Monday, August 6, 2012

KEAGAN ANYAKUA DOLA 300,000 BBA STARGAME

HASH POWER 7113


Johannesburg, Afrika Kusini
Lile shindano lililowabamba watu kibao ndani na nje ya Bara la Afrika la Big Brother Africa ‘Stargame’, Jumapili iliyopita lilifikia tamati ambapo mshiriki kutoka Sauzi, Keagan Petersen aliibuka kidedea na kunyakua kitita cha dola 300,000 (zaidi ya Sh. Milioni 450) huku Prezoo kutoka Kenya akishika nafasi ya pili.
Kwa mujibu wa wadau waliokuwa wanalifuatilia shindano hilo, Prezoo aliyekuwa na nafasi kubwa ya kuibuka kidedea, ameponzwa na tabia yake ya kucheza na mioyo ya mabinti mjengoni, kutokuwa mkweli kwenye mapenzi kama ilivyotokea kwa Goldie na kupenda ugomvi na ulevi wa kupindukia, mambo yaliyompunguzia mashabiki na hivyo kukosa kura nyingi.
Hata hivyo, licha ya kushika nafasi ya pili, Prezoo amelamba dili la nguvu la kuwa balozi wa Kampeni ya ONE na kupata zali la kwenda kuhudhuria shoo ya Jay Z nchini Marekani siku chache zijazo.
Washiriki kutoka Tanzania, Hilda na Julio walitolewa katika hatua ya kwanza ya mtoano na kusababisha Watanzania wengi wasiendelee kufuatilia shindano hilo.
 

A SAD LETTER FROM BOW WOW FATHER'S TO HIS SON

HASH POWER 7113
 
To my beloved son,  Bow Wow
I guess the only way you want to communicate with me is
through the media. I recently read your article in Vibe and I felt like I
needed to contact you.
First off, I want you to know how happy and proud I am of
you and your success. I was also blessed that your mother and step-father did
an excellent job of raising you to the man you are today. I can also say that I
am proud that you have done your best to be a father to your daughter. I don’t
want you to have the regrets that I have had for not being in your life more
than I have been. Your Grandfather, my Dad, left me at an early age as well, it is time to stop this cycle.

Friday, July 20, 2012

TAARIFA YA RAIS KIKWETE KUFUATIA AJALI YA KUZAMA KWA MELI YA MV SKAGIT

JANA tarehe 18 Julai, 2012, majira ya alasiri kumetokea ajali ya kuzama kwa meli ya MV SKAGIT katika eneo la Chumbe, Zanzibar. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kueleka Zanzibar ilikuwa imebeba watu 290. Kati yao watu wazima 250, watoto 31 na wafanyakazi wa meli 9. Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete aliagiza vyombo vya ulinzi na usalama vya Serikali ya Muungano yaani JWTZ na Polisi waanze kazi ya uokoaji mara moja. Kazi hiyo imefanywa kwa kushirikiana na vyombo vya usalama vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na meli za makampuni binafsi. Mpaka giza lilipokuwa limeingia na hivyo kazi ya uokoaji kusitishwa mpaka kutakapokucha tarehe 19 Julai, 2012, watu 136 walikuwa wameokolewa na maiti 31 zilikuwa zimepatikana. Aidha, mali zilizokuwa kwenye meli hiyo hazikuweza kuokolewa. Kufuatia ajali hiyo, Rais wa Jamhuri ya Muungano alizungumza na Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Alimpa pole kwa ajali iliyotokea hasa kwa vifo na majeraha waliyopata Watanzania wenzetu na watu wasiokuwa raia wa Tanzania.

Wednesday, July 18, 2012

SKAGIIT YAZAMA BAHARI YA HINDI

HASH POWER 7113
Boti ya Skagit inayomilikiwa na Kampuni ya Seagul iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Saalam kwenda Zanzibar ikiwa na abiria zaidi ya 290 imezama kwenye bahari ya Hindi, eneo la Chumbe na kusababisha maafa makubwa baada ya kile kilichoelezwa kuwa ni injini za boti hiyo kuzimika ghafla.
 
