Thursday, January 19, 2012

MBUNGE SUMARI WA CCM AFARIKI DUNIA

HASH POWER 7113

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, mbunge wa Jimbo la Arumeru kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Jeremia Sumari amefariki dunia leo.

Mbunge huyo alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa kipindi kirefu na wakati anakutwa na mauti leo alfajiri alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Tuesday, January 17, 2012

MAREHEMU REGIA AAGWA KARIMJEE; R.I.P

Askari wa bunge wakiwa wamebeba mwili wa marehemu
Viongozi wa kitaifa wakiwa Karimjee kuuaga mwili wa marehemu Regia
Mwili wa Regia ukiingizwa katika Viwanja vya Karimjee kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho
Baadhi ya waombolezaji wakitoa salamu za mwisho

HASH POWER 7113

Saturday, January 14, 2012

MBUNGE REGIA MTEMA AFARIKI KWENYE AJALI

HASH POWER 7113
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Regia Mtema amefariki dunia leo kwa ajali ya gari iliyotokea asubuhi eneo la Ruvu Darajani wakati akienda kukagua shamba lake alilopewa na familia.
Marehemu Regia enzi za uhai wake

Siku alipokuwa akilakiapo bungeni baada ya kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa... Jina lake Lihimidiwe
Inna Lillah wa Inna Ilaih Raji'un

MTOTO WA LIYUMBA, WENZAKE WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

Sehemu ya shehena ya madawa yaliyokamatwa
(Kwa msaada wa Michuziblogspot.com)
Jumla ya kilo 209 za dawa za kulevya aina ya Heroine zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 9, zimekamatwa katika Kijiji cha Mchinga mkoani Lindi na watu … wanashikiliwa na jeshi la polisi kuhusiana na dawa hizo haramu.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Kamanda wa Polis wa Mkoa wa Lindi, George Mwakajinga, aliwataja waliokamatwa kuwa ni Morine Amatus Liyumba (21),

Tuesday, January 10, 2012

BALLON d'O; AND THE WINNER IS...


HASH POWER 7113
Mchezaji wa Barcelona Lionel Messi (24) alitunukiwa tuzo ya FIFA Ballon d’O kwa mara ya tatu mfululizo na kuwashinda wachezaji wenzake kama Xavi na mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo katika tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwaka.

Messi, man of the match katika champions league final mwaka 2011, pia alishinda kombe la La Liga, Spanish Supercopa, UEFA Super Cup na Kombe la klabu bingwa ya dunia mwaka uliopita.

JAY Z RELEASES 'GLORY' SONG FEATURING HIS BABY, IVY BLUE

HASH POWER 7113//TIME MAGAZINE
Though there were jokes that Jay-Z and BeyoncĂ©’s child, already the most famous baby in the world, would come out of the womb rapping and singing, no one expected it would actually happen this fast.
Jay-Z released a song on his website welcoming his baby girl to the world (born on Saturday, Jan. 7) entitled “Glory,” featuring “B.I.C.”—or Blue Ivy Carter herself. Hov samples the cries of Blue at the end of the track, making her the youngest kid officially in the rap game.

New Jersey Assembly’s G.O.P. Leader DIES AT STATE HOUSE

HASH POWER 7113// THE ASSOCIATED PRESS

TRENTON, N.J. (AP) — The Republican leader of the New Jersey Assembly collapsed and died at the Statehouse late Monday, the final day of the legislative session.

Alex DeCroce, 75, collapsed in a men's room around 11 p.m. and was pronounced dead at the scene.

Assemblyman Herb Conaway, a physician, administered to DeCroce at the scene. Gov. Chris Christie, a fellow Republican and personal friend of DeCroce for 20 years, confirmed the death 2 ½ hours later.

Monday, January 9, 2012

DIAMOND AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIEZI 6 JELA

HASH POWER 7113
Diamond akiwa na mcheza shoo wake nje ya mahakama, Iringa
Icon wa Mbagala, Naseeb Abdul 'Diamond' na wacheza shoo wake, leo wamehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kila mmoja au kulipa faini ya

KUBENEA AFANYIWA TENA UPASUAJI WA MACHO

HASH POWER 7113//Hakingowi Blog
Mtendaji mkuu wa magazeti ya Mwanahalisi, Saed Kubenea akiwa katika Hospitali Apollo iliyopo New Delhi nchi India anakotibiwa ugonjwa wa macho. Kubenea yupo hospitalini tangu Jumanne iliyopita na tayari amefanyiwa upasuaji wa macho yake yote mawili jana. Amekuwa akitibiwa kwenye hospitali hiyo tangu mwaka 2008 baada ya kumwagiwa tindikali ofisini kwake, Kinondoni Dar es Salaam.

