Wednesday, July 18, 2012

SKAGIIT YAZAMA BAHARI YA HINDI

HASH POWER 7113
Boti ya Skagit inayomilikiwa na Kampuni ya Seagul iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Saalam kwenda Zanzibar ikiwa na abiria zaidi ya 290 imezama kwenye bahari ya Hindi, eneo la Chumbe na kusababisha maafa makubwa baada ya kile kilichoelezwa kuwa ni injini za boti hiyo kuzimika ghafla.
 
Mmoja wa majeruhi wa ajali ya meli ya MV Skagit iliyozama katika eneo la Pungume karibu kilomita 48 kutoka Bandari ya Zanzibar jana, akipata matibabu.
 Majeruhi wakizidi kupatiwa huduma ya kwanza baada ya ajali hiyo.
...Huduma za matibabu zikiendelea.
Majeruhi wakiwa katika hospitali ya Mnazi Mmoja.
(Picha kwa hisani ya http://issamichuzi.blogspot.com/)

No comments:

Post a Comment

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...