Mmoja wa majeruhi wa ajali ya meli ya MV Skagit iliyozama katika eneo la Pungume karibu kilomita 48 kutoka Bandari ya Zanzibar jana, akipata matibabu.
 Majeruhi wakizidi kupatiwa huduma ya kwanza baada ya ajali hiyo.
...Huduma za matibabu zikiendelea.
Majeruhi wakiwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja.
(Picha kwa hisani ya http://issamichuzi.blogspot.com/)

Sunday, July 1, 2012

MKASA WA WAHAMIAJI HARAMU KUTOKA ETHIOPIA

HASH POWER 7113// ACREDITATION; This Day Magazine, Michuzi Blogs


 Baada ya kibali cha kuwazika nchini Tanzania wahamiaji toka Ethiopia waliofariki ndani ya lorry walilokuwa wanasafiria kutolewa na Serikali yao  ya Ethiopia, Serikali ya Tanzania iliamua mazishi ya Raia hao wa Ethiopia kufanyika Juni 29, 2012 Alasiri Mkoani Dodoma na Morogoro kwa baadhi ya miili iliyokuwa imehifadhiwa hospitali ya Mkoa Morogoro na kazi inayoendelea hapa ni ya uchimbaji wa makaburi.
 Vijana 84 wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakipita mmoja baada ya mwingine wakitoa heshima zao za mwisho na kuwaaga ndugu zao kwa kutupa udongo kwenye makaburi yaliyohifadhi miili ya wenzao waliopoteza maisha katika tukio la kusafirishwa kwenye Lorry.
 Kijana Chafamo Yosef (kulia) Muamiaji raia wa Ethiopia akitoa neno la shukrani muda mfupi baada ya kumalizika kwa mazishi kwa jinsi ambavyo wamepatiwa msaada na serikali ya Tanzania tangu siku walipokutwa wametelekezwa, miongoni mwa vitu alivyoahidi akifika nchini kwao Ethiopia ni kuwaelezea watu wa Ethiopia kuwa walidanganywa na kusababishiwa matatizo makubwa hadi baadhi yao kupoteza maisha lakini wao Mungu amewanusuru, wameona nchi nzuri ya Tanzania, wamekutana na serikali nzuri iliyowahudumia kila kitu, na wananchi wenye mioyo ya huruma na ukarimu.
 Raia wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakiwa wameinamisha vichwa vyao chini kuwaombea sala wenzao waliopoteza maisha wakati wa shughuli ya mazishi.
 Safari ya mwisho ya kuwasindikiza na kuwahifadhi katika nyumba zao za milele wahamiaji 43 (21 Dodoma, 23 Morogoro) kutoka Ethiopia waliopoteza Maisha ilihitimishwa kwa kazi ya kufukia makaburi iliyofanywa na vijana na wananchi mbalimbali waliojitokeza kwenye mazishi hayo.
 Wahamiaji hawa (walionusurika) wamekuwa watu waliozamia katika sala na maombi baada ya kunusurika kifo ukizingatia baadhi ya wenzao walikufa katika tukio hilo, kila baada ya chakula jioni wanapewa muda wa kufanya maombi.

 Wahamiaji kutoka Ethiopia walipatiwa kila aina ya msaada wa muhimu uliohitajika kwa wakati kama malazi, mavazi, chakula dawa,  matibabu ya kisaikolojia nk
 Mtoa huduma ya kwanza wa Msalaba Mwekundu akimfunika mmoja wa wahamiaji kutoka Ethiopia ambaye alikuwa na tatizo la maumivu kifuani.
Mabaki ya vitu, miongoni mwake chupa za maji zikiwa nyingi na vifurushi vya sukari na mikate ambavyo walikuwa wanatumia wahamiaji hao kama chakula kwa ajili ya kujinusuru uhai wakiwa ndani ya lorry lililowasafirisha likiwa limefunwa pande zote bila kuruhusu hewa kupita, masalia haya badae yaliteketezwa moto.
 Vijana walioandaliwa kwa ajili ya shughuli ya Mazishi wakishusha miili ya Marehemu kwenye nyumba zao za milele (makaburi) ikiwa ni hatua za mwisho za kuhitimisha safari ya mwisho ya kuwapumzisha watu hao waliopoteza maisha.
 Vijana Wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakilia kwa uchungu muda mfupi baada ya miili ya Wenzao waliopoteza maisha kuwasili eneo la maziko mjini Dodoma, jumla ya Waethiopia 43 walipoteza maisha ambapo 21 wamezikwa Dodoma na 23 Morogoro.
Vijana Wahamiaji kutoka Ethiopia walionusurika kifo wakiwa wamejipanga mistari miwili wakionekana wenye huzuni muda mfupi baada ya kuwasili eneo lililoandaliwa katika Manispaa ya Dodoma kwa ajili ya kuwazika wenzao waliopoteza maisha katika tukio hilo la kusikitisha, jumla ya Waethiopia 43 walipoteza maisha ambapo 21 wamezikwa Dodoma na 23 Morogoro.
 Picha zote na Jery Mwakyoma
Kwa hisani ya Michuzi Blog

