Wednesday, December 24, 2014
KUTUBU KWANGU (MY REPENTANCE)- 2
ILIPOISHIA:
Naomba umpe namba yangu mwambie
anitafute au nipe yake nijue namna ya kumfikishia mzigo wake,” alisema dereva
wa ile Carina kwa sauti ya kiungwana mno.
Nilishusha pumzi ndefu na kuachia
tabasamu, nikamwambia kwamba mimi ndiyo Flaviana, nikamsikia akicheka kidogo
kisha akaniuliza nipo wapi kwa wakati huo. Nilipomuelekeza, aliniambia nimsubiri
hapohapo anakuja.
SASA ENDELEA...
Kweli baada ya kama dakika tano hivi,
ile Carina ilipaki upande wa pili wa barabara, akanipigia simu na kuniuliza
kama nilikuwa naliona gari. Nikatoka mbiombio na kukimbia kuvuka barabara. Kwa
kuwa bado mvua ilikuwa inanyesha, nilipolifikia gari lake, alinifungulia
mlango, nikaingia na kukaa kwenye siti ileile niliyokuwa nimekaa awali,
nikamgeukia, na yeye akanitazama, macho yetu yakagongana.
“Pole kwa usumbufu,” aliniambia kwa
sauti ya kiungwana, nikaachia tabasamu hafifu huku nikiendelea kujifuta maji ya
mvua, nikwamwambia mimi ndiyo napaswa kumpa yeye pole kwani licha ya kunipa
lifti bure, nilimpa kazi nyingine ya kunitafuta.
Alinipa begi langu na kuniuliza
nilikokuwa nakwenda.
“Naenda chuo, pale jirani na mnara wa
askari.”
“Unasomea nini?”
“Nasomea uhasibu.”
“Ooh! Safi sana, mimi pia nilisomea
uhasibu pale IFM sasa hivi nafanya kazi benki,” alisema yule dereva huku na
yeye akiachia tabasamu, akaniomba kama sitajali anisindikize jirani na chuo ili
nisiendelee kulowa.
Nilikubali haraka na kumshukuru sana.
Akawasha gari na kwenda mpaka mbele kidogo, akageuza gari na kurudi barabarani,
akawa anaendesha gari taratibu huku tukipiga stori za kawaida.
Ndani ya kipindi kifupi tu nilichokaa
naye, niligundua kuwa yule kaka alikuwa mtu mmoja mstaarabu sana, asiye na
maneno mengi, anayejiheshimu na anayeheshimu watu wengine pia bila kujali umri,
jinsia au hali ya kiuchumi.
Alinisogeza mpaka jirani na chuoni
kwetu, akalitoa gari barabarani na kupaki pembeni huku mvua kubwa ikiendelea
kunyesha. Nilitaka kushuka lakini akaniambia nisubiri mvua ipungue kidogo kwani
yeye hakuwa na haraka sana kwani ofisi anayofanyia kazi ni jirani na pale.
Tuesday, December 23, 2014
MREMBO APIGWA RISASI, AFARIKI
Habari zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kwamba binti huyu (pichani) ambaye bado jina na mahali anapoishi havijafahamika, amepigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi mchana wa leo, Morocco, nyuma ya makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo eneo la tukio, majambazi hao walikuwa wametoka kufanya uhalifu kwenye kibanda kimoja cha M-Pesa kilichopo jirani na eneo hilo, wakati wakiondoka wakawa wanarusha risasi hovyo na moja ikampata mrembo huyu na kuyakatisha maisha yake papo hapo.
Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo eneo la tukio, majambazi hao walikuwa wametoka kufanya uhalifu kwenye kibanda kimoja cha M-Pesa kilichopo jirani na eneo hilo, wakati wakiondoka wakawa wanarusha risasi hovyo na moja ikampata mrembo huyu na kuyakatisha maisha yake papo hapo.
![]() |
| mwili wa marehemu baada ya kupigwa risasi |
CHE GUEVARA, MAMBO 10 USIYOYAJUA!
Na Hashim Aziz
Wengi wamezoea kuiona picha yake kama
alama ya ukombozi na mapinduzi ya kweli lakini ni wachache wanaomjua vizuri.
