Tuesday, December 23, 2014

MREMBO APIGWA RISASI, AFARIKI

Habari zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kwamba binti huyu (pichani) ambaye bado jina na mahali anapoishi havijafahamika, amepigwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi mchana wa leo, Morocco, nyuma ya makao makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam. 

Kwa mujibu wa mashuhuda waliokuwepo eneo la tukio, majambazi hao walikuwa wametoka kufanya uhalifu kwenye kibanda kimoja cha M-Pesa kilichopo jirani na eneo hilo, wakati wakiondoka wakawa wanarusha risasi hovyo na moja ikampata mrembo huyu na kuyakatisha maisha yake papo hapo.
mwili wa marehemu baada ya kupigwa risasi

No comments:

Post a Comment

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...