Tuesday, August 21, 2012

MBUNGE WA IGUNGA AVULIWA UBUNGE

HASH POWER 7113
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa alipokuwa anamnadi Kafumu kwenye kampeni
Aliyekuwa mbunge wa Igunga, Tabora kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dalali Peter Kafumu amevuliwa ubunge wa jimbo hilo na Mahakama Kuu Kanda ya Tabora baada ya kubainika kuwa hakumshinda kihalali mpinzani wake, Kashinje wa Chadema.
Mahakama hiyo imechukua hiyo leo baada ya kuridhishwa na ushahidi wa pande zote mbili ambapo pia imebainika kuwa viongozi mbalimbali wa kiserikali, wakiwemo mawaziri na viongozi wastaafu walishirikiana kuwarubuni na kudaiwa kutoa rushwa kwa wananchi wa jimbo hilo ili Kafumu ashinde.
Habari hizo si nzuri kwa wanachama wa CCM ingawa kwa upande mwingine zimepokelewa kwa shangwe na mashabiki wa vyama pinzani hususan Chadema.

MELES ZENAWI DIES AT THE AGE OF 57

HASH POWER 7113// Acreditation: BBC News

Ethiopian Prime Minister Meles Zenawi has died at the age of 57, state media say, after weeks of illness.
A government spokesman said Mr Meles had died in a hospital abroad - but did not say exactly where or give details of his ailment.
Meles Zenawi
Speculation about his health mounted when he missed an African Union summit in Addis Ababa last month.
Mr Meles took power as the leader of rebels that ousted communist leader Mengistu Haile Mariam in 1991.
He had dominated Ethiopian public life since the 1990s, as president and then prime minister.
He was austere and hardworking, with a discipline forged from years spent in the guerrilla movement - and almost never smiled, says Elizabeth Blunt, the BBC's former correspondent in Addis Ababa.

Monday, August 20, 2012

YU WENXIA- MISS WORLD 2012

HASH POWER 7113
Mashindano ya kumsaka Miss World 2012 yaliyofanyika Agosti 18, 2012 katika ukumbi wa Dongsheng Fitness Center, Ordos, Mongolia nchini China na kushirikisha warembo 116, Tanzania ikiwakilishwa na Lisa Jensen, yamemalizika na kumtangaza Yu Wenxia wa China kuwa mshindi.
Nafasi ya pili ilishikwa na Sophie Moulds wa Wales na ya tatu ikachukuliwa na Jessica Kahawaty.

Nafasi ya nne hadi ya saba zilichukuliwa na Deanna Robins wa Jamaica, Atong Demach wa Sudan Kusini (ameshinda taji la Miss Afrika), Mariana Notarangelo wa Brazili na Vanya Mishra wa India.
 




Sunday, August 19, 2012

EID MUBARAK 2012

HASH POWER 7113
 May Allah bless you all on this auspicious day of Eid,
and May it be a new beginning of happiness.
May the day delight
and the moments measure all the special joys
for all of you to treasure.
May the year ahead be fruitful too,
for your home and family and specially for you
Wish you a Happy Eid Mubarak


Friday, August 17, 2012

South Africa bloody killings of miners (Mauaji ya kutisha ya wachimba madini Sauzi)

HASH POWER 7113// Acreditation: Reuters, Yahoo News

Photo: Reuters
Crime scene investigators combed the site of the shooting, which was cordoned off with yellow tape, collecting spent cartridges and the slain miners' bloodstained traditional weapons - machetes and spears.
Six firearms were recovered, including a service revolver from one of the police officers killed earlier in the week.
Prior to Thursday, 10 people had died in nearly a week of conflict between rival unions at what is Lonmin's flagship plant

Wednesday, August 15, 2012

VURUGU ZA WACHIMBA KOKOTO ZAFUNGA BARABARA KIGAMBONI

HASH POWER 7113//Acreditation: Global Publishers

Wanausalama wakizima moto uliosababishwa na mataili yaliyochomwa na wachimba kokoto.…

Sunday, August 12, 2012

Dk Ulimboka arejea kwa kishindo

Dk Ulimboka kabla hajaanza kutibiwa.
Kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk. Steven Ulimboka amerejea leo kutoka nchini Afrika Kusini alikopelekwa kwa matibabu baada ya kutekwa, kuteswa kisha kutupwa kwenye msitu wa Mabwepande na watu wasiojulikana. Umati mkubwa wa watu ulijitokeza kumlaki alipowasili majira ya saa 8:15 mchana, Jumapili ya Agosti 12, 2012.
Dk Uli anasema yupo fit kuendelea na majukumu yake kama kawaida. 
Dk Ulimboka wakati akitibiwa, kabla ya kupelekwa Afrika Kusini.

Dk Ulimboka, aliyeshika maua wakati akirejea nchini.

Friday, August 10, 2012

Eminem awashukuru mashabiki waliomsaidia kuachana na drugs

HASH POWER 7113// Acreditation: AP, Yahoo News

NEW YORK (AP) — Eminem, who battled an addiction to prescription drugs, thanked his fans at a New York concert for helping him get through dark times.
The 39-year-old told hundreds Thursday night that he "wouldn't have gotten out of that dark place without y'all" before he performed the Grammy-winning song "Not Afraid." He said the performance was "dedicated to anybody tonight who's been through personal struggles."

Monday, August 6, 2012

KEAGAN ANYAKUA DOLA 300,000 BBA STARGAME

HASH POWER 7113


Johannesburg, Afrika Kusini
Lile shindano lililowabamba watu kibao ndani na nje ya Bara la Afrika la Big Brother Africa ‘Stargame’, Jumapili iliyopita lilifikia tamati ambapo mshiriki kutoka Sauzi, Keagan Petersen aliibuka kidedea na kunyakua kitita cha dola 300,000 (zaidi ya Sh. Milioni 450) huku Prezoo kutoka Kenya akishika nafasi ya pili.
Kwa mujibu wa wadau waliokuwa wanalifuatilia shindano hilo, Prezoo aliyekuwa na nafasi kubwa ya kuibuka kidedea, ameponzwa na tabia yake ya kucheza na mioyo ya mabinti mjengoni, kutokuwa mkweli kwenye mapenzi kama ilivyotokea kwa Goldie na kupenda ugomvi na ulevi wa kupindukia, mambo yaliyompunguzia mashabiki na hivyo kukosa kura nyingi.
Hata hivyo, licha ya kushika nafasi ya pili, Prezoo amelamba dili la nguvu la kuwa balozi wa Kampeni ya ONE na kupata zali la kwenda kuhudhuria shoo ya Jay Z nchini Marekani siku chache zijazo.
Washiriki kutoka Tanzania, Hilda na Julio walitolewa katika hatua ya kwanza ya mtoano na kusababisha Watanzania wengi wasiendelee kufuatilia shindano hilo.
 

A SAD LETTER FROM BOW WOW FATHER'S TO HIS SON

HASH POWER 7113
 
To my beloved son,  Bow Wow
I guess the only way you want to communicate with me is
through the media. I recently read your article in Vibe and I felt like I
needed to contact you.
First off, I want you to know how happy and proud I am of
you and your success. I was also blessed that your mother and step-father did
an excellent job of raising you to the man you are today. I can also say that I
am proud that you have done your best to be a father to your daughter. I don’t
want you to have the regrets that I have had for not being in your life more
than I have been. Your Grandfather, my Dad, left me at an early age as well, it is time to stop this cycle.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...