Jina lake halisi anaitwa Ernesto ‘Che’ Guevara, alizaliwa Juni 14, 1928,
Rosario, Argentina na yafuatayo ni mambo kumi kumhusu:
1. Alikuwa mwanaharakati na
mwanamapinduzi aliyezisaidia nchi nyingi kupata uhuru kupitia vita vya msituni,
zikiwemo Cuba, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Msumbiji na nyingine nyingi.
![]() |
| Ernesto Che Guevara |
2. Licha
ya kusumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu, aliweza kusafiri sehemu mbalimbali,
zikiwemo zenye baridi kali na kuhatarisha maisha yake kwa ajili ya kuwasaidia
wanyonge.
3. Alisomea udaktari katika Chuo Kikuu
cha Buenos Aires alikohitimu na kupata digrii (shahada) ya udaktari wa binadamu.
4. Akiwa bado anasomea udaktari,
alifunga safari kwa kutumia pikipiki ambapo alisafiri umbali wa kilometa 4,500
na baadaye kilometa nyingine 8,000 kutembelea nchi mbalimbali za Amerika ya
Kusini. Hali ya umaskini na ukandamizaji aliyoikuta huko ndiyo iliyomfanya awe
mpiganaji wa msituni.
KUTUBU KWANGU (MY REPENTANCE)- 1
Naitwa Flaviana Joel, mwanamke mwenye
umri wa miaka ishirini na nane. Nilibahatika kuolewa miaka kumi iliyopita,
nikiwa bado msichana mbichi katika umri wa miaka kumi na nane tu.
Niliolewa na mume wangu kipenzi,
Ibrahim au Ibra kama mwenyewe nilivyozoea kumuita ambaye alikuwa akifanya kazi
kwenye benki moja maarufu ambayo sitaitaja jina kwa sababu maalum, iliyopo hapa
jijini Dar es Salaam.
Kabla Ibra hajanioa, tulidumu kwenye
uchumba kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja, kipindi hicho nikiwa nasoma chuo
kimoja cha uhasibu kilichopo Posta, katikati ya Jiji la Dar es Salaam, nikiwa
ndiyo kwanza nimeanza mwaka wa kwanza.
Baada ya ndoa, mimi na Ibra tulihamia
Mbezi Beach kwenye nyumba yetu ambako tuliishi pamoja mpaka tulipokuja
kutengana kwa sababu ambazo ndizo hasa zilizonifanya nitafute nafasi hii ya
kutubu hadharani na kukiri kwa kinywa changu yote niliyowahi kuyafanya.
Wednesday, November 5, 2014
MBINU 10 ZA KUFUFUA PENZI LILILOKUFA
HASH POWER 7113
NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa. Ni wiki nyngine tunapokutana kwenye busati letu ambapo tunajuzana na kujadiliana mambo mbalimbali kuhusu uhusiano wa kimapenzi.
NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa. Ni wiki nyngine tunapokutana kwenye busati letu ambapo tunajuzana na kujadiliana mambo mbalimbali kuhusu uhusiano wa kimapenzi.
Nakushukuru wewe unayetuma ujumbe mfupi ukitoa
maoni, kuchangia au kutaka ushauri kuhusu mambo mbalimbali, hata kama
hujajibiwa elewa kwamba ujumbe wako umefika na utafanyiwa kazi.
Mada ya leo ni maalum kwa watu ambao tayari mpo
kwenye uhusiano wa kimapenzi, iwe ni wapenzi wa muda mrefu, wachumba au
wanandoa.
DALILI
ZA PENZI LILILOKUFA
Umewahi kuhisi kwamba penzi lako limefikia mwisho
japo bado upo na mpenzi wako, mchumba au mumeo/mkeo? Yaani upoupo tu, zile
hisia tamu za mapenzi
MMEGOMBANA NA MPENZI WAKO? FUATA MBINU HIZI KURUDISHA MAPENZI
HASH POWER 7113
Kugombana ni jambo ambalo halikwepeki
katika uhusiano wa kimapenzi. Upo ugomvi ambao ni wa kawaida na huisha kirahisi
lakini upo ugomvi ambao huwa mkubwa na kama ukitokea na ukashindwa kujua nini
cha kufanya kuweka mambo sawa, husababisha ufa kwenye penzi lenu.