THE 45 TOURISTIC PLACES TO VISITS IN 2012, TANZANIA INCLUDED

HASH POWER 7113// New York Times
1. TANZANIA
For the last several years the number of tourists going to Tanzania has been edging up, according to East African travel specialists like Hippo Creek Safaris and Abercrombie & Kent. But it wasn’t until several violent attacks on visitors to neighboring Kenya that the numbers really took off, as Tanzania started to absorb skittish Kenya-bound safari seekers.

Not that Tanzania is coasting along solely on Kenya’s troubles; it’s always had Mount Kilimanjaro, after all. And now other attractions are being discovered, too — places like Gibb’s Farm, a small lodge from which guests can hike to the Ngorongoro Crater area, a prime destination for big game viewing.

AHMADINEJAD VISITS LATIN AMERICA

HASH POWER 7113
Caracas, Venezuela (CNN) -- Venezuelan President Hugo Chavez will welcome his Iranian counterpart Mahmoud Ahmadinejad on Monday on his first stop of a four-nation tour of Latin America, state media reported.
The Iranian leader arrived in Caracas on Sunday and is traveling with his ministers for foreign affairs, energy and economy, according to IRNA, Iran's official news agency.
It's no coincidence that Venezuela is Ahmadinejad's first stop. Despite their cultural differences, Venezuela and Iran have found significant common ground: both are among the world's top crude oil exporters and their leaders are strong allies united by a fierce opposition to what they view as U.S. imperialism.

IRAN SENTENCES AMERICAN SPY TO DEATH

HASH POWER 7113
(CNN) -- American Amir Mirzaei Hekmati, on trial in Iran for espionage, has been sentenced to death nearly five months after he was arrested, Iran's semi-official Fars news agency reported Monday.
A court convicted Hekmati of "working for an enemy country ... for membership in the CIA and also for his efforts to accuse Iran of involvement in terrorism," according to Fars.
Ahead of the verdict, his family and the United States denied the accusations against him.

"We are deeply concerned that Amir is not receiving a fair trial and has not been afforded due process," a family statement released last week said. "We have struggled to provide Amir with an attorney in Iran. We have sought to hire at least 10 different attorneys in Tehran to no avail."

SAKATA LA MADAKTARI MUHIMBILI: THE SAGA CONTINUES

Dk. Namala
HASH POWER 7113
Chama cha madaktari Tanzania (MAT) kimesema kitendo cha wizara ya afya na ustawi wa jamii kuwaondoa madaktari 229 katika hospital ya taifa ya Muhimbili kimeathiri upatikanaji wa huduma kwa wagonjwa na kusababisha kutokea vifo vingi kwa kukosa matibabu.

Chama hicho (MAT) kimesema huduma katika hospital hiyo kubwa nchini zimezorota kwa kiwango kikubwa kutokana na madaktari wachache waliopo kushindwa kukidhi kutoa huduma ya matibabu hata nusu ya wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo.

ZEE LA NYETI LAVUTA JIKO

Msanii Barnaba akitumbuiza kwenye harusi ya Mdimu
Mwandishi wa Habari za Burudani na Michezo wa Gazeti la Mwananchi ambaye pia ni Mtangazaji wa Times FM, Henry Mdimu 'Zee la Nyeti' hivi karibuni alivuta jiko kwa kumuoa mwanadada Angel Peter kwa ndoa takatifu ya Kikristo. 
(Picha kwa hisani ya mitandao)
Mdimu akimlisha keki mkewe
HASH POWER 7113//GLOBAL14.COM
Kanye West took to his twitter account to make an announcement about him Launching a design company called DONDA. I have started a new company and I’m so excited about the name…. it’s got the best name ever of all companies of all time!!!” he wrote. “The name of the company is DONDA.”
Named after his late mother Dr. Donda West, the startup will be comprised of creative individuals from different fields.

iPHONE LEGACY

HASH POWER 7113
Now de Keiser and Les Forges MDK studio worked on the next iconic design and present the iPhone 4 Legacy. Once again they pay tribute to an all time classic, in this case the original Macintosh 128k computer from the 80s. The original beige color of the computer and multicolor Apple logo are used on the iPhone 4 case. Hopefully the case will actually be produced.

