Nilimuua Nimpendaye ni Riwaya ya kusisimua iliyotungwa na mtunzi mahiri, Azizi Hashim @hashpower na kusimuliwa kwako na Nezia Moris.
Ndani ya simulizi hii, utakutana na visa vya kusisimua kuhusu mapenzi, ambapo msichana mdogo, Eunice anajikuta akiangukia kwenye penzi la mtu hatari, ambaye ndiye aliyehusika na kifo cha baba yake mzazi.
Sikiliza simulizi hii kuanzia mwanzo mpaka mwisho, usisahau kusubscribe, kudownload na kushare!
Copyright@Aziz Hashim 2021
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...
-
Ni wiki nyingine ambapo mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba ambapo tunajadiliana mambo mbalimbali yanayohusu ...
-
Geneviv ni binti mdogo ambaye amezaliwa katika familia yenye maisha mazuri sana.Mungu amemjaalia kuwa na sura nzuri yenye mvuto.Bahati mbaya...
No comments:
Post a Comment