Thursday, November 29, 2012

KABURI LA SHARO MILIONEA HILI HAPA

Hii ndiyo nyumba ya milele ya Sharo, mahali alipozikwa.
HASH POWER 7113
Mazishi ya msanii maarufu wa Komedi na muziki wa Bongo Fleva, Hussein Mkiety 'Sharo Milonea' yalifanyika jana nyumbani kwao, kijiji cha Lusanga- Muheza mkoani Tanga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji.
Innah Lillah Wayna Illaih Rajiun!
Nyumbani kwa marehemu

Mama mzazi wa Sharo

Sehemu ya waombolezaji

Mzee Majuto msibani

No comments:

Post a Comment

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...