Tuesday, January 6, 2015

CAMERON DIAZ AND MADDEN ARE MARRIED!


Credits: E! News
The couple tied the knot Monday night at Diaz's Beverly Hills home after a whirlwind courtship and blink-and-you-missed-it engagement.
All told, we hear that about 100 guests were in attendance and, while a massive tent was set up in the yard, the ceremony took place inside the house. Friends and family filed into the reception tent after the I-dos.
Word just got out today that the super-stealth duo were planning on taking the plunge, boggling more than a few minds since Diaz, 42, and Madden, 35, just stepped out as a couple (and an unconfirmed couple at that) last May.
 The Good Charlotte rocker popped the question a few days before Christmas.
But maybe they started planning when they met, because the big celebration didn't have the look of an 11th-hour affair.

JIMBO LA KILOSA; MAPIGANO, HUDUMA MBOVU ZA KIJAMII NI TATIZO SUGU


Na Hashim Aziz
Kilosa ni moja kati ya wilaya zinazounda Mkoa wa Morogoro ikiwa na jumla ya wakazi 26,060 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2002. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na mwanasiasa mkongwe, Mustapha Mkulo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mkullo (kulia)
Wiki iliyopita, Uwazi lilifunga safari mpaka kwenye jimbo hilo ambapo mwandishi wetu alifanikiwa kuzungumza na wananchi wa maeneo mbalimbali yakiwemo Mtendeni, Mkwateni, Magomeni, Kibaoni, Manzese A, Manzese B, Uhindini, Mazinyungu na maeneo mengine mengi ambapo alizungumza na wananchi walioeleza matatizo yao.
MATATIZO YA WANANCHI
Katika ziara hiyo, Uwazi lilibaini matatizo mbalimbali yanayowakabili wananchi wa jimbo hilo, kubwa ikiwa ni mapigano ya mara kwa mara kati ya jamii za wakulima na wafugaji wanaogombea ardhi kwa ajili ya kilimo na ufugaji, kama ilivyobainika pia katika Jimbo la Mvomero ambalo pia lilitembelewa hivi karibuni.
Mkullo
Wakulima wanalalamika kwamba wafugaji wa Kimasai,

IDI AMINI DADA; MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU

Wengi wanamkumbuka kutokana na ukatili wake kipindi alipokuwa madarakani na vita kali ya kugombea mpaka iliyopiganwa kati ya nchi yake ya Uganda dhidi ya Tanzania, enzi hizo ikiwa chini ya Rais Julius Kambarage Nyerere.
Anaitwa Idi Amini Dada, Rais wa tatu wa Uganda aliyeingia madarakani baada ya kumpindua Rais Milton Obote na yafuatayo ni mambo kumi usiyoyajua kuhusu dikteta huyu.
1. Katika kipindi alichokuwa madarakani, kutoka 1971 hadi 1979, inakadiriwa kwamba aliwaua kikatili zaidi ya watu laki tano waliokuwa wakienda kinyume na amri zake.

2. Aliwahi kuwa mwenyekiti wa OAU (Organisation of African Unity) na alikuwa na ndoto za kuiunganisha Afrika kuwa nchi moja ili aitawale, kama alivyokuwa akiwaza rafiki yake mkubwa, Muammar Gaddafi.
3. Alikuwa na elimu ndogo aliyoipata kwenye Shule ya Kiislamu ya Bombo na inaelezwa kuwa baadaye aliacha shule akiwa hajui vizuri kuandika wala kusoma.
4. Mpaka anakufa, historia ya maisha yake haikuwa ikifahamika vizuri. Wachambuzi wanaeleza kuwa alizaliwa Koboko mwaka 1925, kutoka kabila la Kakwa.

Monday, January 5, 2015

BOKO HARAM FIGHTERS OVERPOWER MULTINATIONAL FORCE


Boko Haram Islamic extremists have overpowered a multinational military force and seized its key base on Nigeria's border with Chad, according to residents who took to canoes to escape.

Scores of soldiers and civilians were killed, while others drowned in Lake Chad, Nigerians taking refuge in a Chadian village said in cell phone calls Sunday night. They said insurgents fired rocket-propelled grenades and automatic assault rifles and hurled explosives.
Boko Haram

"They came in their hundreds driving several Hilux patrol vehicles, trucks and some were on motorcycles and immediately began to throw explosives and bombs," fisherman Audu Labbo told The Associated Press.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...