RICK ROSS MIXTAPE 'RICH FOREVER'

HASH POWER 7113// Global14
Rick Ross finally drops his highly anticipated mixtape titled Rich Forever. The mixtape as suppose to come out last year around Christmas time but due to some health issue the mixtape was push back.

Sunday, January 8, 2012

BEYONCE AND JAY Z WELCOMES BABY GIRL, IVY BLUE

The super Couple, now father and mother Ivy Blue Carter
HASH POWER 7113//Acreditation: Zimbio/ E!Online
E!Online is reporting that Beyonce Knowles and Shawn Carter have welcomed a baby girl to the world. So congratulations goes out to the couple!

"We were so ready for this belly, and now we're so psyched to meet this baby!" gushed the report. 

Ivy Blue Carter came to this world via scheduled C-section Saturday night in a New York hospital; mother and baby are said to be doing well. This is the first child for the hip hop/R&B super couple.

Saturday, January 7, 2012

AJALI YA MABASI MOROGORO

Askari wa usalama barabarani akimsaidia mtoto huyu ambaye alikuwa miongoni mwa abiria
Wasamaria wema wakisaidia shughuli ya uokoaji
HASH POWER 7113// Acreditation: Haki Ngowi Blog
Mabasi mawili ya Taqwa lililokuwa likitokea Bujumbura kwenda Dar na Moro Best yamepata ajali mbaya eneo la Mikese, kwenye barabara kuu ya Dar-Morogoro na kusababisha watu wengi kujeruhiwa. Chanzo cha ajali hiyo kinaelezwa kuwa ni lori lililoharibika eneo hilo na kupaki barabarani bila kuweka alama zozote kuashiria ubovu, jambo ambalo limeendelea kuwachanganya madereva wengi na kusababisha ajali.

LIL WAYNE HIRE STRIPER TO FIGHT

HASH POWER 7113
When you’re as rich and successful as Lil Wayne we’d you’ve got to constantly search for new ways to entertain yourself and last night Weezy proved why he’s one of hip-hop’s most eccentric icons when he paid a group of strippers to fight each other
That’s right, it’s come to light that earlier this week Wayne had a boxing ring installed at the King Of Diamonds strip club in Miami and sat above the ring while two strippers slugged it out for the grand prize of 1,000 dollar bills presented to the winner by Weezy himself

JUSTIN BIEBER HAS GOT JESUS TATOO

Young Pop Icon, Justin Bieber has tatooed his leg with an image of Jesus Christ. This is what he explain it:
"I’m a Christian, I believe in God, I believe that Jesus died on a cross for my sins. I believe that I have a relationship and I’m able to talk to him and really, he’s the reason I’m here, so I definitely have to remember that. As soon as I start forgetting, I’ve got to click back and be like, you know, this is why I’m here."

MIMBA KUCHOROPOKA (MISCARRIAGE)

HASH POWER 7113
Tatizo la mimba kuharibika na kutoka (kuchoropoka) kabla ya umri wake unaotakiwa kukamilika, limekua likiwasumbua wanawake wengi. Kutokana na maombi ya wasomaji wetu, tutalijadili kwa kina tatizo hili ambalo kitaalamu huitwa Miscarriage.

MISCARRIAGE NI NINI?
Kwa kawaida, ili mtoto azaliwe, ni lazima mwanamke afanye tendo la ndoa akiwa katika siku zake za kupata ujauzito ambapo mimba hutungwa. Baada ya mimba kutungwa, mtoto hukaa tumboni kwa muda wa miezi tisa mbapo hupitia hatua mbalimbali za mabadiliko hadi kuwa binadamu aliyekamilika.

AMBER ROSE DEBUT SINGLE: FAME ft WIZ KHALIFA

This is how the cover will appear!
HASH POWER 7113// Acreditation: The File Life
Here is the single cover for Amber Rose’s debut record “Fame” that features her main man Wiz Khalifa.  The song will premiere on Tuesday January 10th and is sure to have the Internet going HAM upon its release.  Here is what Amber had to say about the song.
“I’m so excited to release my first song… It’s CRAZY! Working with Wiz is a dream come true; I am fortunate to have his support.
This is a very personal song to me that I wanted to record for my fans. I want people to see the world from my eyes, you know, from BEHIND MY SHADES! It’s my interpretation of what it means to be “FAMOUS,” which is not something superficial but instead being self-confident and happy with who you are.
You can feel famous everyday if you believe in yourself!