Leo tutazungumzia mambo ya muhimu ya
kufanya inapotokea wewe na mpenzi wako mmeingia katika ugomvi mkubwa,
mmetoleana maneno machafu au hata kupigana.
Tuesday, September 23, 2014
Monday, September 22, 2014
Wednesday, August 20, 2014
Saturday, August 9, 2014
KIBONDE WA CLOUDS FM ALEWA, ASABABISHA AJALI, ADAKWA NA POLISI
| Kibonde akiwa ametaitiwa na askari wa usalama |
Kibonde anadaiwa kusababisha ajali asubuhi hii eneo la Makumbusho, ikiwa gari aliyokuwa akiendesha kuigonga gari ya dereva mwingine kwa nyuma.
Friday, August 1, 2014
TRUTH ABOUT ZANZIBAR REVOLUTION
HASH POWER 7113
Do you know who was the mastermind of
the Zanzibar Revolution of January 1964?
MOST Tanzanians especially of the
present generation do not know exactly the history of the revolution of
Zanzibar which took place over four decades ago. They don’t even know how it
started and how the Revolutionary Government of Zanzibar was formed. This is
because after the revolution, the government has not been speaking the truth of
the matter and instead it has been hiding the truth to the eyes of many
Tanzanians.
Most of them can tell the First
President of Zanzibar the late Sheikh Aman Karume who is regularly mentioned to
have taken an active part of the liberation of the people of Zanzibar. But the
history tells us that, “President Karume was called to assume the position of
presidency after the revolution which was organized and planned by a self-styled
Field Marshal John Okello, a Ugandan born national who dedicated his life to
save Zanzibaris in those days.
He worked effectively by other freedom
fighters who were members of Afro-Shirazi party. By then Karume was living in
Tanganyika mainland for fear of his life after he quarreled with the Sultanate
government and the ruling party of the Zanzibar government, the ZNP which was
led by Prime Minister, Mohammed Shamte.
Saturday, July 26, 2014
NJEMBA LAFANYIWA KITU MBAYA BAADA YA KUFUMANIWA!!!
Njemba hili limekatwa ngozi sahemu za siri baada ya kukutwa akila uloda na mke wa mtu...... habari kamili zitakuja soon, Kweli mke wa mtu ni sumu
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 LANUKIA
Watumishi wa Mungu wanaofanya kazi ya kusambaza injili kupitia karama ya uimbaji wa nyimbo za injili, Upendo Nkone
, Ambwene Mwasongwe, Angela, Paul Clement, Martha Mwaipaja na wengine wengi wanatarajiwa kushusha upako wa nguvu ndani ya Uwanja wa Taifa, Agosti 8, 2014 katika Tamasha la Matumaini.
Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha
hilo la kila mwaka, Luqman Maloto wasanii hao watafanya shoo ya kumtukuza Mungu
katika uwanja huo kama ilivyokuwa katika Tamasha la Matumaini 2013 ambapo
mashabiki waliohudhuria waliburudika vya kutosha.
Friday, July 18, 2014
BIG RESULTS NOW! A JOKE
Unajua maana ya BIG RESULTS NOW?? Fuatilia matokeo haya ya kidato cha sita.
Division zero mwaka jana 2604, mwaka huu 612. Tofauti watu 1992, sawa na asilimia 325%.
Division one, mwaka jana 325, mwaka huu 4,365. Tofauti 4040, sawa na asilimia 1243%. Haya ni maajabu ya karne.
Walitanua ukubwa wa goli ili iwe rahisi kufunga... Kutoka zero zaidi ya 2000 mwaka jana hadi zero 600 tu mwaka huu. Kutoka div.one 300 tu mwaka jana hadi one zaidi ya 4,000 mwaka huu.
C.RONALDO AUZA KIATU CHAKE CHA DHAHABU
Nguli wa mpira wa miguu katika timu ya Real Madrid, Christiano Ronaldo alilia kwa machozi yasiyo kifani baada ya kuona matendo ya kinyama yanayofanywa na Israel hasa pale wanapouawa akina mama na watoto wasio na hatia.
