Sunday, June 26, 2011

Saturday, June 18, 2011

Day Schedule 18 June

HASH POWER 7113
-Early Rising
-Complishing of uncensored
-Editorial communal
-Actual Perfomance

SETBACK
Time Limit
Accuracy
Socialism

I Know I Can


Uncensored Acreditation 2 Pac Death

HASH POWER 7113
Ilikuwa ni jioni tulivu ya Septemba 7, 1996, kila alikokuwa anapita, mashabiki walikuwa wakifunga njia na kumlazimisha asaini Autography zao. Kwa kuwa alikuwa Ghettho Boy, hilo halikumpa shida, akashow love kila alipotia maguu. Giza lilipoingia kama, makamuzi yakahamia kwenye  makasino ya Las Vegas… kila alipopita alikuwa aakpoikelewa kama mfalme. All eyes on me… keep ya head up. Laiti kama angelijua usiku ule ndiyo wa mwisho kwake, asingepiga hattua kuyafuata mauti.
Akiwa na washkaji zake ambao kiukweli walikuwa ni mapari people, Snoopy Doggy ndani, Marion “Suge” Knight na wengione kibao, walikuwa wakila bata na kuhama viwanja kutoka jimbo moja kwenda jingine.
Wakatia maguu Las Vegas na kuweka kambi Boulevard  huku wakifganya kufuru kila walipotimba club yoyote. Mitaa ilikuwa kimya wakati BMW 750 Sedan, kwenye usukani akiwa mzee mwenye we  Marion “Suge” Knight  na pembeni Pac na nyuma majita kibao likikatiza mitaani jirani na hoteli kubwa za MGM Grand na Caesars Palace. Mbele kidogokulitokea kama msongamano ambao haukueleweka umeanzia wapi.
Mwanaume aliyekuwa amevalia mavazi meusi alichomoza kutoka kwenye Cadillac nyeupe, mkononi akiwa na semiautomatic pistol, akamlenga Pac ambaye hakuwa na habari, akicheka na kufurahi na marafiki zake. Risasi … zikafyatuliwa na kuzama kwenye kifua cha pac… paaaah

Uncensored Version NIIBADILIKA

HASH POWER 7113

ILIPOISHIA:
Mabishano makali yaliendelea kwa muda, ikabidi yule mganga ajibadilishe sura na kuanza kuonekana kama bibi yake Gamutu, Bi Lubunga kisha akajitokeza mbele yake ili aamini.
“Haa kumbe ni wewe bibi?” Alihoji Gamutu huku akimuachia Fatiha na kuanza kuelekea kule yule mganga alikokuwa amesimama. Akachomoa kichupa kilichokuwa na unga mweusi, akaupuliza angani, Gamutu akaanza kujihisi kulegea viungo vvote vya mwili wake.Akahisi kizunguzungu kikali, akamuona yule mganga akimsogelea na kubadilika sura tena, akamshika mikono kisha akazungumza maneno kadhaa ambayo hakuyaelewa, wakapotea kimiujiza.
Kituo cha kwanza kilikuwa ni makaburini, mahali walipokuwa wanafanyia tambiko la kumkomboa Gamutu. Yule mganga alipomfikisha Gamutu akiwa hajitambui, kila mmoja alipiga vigelegele kwa furaha kwani hatimaye kazi ile nzito ilikuwa imekamilika. Wakaendelea na tambiko usiku kucha, Gamutu akiwa amepoteza fahamu. Kulipopambazuka, wakambeba na kuanza kumrudisha nyumbani kwa Bi Lubunga.
SASA ENDELEA…
Mganga wa kwanza alitangulia mbele akiwa na chungu kilichokuwa kinawaka moto ndani yake, yule wa pili akawa ameshika kitanda cha kamba pamoja na Bi Lubunga ambacho walikuwa wamemlaza Gamutu aliyekuwa amepoteza fahamu. Kwa pamoja walikuwa wakiimba mapambio ambayo haikueleweka yalikuwa ni dini gani, huku yule wa mbele akimwaga vitu kama dawa njia yote waliyokuwa wanapita.

Tuesday, June 14, 2011

HASH POWER 7113

AMBWENE YESSAYA 'AY'

HASH POWER 7113
Ambwene Goes International. Picha Juu msanii Ambwene Yessayah akiwa kwenye pozi na msanii Romeao kutoka mambele. Chini akiwa ndani ya ofisi za Global Publishers, Mwenge jijini Dar es Salaam.

Tuesday, June 7, 2011

P SQUARE PAUL'S

HASH POWER 7113

BELLE 9; MLIPE ASEPE

HASH POWER 7113

MAN DOWN! RIHANNA

HASH POWER 7113

REDSAN AJA NA ENEMIES

HASH POWER 7113
Swabiri Mohammed aka Redsan aka king of dancehall wa Kenya ni moja wa artists waliofanya Kenya Music Industry,na sasa amekuja na ngoma mpya inayokwenda kwa jina la Enemies Humo ndani amefunguka kuhusu....ukiwa una mafanikio kwenye kitu unachofanya lazima uwe na haters aka maadui dhidi yako coz sio wote wanaopenda mafanikio yako.
Habari kwa hisani ya TeenTz.com

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...