Mzee Khalfan alisikia sauti ikimuamuru kusimama vilevile alivyokuwa, vinginevyo angemwagiwa mvua ya risasi. Aliikaidi amri ile na kwa kasi ya ajabu akakimbia kwa mfumo wa zigzag hadi uani alikowaacha Wanae Khaleed na Girbons.
Kilichomsaidia ilikuwa ni kukimbia kwa kuhama upande mmoja hadi mwingine, la sivyo risasi tatu zilizofyatuliwa na jambazi lile zingemsambaratisha kabisa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...
-
Ni wiki nyingine ambapo mwenyezi Mungu ametujaalia kukutana katika busati letu la mahaba ambapo tunajadiliana mambo mbalimbali yanayohusu ...
-
Geneviv ni binti mdogo ambaye amezaliwa katika familia yenye maisha mazuri sana.Mungu amemjaalia kuwa na sura nzuri yenye mvuto.Bahati mbaya...
No comments:
Post a Comment