Wednesday, May 27, 2015

RAY AMKANA MTOTO WA JOHARI

Msanii wa filamu za Kibongo, Raymond Kigosi 'Ray' amemkana mtoto wa mpenzi wake wa muda mrefu, Blandina Chagula 'Johari' aitwaye Maria na kusisitiza kuwa mtoto huyo si damu yake.

Ray aliulizwa kuhusu mtoto wa Johari mbele ya Chuchu, akamkana na kwenda mbali zaidi kwa kusema ni jambo la heri kujiweka mbali na watu wanaotafuta umaarufu kupitia yeye.

"Achaneni na hayo mambo, sihusiki na lolote na jambo la mtoto na sipendi kabisa kuzushiwa mambo kama hayo, watu wasinitafsiri kwa minong'ono na badala yake wafuate ninachosema, kwa sasa mwanamke wa maisha yangu ni Chuchu na ntakuwa natembea nae kila mahali ili nione hao wanasema mimi ni mpenzi wao.

No comments:

Post a Comment

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...