Wednesday, May 19, 2010

TAMWA, WAANDISHI WA HABARI WAINGIA VITANI

Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali, kinatarajia kuendesha utafiti maalum (Research) juu ya tatizo la wanafunzi wengi wa kike kukatisha masomo yao kutokana na kupewa ujauzito. Utafiti huo utahusisha waandishi wa habari, ambao watasafiri hadi mikoani (Tanzania Bara na Visiwani) kwenda kufanya utafiti shule hadi shule, kijiji hadi kijiji, kata, tarafa na wilaya za mikoa iliyochaguliwa, ili kubaini chanzo cha tatizo hilo na kuona kama jitihada za makusudi zinachukuliwa ili kuwanusuru wanafunzi wa kike na ‘mafataki’ wanaowaharabia masomo yao.

1. Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Ananilea Nkya akifafanua jambo katika semina ya waandishi wa habari watakaoenda mikoani kufanya utafiti, katika semina fupi iliyofanyika kwenye Ofisi za Tamwa, Sinza Mori jijini Dar es Salaam.

2. Mwezeshaji Nyaronyo Kicheere, akitoa semina juu ya jinsi ya kufanya utafiti kwa waandishi wa habari, leo.

3. Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria semina hiyo.

KAZI NA DAWA
4. Washiriki wakipata kifungua kinywa, wakati wa semina hiyo.
Picha: Hashim Aziz/ GPL.

VAGINOSIS: TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU NA HARUFU MBAYA SEHEMU ZA SIRI

Leo tutazungumzia tatizo linalowasumbua wanawake wengi, tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya sehemu za siri. Kitaalamu hali ya mwanamke kutokwa na majimaji (vaginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano, ni hali ya kawaida na wala siyo tatizo endapo majimaji hayo siyo mazito sana na wala hayatoi harufu mbaya. Lakini endapo majimaji yanayotoka yapo katika hali ya ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia, yanatoa harufu kali na yanawasha, basi hiyo ni ishara ya ugonjwa uitwao Vaginosis.

Majimaji au ute unaoteleza kutoka sehemu za siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha na kuutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nje ya mwili. Pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maambukizi ya bacteria au fangasi wanaosababisha magonjwa. Kwa kawaida huwa hayatoi harufu na huwa na rangi nyeupe au ya njano. Pia huwa na asidi ya Lactic ambayo huzuia kuzaliana kwa vijidudu vya maradhi na huzalishwa nkwenye tezi za Bartholin (Bartholin's glands) zilizopo kwenye shngo ya mlango wa uzazi (Cervix).

Kwa kawaida, mwanamke hutoa kiasi cha gramu 2 za seli zilizokufa kutoka kwenye mji a uzazi na gramu 3 za ute mwepesi kila siku. Kiwango hiki huweza kuongezeka au kupungua kutegemeana na mzunguko wa hedhi. Kuna wakati ute huwa mwepesi na unaovutika (kama ute wa yai la kuku) na kuna wakati huwa mzito kiasi na wenye rangi ya njano. Ute huu ni wa kawaida na huwatoka wanawake wote hususan baada ya kuvunja ungo.


SABABU ZA KUTOKWA NA UCHAFU NA HARUFU MBAYA
Kuna sababu nyingi ambazo husababisha mwanamke kutoa ute au majimaji yasiyo ya kawaida kutoka kwenye sehemu zake za siri. Maambukizi ya bacteria wanaosababisha magonjwa kama Trichomoniasis, Candidiasis, Gonorhear au uambukizo wa bacteria Candida albicans, Vaginosis Bacteria n.k husababisha mwanamke kutokwa na uchafu unaoambatana na harufu mbaya.

Pia mabaki ya vitambaa, tissue au pedi ambazo hazikutolewa wakati wa hedhi huweza kusababisha tatizo hili. Usafi wa sehemu za siri usipozingatiwa hususani mwanamke anapokuwa kwenye siku zake za hedhi, huweza kuwa mazalia mazuri ya bacteria wanaosababisha harufu mbaya.