Katika mechi za kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia, Ronaldo alikutana na kocha wa Telaviv ya Israel na kumuonyeshea chuki ya dhahiri juu ya yale yanayoendelea Palestina.
Katika mechi za kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia, Ronaldo alikutana na kocha wa Telaviv ya Israel na kumuonyeshea chuki ya dhahiri juu ya yale yanayoendelea Palestina.
Thursday, July 17, 2014
Wednesday, July 16, 2014
Tuesday, July 15, 2014
BAGAMOYO; JIMBO TAJIRI LENYE WANANCHI MASKINI
Makala: Hashim Aziz
Kilometa 75, Kaskazini mwa Jiji la Dar es Salaam, ndipo unapopatikana mji mkongwe na wa kihistoria wa Bagamoyo ambao ni miongoni mwa miji yenye vivutio vya kipekee duniani, ulioanzishwa karne ya 18, ukiwa pembezoni mwa Bahari ya Hindi.
Kilometa 75, Kaskazini mwa Jiji la Dar es Salaam, ndipo unapopatikana mji mkongwe na wa kihistoria wa Bagamoyo ambao ni miongoni mwa miji yenye vivutio vya kipekee duniani, ulioanzishwa karne ya 18, ukiwa pembezoni mwa Bahari ya Hindi.
Historia inaonesha kuwa Bagamoyo
iliyopo mkoa wa Pwani ndiyo kilikuwa kituo kikuu cha biashara ya watumwa na
bandari ya kwanza katika mwambao wa Afrika Mashariki, achilia mbali magofu ya kale, makaburi ya karne nyingi
zilizopita, msikiti wa kwanza na kanisa la kwanza Afrika Mashariki pamoja na
njia za watumwa (caravans).
ISRAEL'S SECURITY CABINET ACCEPTS EGYPTIAN CEASE FIRE PROPOSAL
Credit: New York Times
Israel has accepted Egypt's proposal for a cessation of hostilities with the Gaza Strip, Prime Minister Benjamin Netanyahu's office announced on Tuesday morning.
The proposal envisioned a cease-fire beginning at 9 a.m. local time on Tuesday. It called for border crossings to Gaza to "be opened," with the movement of people and goods to be "facilitated once the security situation becomes stable on the ground."
Israel has accepted Egypt's proposal for a cessation of hostilities with the Gaza Strip, Prime Minister Benjamin Netanyahu's office announced on Tuesday morning.
![]() |
| Benjamin Netanyahu |
The proposal envisioned a cease-fire beginning at 9 a.m. local time on Tuesday. It called for border crossings to Gaza to "be opened," with the movement of people and goods to be "facilitated once the security situation becomes stable on the ground."
Saturday, July 12, 2014
C RAY NAGIN, FORMER NEW ORLEANS MAYOR SENTENCED 10 YEARS
C. Ray Nagin, the former mayor of New Orleans who was convicted in February on corruption charges, was sentenced to 10 years in prison on Wednesday in federal court in New Orleans.
Mr. Nagin was found guilty in February on 20 counts, most relating to kickbacks from contractors looking for city work.
Mr. Nagin was found guilty in February on 20 counts, most relating to kickbacks from contractors looking for city work.
GAME OF THRONES, TRUE DETECTIVE AMONG EMMY NOMINATIONs
Nominations for the 66th annual Primetime Emmy Awards were announced Thursday morning, with perennial favorites like AMC's "Mad Men" and HBO's "Game of Thrones" joining newcomers like that network's "True Detective" among the dramas selected as television's best.
"Breaking Bad" on AMC, which won the Emmy for best drama last year, was recognized for its acclaimed final season. Several of the show's stars, including Bryan Cranston, the show's star, were named in the lead actor category.
"Breaking Bad" on AMC, which won the Emmy for best drama last year, was recognized for its acclaimed final season. Several of the show's stars, including Bryan Cranston, the show's star, were named in the lead actor category.
LeBron James to Return to Cleveland Cavaliers, Leaving Miami Heat
At age 29 and with two N.B.A. titles now in his possession, James decided Friday to rejoin the Cavaliers, for whom he played in the first seven seasons of his storied professional career.
