Monday, May 25, 2015

WEMA: NAMPENDA ZARI

Mwanadada Wema Sepetu, amefunguka kwamba hana tatizo na Zarina Hassan 'zari' licha ya kuwa mrembo huyo anatoka na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul 'Diamond'.
Wema aliyasema hayo usiku wa jana mei 25, 2015 katika kipindi cha Ala Za Roho kinachoongozwa na Loveness Malinzi 'diva' wakati akihojiwa.

No comments:

Post a Comment

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...