Monday, September 3, 2018

KIVURUGE WA TANDALE- 6



ILIPOISHIA:
“Tumeshafika bro!” alisema yule dereva wa Ubber, kauli yake ndiyo iliyotuzindua kutoka kwenye dimbwi la huba, kucheki pembeni, kweli tayari tulikuwa Tandale kwa Mtogole.
SASA ENDELEA...
Tuliteremka kwenye Uber, kwa jinsi Nancy alivyokuwa mzuri, kitendo cha kuteremka tu pale kituoni, niliwaona wahuni kibao wakiacha kila walichokuwa wakikifanya na kuanza kutukodolea macho.
Waliokuwa wakicheza kamari waliacha, waliokuwa wakicheza singeli waliacha na hata waliokuwa wakipiga stori, wote walibaki wanatukodolea macho.
Shida moja ya kwetu ndiyo hiyo, yaani vijana wana njaa kiasi kwamba kila kitu kizuri kinachopita, wao wanaanza kuhesabu kama dili! Nilijua pale wanatupigia mahesabu ya kuja kutukaba na kuchukua viwalo vya kijanja alivyokuwa amepiga Nancy, simu yake, pochi pamoja na simu yangu.
Kwa kuwa nimeshaishi sana Tandale na najua namna ya kwenda sawa na wahuni, niliamua kuchukua tahadhari mapema kwa sababu kama tungekabwa na mrembo kama Nancy, ningekuwa nimejishushia mno hadhi.

