu ikachukuliwa na Jessica Kahawaty.

Nafasi ya nne hadi ya saba zilichukuliwa na Deanna Robins wa Jamaica, Atong Demach wa Sudan Kusini (ameshinda taji la Miss Afrika), Mariana Notarangelo wa Brazili na Vanya Mishra wa India.
 




Sunday, August 19, 2012

EID MUBARAK 2012

HASH POWER 7113
 May Allah bless you all on this auspicious day of Eid,
and May it be a new beginning of happiness.
May the day delight
and the moments measure all the special joys
for all of you to treasure.
May the year ahead be fruitful too,
for your home and family and specially for you
Wish you a Happy Eid Mubarak


Friday, August 17, 2012

South Africa bloody killings of miners (Mauaji ya kutisha ya wachimba madini Sauzi)

HASH POWER 7113// Acreditation: Reuters, Yahoo News

Photo: Reuters
Crime scene investigators combed the site of the shooting, which was cordoned off with yellow tape, collecting spent cartridges and the slain miners' bloodstained traditional weapons - machetes and spears.
Six firearms were recovered, including a service revolver from one of the police officers killed earlier in the week.
Prior to Thursday, 10 people had died in nearly a week of conflict between rival unions at what is Lonmin's flagship plant

Wednesday, August 15, 2012

VURUGU ZA WACHIMBA KOKOTO ZAFUNGA BARABARA KIGAMBONI

HASH POWER 7113//Acreditation: Global Publishers

Wanausalama wakizima moto uliosababishwa na mataili yaliyochomwa na wachimba kokoto.…

Sunday, August 12, 2012

Dk Ulimboka arejea kwa kishindo

Dk Ulimboka kabla hajaanza kutibiwa.
Kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk. Steven Ulimboka amerejea leo kutoka nchini Afrika Kusini alikopelekwa kwa matibabu baada ya kutekwa, kuteswa kisha kutupwa kwenye msitu wa Mabwepande na watu wasiojulikana. Umati mkubwa wa watu ulijitokeza kumlaki alipowasili majira ya saa 8:15 mchana, Jumapili ya Agosti 12, 2012.
Dk Uli anasema yupo fit kuendelea na majukumu yake kama kawaida. 
Dk Ulimboka wakati akitibiwa, kabla ya kupelekwa Afrika Kusini.

Dk Ulimboka, aliyeshika maua wakati akirejea nchini.

Friday, August 10, 2012

Eminem awashukuru mashabiki waliomsaidia kuachana na drugs

HASH POWER 7113// Acreditation: AP, Yahoo News

NEW YORK (AP) — Eminem, who battled an addiction to prescription drugs, thanked his fans at a New York concert for helping him get through dark times.
The 39-year-old told hundreds Thursday night that he "wouldn't have gotten out of that dark place without y'all" before he performed the Grammy-winning song "Not Afraid." He said the performance was "dedicated to anybody tonight who's been through personal struggles."

Monday, August 6, 2012

KEAGAN ANYAKUA DOLA 300,000 BBA STARGAME

HASH POWER 7113


Johannesburg, Afrika Kusini
Lile shindano lililowabamba watu kibao ndani na nje ya Bara la Afrika la Big Brother Africa ‘Stargame’, Jumapili iliyopita lilifikia tamati ambapo mshiriki kutoka Sauzi, Keagan Petersen aliibuka kidedea na kunyakua kitita cha dola 300,000 (zaidi ya Sh. Milioni 450) huku Prezoo kutoka Kenya akishika nafasi ya pili.
Kwa mujibu wa wadau waliokuwa wanalifuatilia shindano hilo, Prezoo aliyekuwa na nafasi kubwa ya kuibuka kidedea, ameponzwa na tabia yake ya kucheza na mioyo ya mabinti mjengoni, kutokuwa mkweli kwenye mapenzi kama ilivyotokea kwa Goldie na kupenda ugomvi na ulevi wa kupindukia, mambo yaliyompunguzia mashabiki na hivyo kukosa kura nyingi.
Hata hivyo, licha ya kushika nafasi ya pili, Prezoo amelamba dili la nguvu la kuwa balozi wa Kampeni ya ONE na kupata zali la kwenda kuhudhuria shoo ya Jay Z nchini Marekani siku chache zijazo.
Washiriki kutoka Tanzania, Hilda na Julio walitolewa katika hatua ya kwanza ya mtoano na kusababisha Watanzania wengi wasiendelee kufuatilia shindano hilo.
 