Tuesday, June 5, 2012

NDEGE INAYOTUMIA SOLAR POWER YAZINDULIWA

HASH POWER 7113
A Swiss adventurer soared above sun-splashed Spanish valleys toward Morocco on Tuesday on the world's first intercontinental flight in a solar-powered plane.
Bertrand Piccard, a 54-year-old psychiatrist and balloonist, took off into the night skies above Madrid in the Solar Impulse plane, a giant as big as an Airbus A340 but as light as an average family car.
After a graceful, nearly silent takeoff at 5:22 am (0322 GMT), he guided the experimental plane southward from Madrid-Barajas airport and within five hours was halfway between the Spanish capital and the southern coast.

MASTER JAY, SHAA WAMEMWAGANA?

HASH POWER 7113// Global Publishers Ltd.


Sarah Kaisi ‘Shaa’.
Joachim Kimaryo ‘Master Jay’.

WAPENZI masupastaa ambao iliwahi kuelezwa kwamba wanapendana sana, Joachim Kimaryo ‘Master Jay’ na Sarah Kaisi ‘Shaa’, wanadaiwa kumwagana rasmi.
Chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa tofauti za kimapenzi kati ya Jay na Shaa, zimesababisha mpaka kuyumba kwa uhusiano wao wa kikazi ambao walikuwa nao kwa muda mrefu.
Tangu Shaa alipoibuka kimuziki na baadaye alipojitenga na Kundi la Coca Cola Pop Star, alikuwa akisimamiwa kimuziki na Jay kwenye lebo yake ya MJ Records.
Habari kutoka kwa chanzo chetu, zimedai kuwa baada ya kugombana na Jay, sasa hivi Shaa amehamia kwenye menejimenti mpya chini ya Meneja wa Kundi la Tip Top Connection, Hamis Taletale ‘Babu Tale’.

Tuesday, May 22, 2012

OBAMA VISITS JOPLIN

HASH POWER 7113// Acreditation: Obamanews, White House

President Barack Obama delivers the commencement address to the graduating seniors of Joplin High School at Missouri Southern State University in Joplin, May 21, 2012. (Official White House Photo by Lawrence Jackson)
Speaking tonight to the first group of students to graduate from Joplin High School since a tornado ripped through the Missouri city one year ago, President Obama praised the resilience of its community.
“No matter how we might try to avoid it, life surely can bring some heartache, and life involves struggle.  And at some point life will bring loss,” he said. “But here in Joplin, you’ve also learned that we have the power to grow from these experiences.  We can define our lives not by what happens to us, but by how we respond.”
The President called the example set by the people of Joplin -- in the hard work they've put into the recovery, in the imagination they've shown in remaking their city -- "an inspiration."

Monday, May 21, 2012

MV BUKOBA, MIAKA 16 TANGU AJALI ITOKEE

HASH POWER 7113// Acreditation IPP Media na Mitandao
Mei 21, 1996 ni siku ambayo haitasahaulika kwenye kumbukumbu za Watanzania wengi ambapo ajali mbaya na ya kihistoria ya meli ya Mv Bukoba, ilitokea katika ziwa Victoria.
Ajali hiyo iliacha kumbukumbu za kuhuzunisha miongoni mwetu, wengi tukawapoteza wapendwa wetu baada ya meli kupinduka kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kuzidiwa na uzito wa mizigo na abiria waliokuwa ndani yake.
Mungu azilaze roho za marehemu wote mahali pem peponi, Aaamen!
Inna Lillah Wayina Illaih Rajiun.
Meli ikizama baada ya kupinduka (Acreditation: www.ippmedia.com)
Mnara wa kumbukumbu ya waliokufa kwenye ajali hiyo
Baadhi ya waombolezaji wakiwa kwenye makaburi ya wahanga wa ajali hiyo.
 

Friday, May 18, 2012

RESTARE IN PACEM ETERNIS MAFISANGO

HASH POWER 7113// GLOBAL PUBLISHERS
Vilio na majonzi vilisikika leo asubuhi katika viwanja vya TCC Chang’ombe, jijini Dar es Salaam,  wakati maelfu ya waombelezaji walipojitokeza kuuaga mwili wa mchezaji wa timu ya Simba, Patrick Mutesa Mafisango, aliyefariki usiku wa kuamkia jana alfajiri kwa ajali ya gari maeneo ya Chang’ombe  jijini.