Vilified in Cleveland when he decided to leave for the Heat, James is likely to find that all is forgiven, and more, as he embarks on an effort to bring a championship to a city that has not celebrated one in any major sport in 50 years.
U.S. NAVY MAINTAINS GROUNDING ORDER FOR F-35 FIGHTER JETS (Reuters)
Credit: Reuters
RAF FAIRFORD England (Reuters) -
The U.S. Navy on Friday maintained a grounding order for F-35 B-model
and C-model fighter jets built by Lockheed Martin Corp, saying it was
still not clear what caused a massive engine failure on an Air Force
F-35 jet on June 23.
"At this time, I do not have sufficient information to return the F-35B and F-35C fleet to flight," Vice Admiral David Dunaway, who heads the Navy's Air Systems Command, said in an update to a fleetwide grounding order issued by U.S. officials on July 3. A copy of the document was obtained by Reuters.
Wednesday, July 9, 2014
CRUEL WORLD (Dunia Katili)- 1
Mwandishi: Hashim Aziz
“Sukuma! Sukumaaa! Jikaze mwanangu...
moja... mbili... tatu... haya sukumaaa!” sauti ya mkunga wa jadi, Mama Anunu
ilisikika kutoka ndani ya kibanda cha nyasi na miti, akimhimiza msichana mdogo
aliyekuwa na ujauzito mkubwa, Adelina kujitahidi ili hatimaye ajifungue.
Licha ya ujauzito wake kutimiza umri
wa miezi kumi na moja, Adelina alishindwa kabisa kujifungua. Alishahangaika
sana kwenye hospitali mbalimbali bila mafanikio, alishapewa dawa za kuongeza
uchungu mara kadhaa bila mafanikio, mwisho ndipo aliposhauriwa kwenda kwa mama
Anunu.
OCHUNESS; MAPINDUZI KATIKA BONGO FLEVA
Makala: Hashim Aziz
Hata hivyo, kundi hilo halikudumu
kutokana na sababu za kimaslahi, kila mmoja akawa anafanya kazi kama solo
artist, Witnesz akazidi kukaza kimpango wake, akafanya tour nyingi za nje ya
nchi, akarelease ngoma kibao ikiwemo Zero ambayo ilimfanya apate tuzo ya
Channel O (Wimbo Bora wa Afrika Mashariki) pamoja na Tuzo za Kili.
“Wanaotaka shindana nami sema... watapata
zero! Tena na tena, tena na tena...” hicho ni kibwagizo maarufu kilichopo katika
ngoma ya mwanadafada Witness Mwaijaga ‘Witnesz The Fitnes’, mwanadada pekee
anayekaza kunako gemu la Hip Hop tangu kitambo hicho!
Wengi wanamfahamu vyema tangu kipindi
alichong’ara kwenye mashindano ya Cocacola Pop Star ambapo alikutana na Langa
Kileo (R.I.P) na mwanadada mwingine, Sarah Kais ‘Shaa’, wakakimbiza kinoma na
ngoma yao ya Kiswanglish.
BRAZIL HUMILIATION VIRALS: ANGELA MERKEL AS CHRIST THE REDEEMER
Credit: Daily Mail
It was a matter of minutes before the internet was overloaded with viral images mocking Brazil for their 7-1 defeat to Germany.
Doh! Brazil defender David Luiz was heart-broken after the crushing defeat
Bright lights: Christ the Redeemer is illuminated in the colours of the German flag
NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI- 1
Jina
langu naitwa Mkanwa Sebastian au Saba kama wengi walivyozoea kuniita,
mkazi wa Itete, Tukuyu wilayani Rungwe, Mbeya. Baba yangu mzazi,
Sebastian Mwambenja alikuwa ni mchungaji wa Kanisa la Wokovu lililokuwa
kwenye kijiji nilichozaliwa huku mama yangu akiwa ni muuguzi katika
Zahanati ya Lufingo iliyokuwa kijiji cha pili kutoka pale tulipokuwa
tunaishi.