A SAD LETTER FROM BOW WOW FATHER'S TO HIS SON

HASH POWER 7113
 
To my beloved son,  Bow Wow
I guess the only way you want to communicate with me is
through the media. I recently read your article in Vibe and I felt like I
needed to contact you.
First off, I want you to know how happy and proud I am of
you and your success. I was also blessed that your mother and step-father did
an excellent job of raising you to the man you are today. I can also say that I
am proud that you have done your best to be a father to your daughter. I don’t
want you to have the regrets that I have had for not being in your life more
than I have been. Your Grandfather, my Dad, left me at an early age as well, it is time to stop this cycle.

Friday, July 20, 2012

TAARIFA YA RAIS KIKWETE KUFUATIA AJALI YA KUZAMA KWA MELI YA MV SKAGIT

JANA tarehe 18 Julai, 2012, majira ya alasiri kumetokea ajali ya kuzama kwa meli ya MV SKAGIT katika eneo la Chumbe, Zanzibar. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kueleka Zanzibar ilikuwa imebeba watu 290. Kati yao watu wazima 250, watoto 31 na wafanyakazi wa meli 9. Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete aliagiza vyombo vya ulinzi na usalama vya Serikali ya Muungano yaani JWTZ na Polisi waanze kazi ya uokoaji mara moja. Kazi hiyo imefanywa kwa kushirikiana na vyombo vya usalama vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na meli za makampuni binafsi. Mpaka giza lilipokuwa limeingia na hivyo kazi ya uokoaji kusitishwa mpaka kutakapokucha tarehe 19 Julai, 2012, watu 136 walikuwa wameokolewa na maiti 31 zilikuwa zimepatikana. Aidha, mali zilizokuwa kwenye meli hiyo hazikuweza kuokolewa. Kufuatia ajali hiyo, Rais wa Jamhuri ya Muungano alizungumza na Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Alimpa pole kwa ajali iliyotokea hasa kwa vifo na majeraha waliyopata Watanzania wenzetu na watu wasiokuwa raia wa Tanzania.

Wednesday, July 18, 2012

SKAGIIT YAZAMA BAHARI YA HINDI

HASH POWER 7113
Boti ya Skagit inayomilikiwa na Kampuni ya Seagul iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Saalam kwenda Zanzibar ikiwa na abiria zaidi ya 290 imezama kwenye bahari ya Hindi, eneo la Chumbe na kusababisha maafa makubwa baada ya kile kilichoelezwa kuwa ni injini za boti hiyo kuzimika ghafla.
 
Mmoja wa majeruhi wa ajali ya meli ya MV Skagit iliyozama katika eneo la Pungume karibu kilomita 48 kutoka Bandari ya Zanzibar jana, akipata matibabu.
 Majeruhi wakizidi kupatiwa huduma ya kwanza baada ya ajali hiyo.
...Huduma za matibabu zikiendelea.
Majeruhi wakiwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja.
(Picha kwa hisani ya http://issamichuzi.blogspot.com/)

Sunday, July 1, 2012

MKASA WA WAHAMIAJI HARAMU KUTOKA ETHIOPIA

HASH POWER 7113// ACREDITATION; This Day Magazine, Michuzi Blogs


 Baada ya kibali cha kuwazika nchini Tanzania wahamiaji toka Ethiopia waliofariki ndani ya lorry walilokuwa wanasafiria kutolewa na Serikali yao  ya Ethiopia, Serikali ya Tanzania iliamua mazishi ya Raia hao wa Ethiopia kufanyika Juni 29, 2012 Alasiri Mkoani Dodoma na Morogoro kwa baadhi ya miili iliyokuwa imehifadhiwa hospitali ya Mkoa Morogoro na kazi inayoendelea hapa ni ya uchimbaji wa makaburi.
 Vijana 84 wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakipita mmoja baada ya mwingine wakitoa heshima zao za mwisho na kuwaaga ndugu zao kwa kutupa udongo kwenye makaburi yaliyohifadhi miili ya wenzao waliopoteza maisha katika tukio la kusafirishwa kwenye Lorry.
 Kijana Chafamo Yosef (kulia) Muamiaji raia wa Ethiopia akitoa neno la shukrani muda mfupi baada ya kumalizika kwa mazishi kwa jinsi ambavyo wamepatiwa msaada na serikali ya Tanzania tangu siku walipokutwa wametelekezwa, miongoni mwa vitu alivyoahidi akifika nchini kwao Ethiopia ni kuwaelezea watu wa Ethiopia kuwa walidanganywa na kusababishiwa matatizo makubwa hadi baadhi yao kupoteza maisha lakini wao Mungu amewanusuru, wameona nchi nzuri ya Tanzania, wamekutana na serikali nzuri iliyowahudumia kila kitu, na wananchi wenye mioyo ya huruma na ukarimu.
 Raia wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakiwa wameinamisha vichwa vyao chini kuwaombea sala wenzao waliopoteza maisha wakati wa shughuli ya mazishi.
 Safari ya mwisho ya kuwasindikiza na kuwahifadhi katika nyumba zao za milele wahamiaji 43 (21 Dodoma, 23 Morogoro) kutoka Ethiopia waliopoteza Maisha ilihitimishwa kwa kazi ya kufukia makaburi iliyofanywa na vijana na wananchi mbalimbali waliojitokeza kwenye mazishi hayo.
 Wahamiaji hawa (walionusurika) wamekuwa watu waliozamia katika sala na maombi baada ya kunusurika kifo ukizingatia baadhi ya wenzao walikufa katika tukio hilo, kila baada ya chakula jioni wanapewa muda wa kufanya maombi.