MIGOGORO YA NDOA, NANI ANAATHIRIKA ZAIDI?

Irene Uwoya akiwa na mwanaye, Krish
HASH POWER 7113
Si suala geni tena masikioni mwa wengi kusikia fulani kaachana na mumewe au mkewe kwa sababu hizi au zile! Viapo vitakatifu vilivyowekwa baina ya wawili wapendanao kwenye madhabahu au msikitini, vinavunjwa na kila mmoja anachukua hamsini zake.

Vipi kuhusu athari zake? anayeathirika zaidi ni nani? Baba, mama au watoto? Kila mmoja bila shaka atakuwa na jibu lake. Tafakari, chukua hatua!

UNAFANANA NA RIHANNA! MILIONI 10 NI ZAKO

HASH POWER 7113

Friday, January 6, 2012

KITU CHA DAR LIVE MBAGALA

HASH POWER 7113

WIZ KHALIFA: IM NOT A THIEF

HASH POWER 7113
Wiz Khalifa is telling friends there's a ZERO percent chance he ripped his smash hit "Black and Yellow" from a lesser known song called "Pink N Yellow" ... 'cause he's never EVER listened to the track ... this according to sources close to Wiz.

We're told Wiz is adamant he would never jack lyrics from another artist ... despite the allegations in a new $2.3 million lawsuit filed by a Pennsylvania rapper named Maxamillion.

Max claims he copyrighted "Pink N Yellow" in 2008 ... three years before Wiz released "Black and Yellow." 

Elin Nordegren: Life Goes On!

HASH POWER 7113
Tiger Wood’s ex wife Elin Nordegren has already begun to spend her $100 Million dollar divorce settlement that she was awarded last year by demolishing the $12 Million dollar home she purchased (pictured above) to live in with her children this week.  According to reports, Elin will be her dream house on the same property where the old one once stood.

Thursday, January 5, 2012

RAIS KIKWETE AWAAPISHA VIONGOZI WAPYA WA TUME YA UCHAGUZI

Rais Kikwete akimuapisha Jaji Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid (kulia) baada ya kumuapisha kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa Taifa, (NEC)
HASH POWER 7113
Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji mstaafu Damian Lubuva kuwa  Mkuu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

Mubarak to face Death Penalty- Prosecutors

HASH POWER 7113
Acreditation: Yahoo News
CAIRO (AP) — The chief prosecutor in the Hosni Mubarak trial said Thursday he holds the ousted leader "politically and legally" responsible for the killing of protesters during the 18-day uprising that toppled his regime last year and thus could face the death penalty if convicted of complicity in the killing of protesters.
Mustafa Suleiman also told the court that Mubarak did nothing to stop the killings and that he was aware of them from meetings with aides, regional TV channels and reports by his security agencies.
He said Mubarak's security chief and co-defendant, Habib el-Adly, authorized the use of live ammunition on orders from Mubarak.

Tyrese new Video 'Stay' Feat Taraji


from Matt Alonzo on Vimeo.

MARC ANTHONY IS DATING A NEW CHICK

ACREDITATION: TMZ
Marc Anthony wants Jennifer Lopez to know ... she ain't the only one with a hot, young plaything -- and he's got the photos to prove it.

Anthony just went to his Facebook page and posted a photo of himself gettin' all kissy kissy with a 24-year-old Venezuelan model named Shannon de Lima.

It's the first chick Marc has been romantically linked with since he split with J.Lo back in July.

Of course, 42-year-old Lopez rebounded with 24-year-old backup dancer Casper Smart.

LANDSLIDE KILLS 25 IN PHILIPPINES

MANILA, Philippines – A landslide buried dozens of people Thursday at a small-scale gold mining site in the southern Philippines, leaving at least 25 dead months after government officials warned miners that the mountain above them was guaranteed to crumble.
The landslide struck around 3:00 a.m. (2100 GMT Wednesday), when most residents were asleep. Aside from those confirmed dead, more than 100 people are believed to be buried in the rubble in Napnapan village in Pantukan township, Compostela Valley provincial Gov. Arturo Uy said.
Army Lt. Col. Camilo Ligayo said about 120 soldiers were heading to the area to help dig for survivors and bodies.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...