Saturday, February 18, 2012

BOTI YAZAMA ZIWA VICTORIA, ZAIDI YA WATU 40 WAHOFIWA KUFA

HASH POWER 7113// Acreditation FikraPevu, Sitta Tumma
 WATU wanaokadiriwa kuwa 35 wanahofiwa kufa maji katika eneo la Kahunda Maisome, Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, baada ya boti ya abiri waliyokuwa wakisafiria kuzama maji ndani ya Ziwa Victoria.
Ajali hiyo imetokea leo majira ya saa 10 jioni, ambapo inasadikiwa boti hiyo ilikuwa ikitoka Maisome kwenda Kahunda, na kwamba ilipofika katikati ya Ziwa, ilipigwa na dhoruba kali, hali iliyosababisha maji kuingia kisha kuzama boti hiyo ya mtu binafsi.
Taarifa zilizotufikia kutoka wilayani Sengerema zinadai kwamba, boti hiyo iliyokuwa imesheheni abiria, ilikumbwa na dhoruba hiyo kali, kisha kupoteza mwelekeo na baadaye kuzama ndani ya maji katika Ziwa Victoria.

Sunday, February 12, 2012

Hash-power7113 on Air!: WHITNEY HOUSTON DIES AT 48

Hash-power7113 on Air!: WHITNEY HOUSTON DIES AT 48: HASH POWER 7113 Grammys organising chief Neil Portnow called Houston "one of the world's greatest pop singers of all time who leaves be...

HASH POWER 7113

WHITNEY HOUSTON DIES AT 48

HASH POWER 7113
Grammys organising chief Neil Portnow called Houston "one of the world's greatest pop singers of all time who leaves behind a robust musical soundtrack spanning the past three decades.
"A light has been dimmed in our music community today, and we extend our deepest condolences to her family, friends, fans and all who have been touched by her beautiful voice," said the head of the Recording Academy.
Many stars took to Twitter to voice shock after Houston was found dead in the Beverly Hilton Hotel, hours before a traditional pre-Grammys dinner which she was due to attend.

Friday, February 10, 2012

50 CENT VISITS KENYA, SOMALIA

HASH POWER 7113
Rappa mkubwa duniani ambaye pia ndiye kiongozi wa Kruu ya G Unit, Curtis Jackson ’50 Cent’ yupo barani Afrika kwa ziara maalum kuchangia mpango wa chakula unaodhaminiwa na WFP, ambapo ametia maguu pande za Kenya na Somalia.

Beyonce and Jay-Z Want to Trademark Their Baby’s Name! WTF?

HASH POWER 7113// Acreditation My Space


Getty Images/Al Bello
.
Okay, this story definitely wins the weird news of the day award …


Getty Images/Al Bello
.
Jay-Z and Beyonce are moving towards trademarking their baby’s name – Blue Ivy Carter. Um, okay …
.
The new parents want to reserve the name for possible use as a brand name for a line of baby-related products, including carriages, diaper bags and – get this – baby cosmetics.

Suge Knight Arrested And Released In Las Vegas Yesterday

HASH POWER 7113//Acreditation TMZ


Suge Knight apparently made an unsafe lane change in his Bentley yesterday  in Las Vegas causing cops to pull him over and run his name.  The former Death Row Records CEO was found to have multiple warrants and a small bag of marijuana as well.  He was arrested and then later released on bail, but what will his probation officer think of this?  Stay out of trouble and enjoy what money you have left Suge!

Thursday, February 9, 2012

Senior Tanzanian journalist arrested

Mkurugenzi wa Tamwa, Ananilea Nkya akizungumza na askari aliyevaa kiraia
http://www.guardian.co.uk/media/greenslade/2012/feb/09/press-freedom-tanzania?CMP=twt_gu

Wanaharakati Nkya, Kijo-Bishanga na wenzao wakiwa kwenye maandamano
Sent from my BlackBerry® smartphone

Washington state lawmakers pass gay marriage bill


HASH POWER 7113//Acreditation: Yahoo News
OLYMPIA, Wash. – Washington state lawmakers voted to approve gay marriage Wednesday, setting the stage for the state to become the seventh in the nation to allow same-sex couples to wed.
The action comes a day after a federal appeals court declared California's ban on gay marriage unconstitutional, saying it was a violation of the civil rights of gay and lesbian couples.

MATOKEO FORM IV 2011


National Examinations Council of Tanzania
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

Tuesday, February 7, 2012

GEORGE MICHAEL AND HIS HUSBAND

HASH POWER 7113
As he continues to recover from a particularly serious bout of pneumonia, which left him hospitalised and fighting for his life over Christmas, George Michael has spent the passed week holidaying somewhere hot and sunny with his boyfriend Fadi Fawaz.
Last night Fadi posted a series of pictures of the loved-up pair on his Twitter page, alongside the caption, ‘Isn’t he cute?!’ Erm, he’s not really our type but… *awkward*

BEYONCE AFTER BIRTH

HASH POWER 7113

Only weeks after giving birth to her first child Blue Ivy Carter, singer Beyonce made her first public appearance when she came out to Jay-Z’s 40/40 club tonight for a little post celebration of his Carnegie Hall concert.