Mimi nilikuwa ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yetu iliyokuwa na watoto saba. Baba yangu alikuwa akitokea kwenye ukoo wa kichifu wa Mzee Mwambenja ingawa baada ya babu yetu kufariki, aliamua kuokoka na ndipo alipoupata uchungaji wa kanisa hilo.
Mimi nilikuwa ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yetu iliyokuwa na watoto saba. Baba yangu alikuwa akitokea kwenye ukoo wa kichifu wa Mzee Mwambenja ingawa baada ya babu yetu kufariki, aliamua kuokoka na ndipo alipoupata uchungaji wa kanisa hilo.
MY REPENTANCE-1 (KUTUBU KWANGU)-1
Naitwa Flaviana Joel, mwanamke mwenye umri wa miaka ishirini na nane. Nilibahatika kuolewa miaka kumi iliyopita, nikiwa bado msichana mbichi katika umri wa miaka kumi na nane tu.
Niliolewa na mume wangu kipenzi, Ibrahim au Ibra kama mwenyewe nilivyozoea kumuita ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye benki moja maarufu ambayo sitaitaja jina kwa sababu maalum, iliyopo hapa jijini Dar es Salaam.https://www.facebook.com/simulizizamajonzi
HEART ATTACK (SHAMBULIO LA MOYO)- 1
MANYUNYU ya mvua yalianza kudondoka huku wingu zito likiendelea kujikusanya angani, kuashiria mvua kubwa iliyokuwa inataka kunyesha. Japokuwa ilikuwa bado ni mapema, giza lilitanda angani na kufanya watu karibu wote kukimbilia majumbani mwao kabla mvua hiyo haijaanza kunyesha.
Radi kali na ngurumo za kutisha zilikuwa zikisikika huku na kule na kuzidi kuifanya hali kuwa tete. Manyunyu yaliongezeka na muda mfupi baadaye, mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali ilianza kumwagika.
Tuesday, July 8, 2014
DIAMOND, ‘MCHAWI’ WAKO HUYU HAPA
Makala: Hashim Aziz
Jamaa anaitwa Kevin Liles, alizaliwa
Februari 27 pande za Baltimore, Maryland nchini Marekani. Japokuwa jina na sura
yake havijulikani kiivyo, Kevin ndiye ‘mastermind’ wa wasanii wakubwa wanaopeta
kwenye levo za kimataifa wakiwemo Jay Z, Diddy, Kanye West, Trey Songz, Big
Sean, Rick Ross, Rihanna na wengine wengi kibao.
KEVIN
NI NANI HASA?
HUJUI KUTONGOZA? FUATA MBINU HIZI
Ni wiki nyingine ambapo mwenyezi Mungu
ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba ambapo tunajadiliana mambo
mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka kuzungumza na wewe rafiki yangu ambaye umri wa kuingia kwenye ndoa
umefika lakini bado hujabahatika kumpata mwenzi wako ambaye malengo yako ni
kuingia naye kwenye ndoa.
Maendeleo ya teknolojia yamebadilisha
mambo mengi katika maisha yetu ya kila siku. Zamani ilikuwa kama kuna mwanamke
au mwanaume unampenda, basi lazima uhangaike sana mpaka utakapopata nafasi ya
kuzungumza naye, na kama huna ujasiri wa
kumtongoza ana kwa ana basi ndiyo umemkosa.
Sunday, October 27, 2013
BABA WEMA SEPETU, MZEE ISAACK SEPETU AFARIKI DUNIA
HASH POWER 7113


Balozi Abraham Isaac Sepetu amefariki dunia mapema leo akiwa katika hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa Kisukari na kiharusi alioupata hivi karibuni mjini Zanzibar. Balozi Sepetu, ambaye pia ni baba mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, hadi anapatwa na ugonjwa na hatimaye mauti, alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar.
Wema (kulia) akiwa na baba yake (kati), kushoto ni meneja wake, Petit Man
Balozi Abraham Isaac Sepetu amefariki dunia mapema leo akiwa katika hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa Kisukari na kiharusi alioupata hivi karibuni mjini Zanzibar. Balozi Sepetu, ambaye pia ni baba mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, hadi anapatwa na ugonjwa na hatimaye mauti, alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar.