Nilichokifanya nilimshika mkono Nancy, nikaongozana naye mpaka kwenye kibanda cha ‘Rasi Kimbute’, rastafari aliyekuwa akisifika kwa uhuni Tandale nzima.
“Kuna buku hapa, nipige escort mpaka magetoni naona wahuni wananitamani,” nilimwambia Rais Kimbute kwa sauti ya chini, akacheka sana mpaka pengo lake likawa linaonekana.
Basi kwa kuwa alikuwa rafiki yangu sana, mara kwa mara nikimtoa vihela vidogovidogo vya ‘fegi’, alikubali kunisindikiza, basi nikawa najitanua huku nikiwa nimemshikilia vizuri Nancy, tukawa tunapiga stori za hapa na pale na Rasi, Nancy akipata shida kubwa kuruka mifereji na mitaro ya maji machafu.
Niliukumbuka wimbo wa Rayvan, msanii wa Bongo Fleva kutoka Wasafi uitwao Kwetu, jinsi nilivyokuwa nakatiza na Nancy ‘kitaani’ ungeweza kufananisha na Rayvan na mrembo Lynn walivyokuwa wakikatisha mitaani, sema tofauti ni kwamba mimi na Nancy tulikuwa wakubwa.
Baada ya kutufikisha karibu na nyumbani, nilimpa Rasi Kimbute shilingi elfu moja kama nilivyomuahidi, akafurahi sana na kuniambia kama nitataka kuondoka, nikamshtue tena aje kunipa ulinzi!
Hayo ndiyo maisha ya kwetu, yaani ukionekana na mtu wa tofauti, anayeonekana kuwa nazo basi ujue hufiki mbali, lazima mateja wawakabe na kuwavua mpaka viatu. Tulipitia dukani kwa Mangi, nikachukua ‘busta’ na maji makubwa, tukaingia ndani ambapo ilibidi mpaka nifunge geti kubwa la nje kwa kufuli ndiyo Nancy atulie.
Mazingira ya kwetu yalionesha kumkosesha mno amani, ikawa ni zamu yangu kumtania kwamba yeye ni sistaduu maisha ya uswahilini hayawezi. Nilimtania mpaka akawa anacheka, ile hofu ikamuisha kabisa.
Japokuwa nilikuwa naishi Tandale, nyumba niliyokuwa maishi ilikuwa nzuri, yenye hadhi nzuri na usalama wa kutosha, sijisifii lakini huo ndiyo ukweli. Hata ndani nako sikuwa ‘mnyonge’, nilikuwa na kitanda cha kisasa, futi sita kwa sita, ukutani runinga ya kisasa (flat screen) na muziki mnene, sofa la kuzugia, kafriji kakiaina na kapeti manyoya.
“Mh! Kumbe kwako kuzuri hivi? Unavyoonekana kwa nje na ndani ni tofauti sana, kumbe una akili,” alisema Nancy, nikajifanya kama sijamsikia. Nilifungua ‘busta’ yangu na kuchanganya na maji kidogo kwenye glasi, nikaigida yote, Nancy akawa anachekacheka tu mwenyewe, mara ashike hiki aache, mara ashike kile, mara abadilishe ‘chaneli’ kwenye runinga, ilimradi tafrani.
Kwa jinsi nilivyokuwa nimechoka, ilibidi nikaoge kwanza, nikamuacha Nancy akiwa amekaa kwenye kochi, akisikiliza muziki. Tayari alishakuwa mwenyeji ndani ya dakika chache tu alizokaa pale ndani, nikazidi kujiona mshindi.
Dakika tatu baadaye, tayari nilikuwa nimeshajimwagia maji, kurudi ndani nikamkuta Nancy ameshasaula kila kitu alichokuwa amekivaa na kujifunga mtandio mwepesi eti kwa madai kwamba na yeye anataka kwenda kuoga. Nilijikuta nimeshtuka kama nimepigwa na shoti ya umeme! Hata sijui ni nini kilichonishtua lakini nadhani ni kwa sababu ya jinsi Nancy alivyokuwa ameumbika!
Kiukweli, Nancy alikuwa moto wa kuotea mbali. Nilisikia vinyweleo vyote vya mwili vikipigwa na kaubaridi fulani, nikameza mate kama fisi aliyeona mfupa, Nancy akawa ananitazama kwa macho kama ya mtu aliyebanwa na usingizi mzito.
Nilishindwa kuvumilia, nilimsogelea na kumvutia kwangu, akaja mzimamzima na kunikumbatia, bila kujali maji yaliyokuwa yakichuruzika mwilini mwangu kwani nilikuwa bado sijajifuta, tukagusanisha ndimi zetu, kwa ufundi mkubwa nikapitisha mikono yangu na kukikamata vizuri kiuno cha Nancy, nikamuona akiruka kama anayetaka kupaa.
Niliendelea kumshika vile huku vidole vyangu vikitembea taratibu kushuka chini, mapigo ya moyo wake yakaanza kubadilika, akawa anapumua harakaharaka kama aliyetoka kukimbia mbio za mita mia moja.
Haikuchukua muda, ule mtandio tayari ulikuwa chini na mimi taulo hata sikukumbuka limetokaje mwilini mwangu, tukawa tumesimama tukiwa ‘saresare maua’.
Niliendelea kushuka chini taratibu, nikawa navinjari kwenye mwinuko maridhawa uliokuwa chini kidogo ya kiuno chake ambao ama kwa hakika ulikuwa umejaa na kubinuka kisawasawa, akawa anapiga ukelele kwa staili ya kudekadeka, ulioleta raha ya ajabu masikioni mwangu.
