"Kwani ameona nini?" Abiria mmoja alihoji kwa sauti ya juu, mwingine akadakia: "Hawa ndiyo wachawi wenyewe, mbona sisi sote tumekaa siti za mbele lakini hatuoni hayo anayoyasema?" Mwingine kutoka nyuma aliibuka na kushinikiza Gamutu ashushwe. Kauli zote zilizokuwa zinatolewa zilikuwa zikigonga kwenye kichwa cha bi Lubunga. Kauli pekee aliyoitoa ilikuwa: "Mjukuu wangu ana matatizo ya akili, tunampeleka hospitali."
Angalau baada ya kauli ile ya Bi Lubunga abiria pamoja na dereva waliamua kumpuuza Gamutu na safari ikaendelea.
SASA ENDELEA...
Friday, August 12, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-D9-f4g7v325whUZRZ0JZ7ywMS0QRURT7TipyByg4BjtHH5lqO6cKJRC0qEcCS8pvkXF-SbxNNlp87yzsMx1AmYQGgWmK-uMzhv-50LvY2KmBGdmwgl3S6V4doAhKCKFjufGtevgGA5gdrgMDo9SFlJ5NUBC0XI_m2lmdfMcZDUckKwhJ5W5N-Bd8/w545-h307/Untitled%20design.jpg)
-
Ni wiki nyingine ambapo mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba ambapo tunajadiliana mambo mbalimbali yanayohusu ...
-
Geneviv ni binti mdogo ambaye amezaliwa katika familia yenye maisha mazuri sana.Mungu amemjaalia kuwa na sura nzuri yenye mvuto.Bahati mbaya...
No comments:
Post a Comment