Source; GPL
Saturday, June 1, 2013
ALBERT MWANGWEA; MBELE YAKO NYUMA YETU
Acreditation: Global Publishers
KIFO cha msanii wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangwea a.k.a Ngwea kilichotokea Jumanne wiki hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini ‘Sauzi’, kinaendelea kuibua mapya ambapo sasa sumu imetajwa kuhusika, Hashpower7113 linafungua kila kitu.
Hospitali aliyopelekwa
Akizungumza na paparazi wetu juzi kwa njia
ya simu moja kwa moja kutokea nchini humo, Mtanzania mmoja (jina tunalo)
alisema muda huo yeye alikuwa nje ya Hospitali ya St. Helen Joseph
ambako mwili wa marehemu ulikuwa umehifadhiwa kwenye Mochwari ya
Hillbrow.
TEN COMMANDMENTS OF FREEMASON
HASH POWER 7113
I. God is the Eternal, Omnipotent, Immutable WISDOM and Supreme INTELLIGENCE and Exhaustless Love.
Thou shalt adore, revere, and love Him !
Thou shalt honour Him by practising the virtues!
II. Thy religion shall be, to do good because it is a pleasure to thee, and not merely because it is a duty.
That thou mayest become the friend of the wise man, thou shalt obey his precepts !
Thy soul is immortal ! Thou shalt do nothing to degrade it !
III. Thou shalt unceasingly war against vice!
Thou shalt not do unto others that which thou wouldst not wish them to do unto thee !
Thou shalt be submissive to thy fortunes, and keep burning the light of wisdom !
IV. Thou shalt honour thy parents !
Thou shalt pay respect and homage to the aged!
Thou shalt instruct the young!
Thou shalt protect and defend infancy and innocence !
WHAT HAPPEN TO US AFTER DEATH?
Many of us fear death. We believe in death because we have been told we will die. We associate ourselves with the body, and we know that bodies die. But a new scientific theory suggests that death is not the terminal event we think.
One well-known aspect of quantum physics is that certain observations cannot be predicted absolutely. Instead, there is a range of possible observations each with a different probability. One mainstream explanation, the “smany-worlds”s interpretation, states that each of these possible observations corresponds to a different universe (the ‘multiverse’).
Sunday, May 12, 2013
RAIS KIKWETE AREJEA KUTOKA AFRIKA KUSINI LEO
HASH POWER 7113
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Makamu wa Rais, Dkt Mohamed Gharib
Bilali (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe Raymon Moshi mara baada
ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini
Dar es Salaam leo Mei 11, 2013 akitokea Cape Town, Afrika ya Kusini,
alikohudhuria mkutano wa nchi za SADC.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Makamu wa Rais, Dkt Mohamed Gharib Bilali (kulia) mara baada ya kutua…
Sunday, May 5, 2013
Thursday, May 2, 2013
MTO NDIYO WALIKUWA WA KWANZA KUMUANIKA MCHEZAJI WA NBA SHOGA, JASON COLLINS
HASH POWER 7113
Wakati ulimwengu wa mpira wa kikapu ukitingishika kutokana na mchezaji Jason Collins wa New Jersey Nets kujitangaza kuwa ni shoga, mtandao maarufu nchini Marekani wa Media Take Out (MTO) umedai kuwa uliwahi kuandika kuhusu habari ya mchezaji huyo mwaka 2006 lakini ukaonekana unadanganya. Hiki ndicho kilichoandikwa na mtandao huo.
Some of y'all OLD SCHOOL MTOers remember way back in 2006 - when we
broke the story of a member of the NJ Nets preparing to...
Subscribe to:
Comments (Atom)
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...
-
HASH POWER 7113//Acreditation: Global Publishers Wanausalama wakizima moto uliosababishwa na mataili yaliyochomwa na wachimba kokoto...
-
Geneviv ni binti mdogo ambaye amezaliwa katika familia yenye maisha mazuri sana.Mungu amemjaalia kuwa na sura nzuri yenye mvuto.Bahati mbaya...



