Naye hakubaki nyumba, alisogeza mdomo wake sikioni mwangu, akawa ni kama anataka kuninong’oneza kitu na mimi nikatega sikio kutaka kusikia atasema nini, katika hali ambayo sikuitegemea, nikashtukia akiuingiza ulimi wake sikioni, na mimi nikaruka kama nimekanyaga kaa la moto! Si kwamba nilipanga kuruka, nilijikuta tu nimeruka, akacheka kwa kudeka na kuzidi kunipa mzuka!
Japokuwa nilikuwa najiamini kwamba naweza kuwaamsha mashetani wa mahaba wa Nancy haraka, ajabu ni kwamba yeye ndiye aliyefanikiwa kuwaamsha wa kwangu mapema zaidi.
Japokuwa nilikuwa nimeshapiga gemu mbili tofautitofauti muda mfupi uliopita, na Madam Bella na Salma kule kazini, mbwembwe za Nancy ziliufanya mnara wa mawasiliano uwe unasoma 4G mapema kabisa utafikiri sijagusa chochote kwa zaidi ya wiki nzima.
Niliamua kutumia falsafa yangu ileile, ya kutokuwa na papara kabisa mchezoni. Unajua wanaume wengi wanajikuta wakiadhirika kutokana na papara, yaani wakishaoneshwa dimba la kati tu basi mtu anakimbilia kupiga mashuti, bila kwanza kumsoma golikipa amekaa upande gani, na kupima uwezo wake kama anaweza kudaka mipira ya juu au ya chini.
Nadhani hicho ndicho Nancy alichokitegemea kutoka kwangu, kwamba baada tu ya mnara kusoma 4G na yeye kuliachia dimba la kati wazi, basi nitavamia uwanjani na kuanza kubutua mpira! Thubutuu, mimi siyo wa hivyo.
Niliendelea kumpasha misuli moto taratibu huku mnara ukiwa unasoma 4g vilevile, nikawa namgusa maeneo ambayo nadhani hakuwa anategemea, akawa anarukaruka mara kwa mara huku akitoa miguno ya hapa na pale iliyozidisha kimuhemuhe cha mahaba, chungu kikawa kinachemka kwa kasi.
Ilifika mahali akawa anataka ashike mwenyewe mwiko na kuupeleka kwenye chungu ili aanze kusonga ugali lakini nikawa namkwepa kijanja, nilifanya hivyo kwa makusudi kwa sababu nilitaka maji yachemke kabisa ili chakula atakachokula kamwe asije kukisahau maishani mwake.
Ni mpaka nilipohakikisha maji yamechemka mpaka nyuzijoto 100 ndipo nilipoanza kuupeleka mwiko taratibu kwenye chungu chake, tayari kwa kazi ya mapishi.
Niliupeleka taratibu kwa makusudi ili kutazama uimara wa chungu chenyewe, lakini akaona kama namchelewesha, aliushika mwenyewe na kuusokomeza kwenye chungu kwa nguvu, akapiga ukelele mwingine kwa raha na bila kupoteza muda, alianza kazi ya kusonga ugali.
Tofauti kabisa na alivyokuwa akionekana kwa nje, Nancy alikuwa mwepesi mno uwanjani, aliifanya kazi ile kwa kasi ambayo vijana huwa wanapenda kuiita ‘spidi 120’, yaani kama nisingekuwa ngangari, huenda angenizidi mahesabu kutokana na kasi yake lakini alikutana na mwamba!
Alikukuruka mpaka mwisho, akaimba nyimbo zote, akaonesha mbwembwe zote lakini bado nilikuwa naye sambamba, pumzi zilipoanza kumuishia, ndipo na mimi nilipoanza kumuonesha makali yangu, nikawa nashambulia kwa mfumo wa four-four-two, ikawa mpira unachezwa kwenye goli lake tu, ilifika mahali akawa anapiga kelele kwa sauti ya juu mpaka nikawa nahisi baba mwenye nyumba anaweza kushtukia kwamba kuna mechi ya kirafiki inapigwa pale ndani.
Nilimpeleka puta kuliko kawaida, hakuchukua raundi, akatangaza kutaka kuzifumania nyavu na ili twende naye sawa, na mimi nilijiweka katika mkao wa kufunga!
Yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza, akanifunga bao kwa shuti la mbali na kupiga shangwe za nguvu kushangilia ushindi huku mwili wake ukianza kukakamaa na kutetemeka, na mimi nikahitimisha kwa kumfunga kwa uhodari wa hali ya juu uliofanya alitamke jina langu kwa ufasaha kabisa kisha akadondoka pembeni kama mzigo.
Huwezi kuamini, katika gemu tatu nilizopiga siku hiyo, hiyo ya Nancy ilikuwa ni ya kimataifa kwa sababu tulipoenda mapumziko, wote tulipitiwa na usingizi mzito, kuja kushtuka, tayari ilikuwa ni saa saba za usiku.
“Mungu wangu, nitasema nini nyumbani,” alisema huku akikurupuka na kuanza kutafuta nguo zake, nikaona analeta masihara, ataondokaje muda huo wakati hata kipindi cha pili kilikuwa bado?

Je, nini kitafuatia? Usikose next issue.

No comments:

Post a Comment

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...