 
 
 
 
Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa, Juma Nyoso (kushoto) na John Boko, wakiwa wamebeba  jeneza lililokuwa na mwili wa Mafisango kuupeleka sehemu iliyopangwa.
Jeneza likiwa na kombe la ubigwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania lililotwaliwa na Simba mwaka huu.
Wachezaji…
Baadhi ya wachezaji wa timu ya Taifa, Juma Nyoso (kushoto) na John Boko, wakiwa wamebeba  jeneza lililokuwa na mwili wa Mafisango kuupeleka sehemu iliyopangwa.
Jeneza likiwa na kombe la ubigwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania lililotwaliwa na Simba mwaka huu.
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania wakiwasili TCC Chang'ombe.
....Wakiusubiri mwili wa Mafisango.
Mwili wa Mafisango ukiwasili TCC.
Golikipa wa timu ya Simba, Juma Kaseja, akilia kwa uchungu.
Msemaji wa  Simba, Ezekiel Kamwaga, akilia.
Sehemu ya umati wa waombolezaji.
Kocha Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic, akiwa na huzuni.
Wahariri wa gazeti la Champion, Saleh Ally (kushoto) na John Joseph,  wakiteta jambo.
Mdogo wa marehemu akisaidiwa na waombolezaji baada ya kuishiwa nguvu.  

                            (PICHA ZOTE  NA  ISSA MNALLY, RICHARD

Thursday, May 17, 2012

PATRICK MAFISANGO WA SIMBA AFARIKI DUNIA

HASH POWER 7113//Global Publishers









PATRICK MAFISANGO ENZI ZA UHAI WAKE.
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA KIUNGO WA TIMU YA SIMBA NA TIMU YA TAIFA YA RWANDA, PATRICK MUTENSA MAFISANGO AMEFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO KATIKA AJALI YA GARI JIJINI DAR ES SALAAM.
HABARI ZAIDI ZITAWAJIA MUDA MFUPI…




Monday, May 14, 2012

MENEJA WA JOHANNESBURG HOTEL AFARIKI KWA AJALI

HASH POWER 7113

Aliyekuwa Meneja wa Hoteli ya Johannesburg na The Atriums, Hudson Wilson Msalali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo (Jumatatu, Mei 14, 2012) kwa ajali ya gari iliyotokea eneo la Gereji, Mabibo jijini Dar es Salaam wakati akirejea nyumbani kutoka kwenye majukumu ya kila siku.

Mipango ya mazishi inafanywa ndani ya Makao Makuu ya GPL, Bamaga- Mwenge.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALIPEMA PEPON, AAAMEEEN!

Saturday, April 7, 2012

RESTARE IN PACEM ETERNIS KANUMBA

HASH POWER 7113
To me, you lived like a candle in the wind. May your soul rest in Eternal Peace...Amen
  

Friday, April 6, 2012

The crucifixion of Jesus

HASH POWER 7113

The crucifixion of Jesus is an event that occurred during the 1st century AD. Jesus, who Christians believe is the Son of God as well as the Messiah, was arrested, tried, and sentenced by Pontius Pilate to be scourged, and finally executed on a cross. Collectively referred to as the Passion, Jesus' redemptive suffering and death by crucifixion represent the central aspects of Christian theology, including the doctrines of salvation and atonement.
Jesus' crucifixion is described in all four Canonical gospels, attested to by other contemporary sources, and regarded as a historical event.[1][2][3][4] Christians believe Jesus' suffering was foretold in the Hebrew Bible, such as in Psalm 22, and Isaiah's songs of the suffering servant.[5] According to a Gospel Harmony, Jesus was arrested in Gethsemane following the Last Supper with the Twelve Apostles, and forced to stand trial before a Sanhedrin, Pontius Pilate, and Herod Antipas, before being handed over for crucifixion. After being flogged, Jesus was mocked by Roman soldiers as the "King of the Jews", clothed in a purple robe, crowned with thorns, beaten and spat on. Jesus then had to make his way to the place of his crucifixion.

Friday, March 16, 2012

unedited script

HASH POWER 7113

 WALKING CORPSE

Ungempiga riusasi ya kichwa Yule mwanaharamu< nimjuavyo lazima atakuwaamevaa bullet proof, kifuani, tuwahi kuondokakabla hajaamka," alisema yule mlinzi aliyemsaidai mzee Kihbacha, kwakasi ya ajabu wakamuingiza mama Shanice kwenye gari la kubebea wagonjwa, dereva akafunga mikanda kwaharaka na kuwaelekeza wengine waliokuwa ndani ya gari lile kufanya kama alivyofanya yryr, Sekundechache baadaye gari likatoka liokiwa linapiga viung'ora jkwa wingi.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...