Saturday, September 10, 2011

ZANZIBAR; TEARS OF THE YEAR

Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiomboleza
HASH POWER 7113
Vikosi vya uokoaji vikiwa kazini
Viongozi wa Serikali yaMapinduzi Zanzibar, Seif Shariff Hamad (wa pili kulia) na Dk Ali Mohamed Shein wakiwa na nyuso za huzuni. Kulia ni mke wa Dk Shein.

AJALI YA MELI ZANZIBAR/ UPDATES

Waliosalimika kwenye ajali hiyo
HASH POWER 7113// Acreditation; Michuzi
Waokoaji wakifanya kazi yao
Mpaka sasa, taarifa kutoka kwa mamlaka zinazohusika zinaeleza kuwa zaidi ya watu 300 wameokolewa wakiwa wazima, huku idadi ya maiti ikizidi kuongezeka. Muda mfupi uliopita tayari maiti maiti 113 zilikuwa zimeshawasilishwa kwenye Viwanja vya Maisara, huku magari mengine ya jeshi yakizidi kusomba maiti nyingine. Hali ni ya kusikitisha, Zanzibar is full of tears. 
Mamia ya watu wakisubiri kuitambua miili ya ndugu zao        

MELI YA SPICE YAZAMA, WATU 2000 WAHOFIWA KUFA

Meli ya Spice ikizama. Picha kwa hisani ya Jamii Forum
HASH POWER 7113// Acreditation: Jamii Forum
Meli ya Mv Spice Islander iliyokuwa inasafiri katika Bahari ya Hindi kwenye mkondo wa Nungwi kutoka Bandari ya Malindi, Unguja kuelekea Wete, Pemba, saa 4 usiku wa Septemba 9, 2011 imezama na watu zaidi ya 2,000 wanahofiwa kupoteza maisha.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo, baada ya meli kufika eneo la mkondo bahari wa Nungwi, ilianza kupata misukosuko kabla ya kuanza kuzama kiubavu. saa 8 za usiku.

Mpaka sasa, kwa mujibu wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya makamu wa Rais, Mohamed Aboud Mohamed, majeruhi zaidi ya 250 tayari wameokolewa na kusafirishwa kwa boti ziendazo kasi mpaka kwenye Bandari ya Malindi, Unguja ambapo watapelekwa kwenye Viwanja vya Maisra. Juhudi za kuokoa miili na majeruhi wengine zinaendelea kwa kutumia helikopta mbili za jeshi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Ali Mohamed Shein yuko eneo la tukio kujionea hali halisi.

Taarifa zaidi zitazidi kuwajia kupitia hapahapa. Stay tuned.

Thursday, September 8, 2011

Gadhafi Denies Rumor He Fled Libya

HASH POWER 7113// Acreditation: Yahoo News, Associated Press
BENGHAZI, Libya – From hiding, Moammar Gadhafi denied rumors that he fled Libya, vowed "never to leave the land of his ancestors" and rallied followers to the fight in a new audio message broadcast Thursday on a loyalist TV channel.
The broadcast came amid conflicting statements about the fugitive Libyan dictator's whereabouts. Gadhafi, who ruled Libya for nearly 42 years, hasn't been seen in public for months, and has released only audio messages trying to rally his supporters and lash out at opponents.
In Thursday's five-minute-long audio, aired on Syrian-based Al-Rai TV, a voice purportedly of Gadhafi denounced reports that he had fled to neighboring Niger and claimed he is still in Libya. He also blasted former rebels who ousted him from power as "a bunch of mercenaries, thugs and traitors" and urged his follower to take up arms.

Tuesday, September 6, 2011

Uhusiano wa Libya na Uingereza Kuchunguzwa

HASH POWER 7113// Acreditation:BBC SWAHILI

David Cameron
David Cameron
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amesema uchunguzi utaanza dhidi ya tuhuma kwamba majajusi wa Uingereza walihusika na mateso dhidi ya wafungwa katika jela wakati kanali Muammar Gadafi alipokuwa madarakani.
Bwana Cameron amesema ni muhimu kwa uchunguzi huo kuangazia madai kwamba kulikuwa na uhusiano wa karibu kati ya maafisa wa upelelezi wa Uingereza na Libya hasa baada ya shambulizi la septemba kumi na moja.

Monday, September 5, 2011

TEN COMMANDMENTS OF FREEMASON

Click here for more details of Freemason
I. God is the Eternal, Omnipotent, Immutable WISDOM and Supreme INTELLIGENCE and Exhaustless Love.
Thou shalt adore, revere, and love Him !
Thou shalt honour Him by practising the virtues!

II. Thy religion shall be, to do good because it is a pleasure to thee, and not merely because it is a duty.
That thou mayest become the friend of the wise man, thou shalt obey his precepts !
Thy soul is immortal ! Thou shalt do nothing to degrade it !

III. Thou shalt unceasingly war against vice!
Thou shalt not do unto others that which thou wouldst not wish them to do unto thee !
Thou shalt be submissive to thy fortunes, and keep burning the light of wisdom !

Saturday, September 3, 2011

DJ VENTURE APATA JIKO

HASH POWER 7113
Dj wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Bonaventure aka Dj Venture leo amefunga pingu za maisha na mwanadada Benadina katika kanisa la Mtakatifu Martha lilipo Mikocheni B.

Paul D awards $40,000 to Kim Kadarshian

Acreditation: TMZ

Pauly D wasn't invited to Kim Kardashian's extravagant wedding -- but that didn't stop him from giving her a gift that is valued at $40,000 ... kind of.

According to our sources, Pauly was approached by Kim to DJ an event at her DASH store in NYC for Fashion's Night Out, the biggest event during Fashion Week.

Hashpower 7113: JUSTIN BIEBER AND LUDACRIS CHARITY FOR BASKETBALL

Hashpower 7113: JUSTIN BIEBER AND LUDACRIS CHARITY FOR BASKETBALL: Justin Bieber's typically a polite, well-mannered 17-year-old who doesn't swear, but he was talking all sorts of trash on Twitter today. Wh...

HASH POWER 7113

JUSTIN BIEBER AND LUDACRIS CHARITY FOR BASKETBALL


Justin Bieber's typically a polite, well-mannered 17-year-old who doesn't swear, but he was talking all sorts of trash on Twitter today. Why? Well, he's going head-to-head against Ludacris for a charity basketball game in Atlanta this weekend and the stakes are high. Plus, it's good press.

The Bieb tweeted six times in a row today about the Ludaday Weekend Celebrity Basketball Game and each post punked his rapper pal. One tweet read: "@Ludacris u are a good man...but #teambieber is gonna kill u on sunday."

CIA worked closely with Gadhafi's intelligence services

HASH POWER 7113// Acreditation: Associated Press, Yahoo News

TRIPOLI, Libya (AP) — The CIA worked closely with Moammar Gadhafi's intelligence services in the rendition of terror suspects to Libya for interrogation, according to documents seen Saturday by the AP, cooperation that could spark tensions between Washington and Libya's new rulers.

The CIA was among a number of foreign intelligence services that worked with Libya's agencies, according to documents found at a Libyan security agency building in Tripoli.

The discovery came as the Libyan rebels said they would surround pro-Gadhafi cities until the Sept. 10 deadline for their surrender.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...