BRANDY AND MONICA ONCE AGAIN

HASH POWER 7113
Nearly 15 years after their legendary collaboration “The Boy Is Mine” R&B singers Brandy and Monica link up once again this time telling letting us know all this stuff is theirs.  What do you think of “It All Belongs To Me”?

Friday, February 3, 2012

An Egyptian soccer fan shouts anti-ruling military ...

HASH POWER 7113


An Egyptian soccer fan shouts anti-ruling military council slogans during a protest at Sphinx square in Cairo, Egypt, against killing of at least 74 people in the country's worst ever soccer violence, Thursday, Feb. 2, 2012. Scores of Egyptian soccer fans were crushed to death Wednesday, Feb. 1, 2012, while others were fatally stabbed or suffocated after being trapped in a long narrow corridor trying to flee rival fans armed with knives, clubs and stones, in the country's worst ever soccer violence that killed at least 74 people, witnesses and health officials said Thursday.

Statement by the Press Secretary on Aerial Bombardments in Southern Kordofan and Blue Nile States

HASH POWER 7113
 Barack Obama's White House Presidential Office (D) posted a Press Release on February 2, 2012 

UN Tank in Southern Kordofan
The United States strongly condemns the bombing by the Sudanese Armed Forces of civilian populations in Southern Kordofan and Blue Nile States in Sudan.  Aerial attacks on civilian targets are unjustified and unacceptable.  Such attacks are a violation of international law and compound the ongoing crisis in these areas.

Thursday, January 19, 2012

MBUNGE SUMARI WA CCM AFARIKI DUNIA

HASH POWER 7113

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, mbunge wa Jimbo la Arumeru kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Jeremia Sumari amefariki dunia leo.

Mbunge huyo alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwa kipindi kirefu na wakati anakutwa na mauti leo alfajiri alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Tuesday, January 17, 2012

MAREHEMU REGIA AAGWA KARIMJEE; R.I.P

Askari wa bunge wakiwa wamebeba mwili wa marehemu
Viongozi wa kitaifa wakiwa Karimjee kuuaga mwili wa marehemu Regia
Mwili wa Regia ukiingizwa katika Viwanja vya Karimjee kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho
Baadhi ya waombolezaji wakitoa salamu za mwisho

HASH POWER 7113

Saturday, January 14, 2012

MBUNGE REGIA MTEMA AFARIKI KWENYE AJALI

HASH POWER 7113
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Regia Mtema amefariki dunia leo kwa ajali ya gari iliyotokea asubuhi eneo la Ruvu Darajani wakati akienda kukagua shamba lake alilopewa na familia.
Marehemu Regia enzi za uhai wake

Siku alipokuwa akilakiapo bungeni baada ya kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa... Jina lake Lihimidiwe
Inna Lillah wa Inna Ilaih Raji'un

MTOTO WA LIYUMBA, WENZAKE WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

Sehemu ya shehena ya madawa yaliyokamatwa
(Kwa msaada wa Michuziblogspot.com)
Jumla ya kilo 209 za dawa za kulevya aina ya Heroine zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 9, zimekamatwa katika Kijiji cha Mchinga mkoani Lindi na watu … wanashikiliwa na jeshi la polisi kuhusiana na dawa hizo haramu.

Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Kamanda wa Polis wa Mkoa wa Lindi, George Mwakajinga, aliwataja waliokamatwa kuwa ni Morine Amatus Liyumba (21),

Tuesday, January 10, 2012

BALLON d'O; AND THE WINNER IS...


HASH POWER 7113
Mchezaji wa Barcelona Lionel Messi (24) alitunukiwa tuzo ya FIFA Ballon d’O kwa mara ya tatu mfululizo na kuwashinda wachezaji wenzake kama Xavi na mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo katika tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwaka.

Messi, man of the match katika champions league final mwaka 2011, pia alishinda kombe la La Liga, Spanish Supercopa, UEFA Super Cup na Kombe la klabu bingwa ya dunia mwaka uliopita.

JAY Z RELEASES 'GLORY' SONG FEATURING HIS BABY, IVY BLUE

HASH POWER 7113//TIME MAGAZINE
Though there were jokes that Jay-Z and Beyoncé’s child, already the most famous baby in the world, would come out of the womb rapping and singing, no one expected it would actually happen this fast.
Jay-Z released a song on his website welcoming his baby girl to the world (born on Saturday, Jan. 7) entitled “Glory,” featuring “B.I.C.”—or Blue Ivy Carter herself. Hov samples the cries of Blue at the end of the track, making her the youngest kid officially in the rap game.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...