 Wahamiaji kutoka Ethiopia walipatiwa kila aina ya msaada wa muhimu uliohitajika kwa wakati kama malazi, mavazi, chakula dawa,  matibabu ya kisaikolojia nk
 Mtoa huduma ya kwanza wa Msalaba Mwekundu akimfunika mmoja wa wahamiaji kutoka Ethiopia ambaye alikuwa na tatizo la maumivu kifuani.
Mabaki ya vitu, miongoni mwake chupa za maji zikiwa nyingi na vifurushi vya sukari na mikate ambavyo walikuwa wanatumia wahamiaji hao kama chakula kwa ajili ya kujinusuru uhai wakiwa ndani ya lorry lililowasafirisha likiwa limefunwa pande zote bila kuruhusu hewa kupita, masalia haya badae yaliteketezwa moto.
 Vijana walioandaliwa kwa ajili ya shughuli ya Mazishi wakishusha miili ya Marehemu kwenye nyumba zao za milele (makaburi) ikiwa ni hatua za mwisho za kuhitimisha safari ya mwisho ya kuwapumzisha watu hao waliopoteza maisha.
 Vijana Wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakilia kwa uchungu muda mfupi baada ya miili ya Wenzao waliopoteza maisha kuwasili eneo la maziko mjini Dodoma, jumla ya Waethiopia 43 walipoteza maisha ambapo 21 wamezikwa Dodoma na 23 Morogoro.
Vijana Wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakiwa wamejipanga mistari miwili wakionekana wenye huzuni muda mfupi baada ya kuwasili eneo lililoandaliwa katika Manispaa ya Dodoma kwa ajili ya kuwazika wenzao waliopoteza maisha katika tukio hilo la kusikitisha, jumla ya Waethiopia 43 walipoteza maisha ambapo 21 wamezikwa Dodoma na 23 Morogoro.
 Picha zote na Jery Mwakyoma
Kwa hisani ya Michuzi Blog

Tuesday, June 5, 2012

NDEGE INAYOTUMIA SOLAR POWER YAZINDULIWA

HASH POWER 7113
A Swiss adventurer soared above sun-splashed Spanish valleys toward Morocco on Tuesday on the world's first intercontinental flight in a solar-powered plane.
Bertrand Piccard, a 54-year-old psychiatrist and balloonist, took off into the night skies above Madrid in the Solar Impulse plane, a giant as big as an Airbus A340 but as light as an average family car.
After a graceful, nearly silent takeoff at 5:22 am (0322 GMT), he guided the experimental plane southward from Madrid-Barajas airport and within five hours was halfway between the Spanish capital and the southern coast.

MASTER JAY, SHAA WAMEMWAGANA?

HASH POWER 7113// Global Publishers Ltd.


Sarah Kaisi ‘Shaa’.
Joachim Kimaryo ‘Master Jay’.

WAPENZI masupastaa ambao iliwahi kuelezwa kwamba wanapendana sana, Joachim Kimaryo ‘Master Jay’ na Sarah Kaisi ‘Shaa’, wanadaiwa kumwagana rasmi.
Chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa tofauti za kimapenzi kati ya Jay na Shaa, zimesababisha mpaka kuyumba kwa uhusiano wao wa kikazi ambao walikuwa nao kwa muda mrefu.
Tangu Shaa alipoibuka kimuziki na baadaye alipojitenga na Kundi la Coca Cola Pop Star, alikuwa akisimamiwa kimuziki na Jay kwenye lebo yake ya MJ Records.
Habari kutoka kwa chanzo chetu, zimedai kuwa baada ya kugombana na Jay, sasa hivi Shaa amehamia kwenye menejimenti mpya chini ya Meneja wa Kundi la Tip Top Connection, Hamis Taletale ‘Babu Tale’.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...