Wednesday, May 27, 2015

RAY AMKANA MTOTO WA JOHARI

Msanii wa filamu za Kibongo, Raymond Kigosi 'Ray' amemkana mtoto wa mpenzi wake wa muda mrefu, Blandina Chagula 'Johari' aitwaye Maria na kusisitiza kuwa mtoto huyo si damu yake.

Ray aliulizwa kuhusu mtoto wa Johari mbele ya Chuchu, akamkana na kwenda mbali zaidi kwa kusema ni jambo la heri kujiweka mbali na watu wanaotafuta umaarufu kupitia yeye.

"Achaneni na hayo mambo, sihusiki na lolote na jambo la mtoto na sipendi kabisa kuzushiwa mambo kama hayo, watu wasinitafsiri kwa minong'ono na badala yake wafuate ninachosema, kwa sasa mwanamke wa maisha yangu ni Chuchu na ntakuwa natembea nae kila mahali ili nione hao wanasema mimi ni mpenzi wao.

Monday, May 25, 2015

WEMA: NAMPENDA ZARI

Mwanadada Wema Sepetu, amefunguka kwamba hana tatizo na Zarina Hassan 'zari' licha ya kuwa mrembo huyo anatoka na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul 'Diamond'.
Wema aliyasema hayo usiku wa jana mei 25, 2015 katika kipindi cha Ala Za Roho kinachoongozwa na Loveness Malinzi 'diva' wakati akihojiwa.

Mmmh! Karama utaoa kweli ???

Mwanamuziki Luteni karama juzi jumamosi amemvalisha pete ya uchumba mpenz wake wa siku nyingi pia ni mwanamuziki Isabella mpanda "Bella" tukio hilo lilifanyika katika ukumbi wa klabu kakala iliyopo kigamboni jijini Dar es salaam

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...