DALILI ZA UGONJWA WA VAGINOSIS
Mwanamke mwenye tatizo la Vaginosis huwa na dalili kubwa ya kutokwa na
ute na majimaji yasiyo ya kawaida (Uchafu) kutoka sehemu za siri. Uchafu huu huwa unatoa harufu kali kama shombo ya samaki au kitu kilichooza na huambatana na maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu.
- Wakati mwingine uchafu wenye rangi kama ya kijani hutoka
- Kuwashwa na kuchomachoma sehemu za siri, mgonjwa asipopatiwa tiba haraka husababisha vidonda sehemu za siri.
- Mwanamke anapoona anatokwa na ute uliochanganyikana na damu hata kama hayupo kwenye siku zake, hii ni dalili nyingine ya Vaginosis.
- Maumivu makali wakati wa tendo pia ni dalili za ugonjwa huu.

MATIBABU
Tatizo hili hutibika hospitalini baada ya vipimo vya kitaalamu kuchukuliwa na daktari au nesi mwenye uzoefu wa kutosha juu ya magonjwa ya wanawake. Dawa za kupaka (Ointment/ Cream) na dawa za kumeza (Pills) huweza kumaliza tatizo hili. Kumbuka: Ni makosa kutumia dawa bila kupata ushauri wa kitaalamu kutoka kwa daktari au nesi.

NINI CHA KUFANYA KUZUIA TATIZO HILI?
Itaendelea tolea lijalo.

MADHARA YA KUVAA VIATU VYENYE VISIGINO VIREFU

KULINGANA na utafiti uliofanywa hivi karibuni na wataalamu wa magonjwa ya miguu kwa binadamu, imebainika kuwa watu wengi huwa wanazaliwa wakiwa hawana matatizo ya miguu. Hata hivyo, kwa kupuuza taratibu za kiafya na ushauri wa wataalamu, watu wengi hupata magonjwa ya miguu wakiwa watu wazima. Taarifa hiyo inazidi kueleza kuwa, kundi lililopo kwenye hatari kubwa ni wanawake ambao inakadiriwa kuwa wanasumbuliwa na matatizo ya miguu, mara nne zaidi ya wanaume.

Wanawake huwa katika hatari kubwa kutokana na mazoea ya kuvaa viatu vyenye visigino virefu. Inaelezwa kuwa asilimia 90 ya wanawake wanaofanyiwa upasuaji mdogo au mkubwa wa miguu, huwa ni kwa sababu ya uvaaji wa viatu usiozingatia kanuni za afya kwa kuvaa viatu vyenye visigino virefu.
Sababu za wanawake kuvaa viatu vyenye visigino virefu, ni kutaka waonekane warefu, wawe na mvuto zaidi na kwenda na fasheni. Licha ya sababu hizo, uvaaji wa viatu vyenye visigino virefu (kuanzia inchi 2) huwa na madhara makubwa kuliko faida.

Kulingana na utafiti wa kitaalamu, mwanamke wa kawaida ana uwezo wa kutembea wastani wa hatua 10,000 kwa siku. Visigino virefu hufanya nguvu inayotumika kutembea hatua moja kuwa kubwa kuliko kawaida, huku vikimnyima raha ya kutembea kwa uhuru.
Visigino virefu huhamisha uzito wa mwili kutoka kwenye visigino vya miguu mpaka kwenye magoti, mapaja na kiuno, na nguvu kubwa inayotumika huishia katika viungio vya mifupa (balls and socket) na kusababisha viwe vinasuguana na kuleta maumivu.

Kwa kawaida, miguu ya binadamu, hasa visigino, vimeumbwa ili kuutegemeza uzito wa mwili juu ya ardhi. Uvaaji wa viatu virefu hufanya uzito wa mwili kubebwa na kisigino kirefu, hivyo uzito wa mwili kushindwa kusawazika.

Matokeo yake husababisha misuli na mishipa ya miguu, kiuno, mgongo na shingo kufanya kazi kubwa ya kujaribu kusawazisha uzito, kazi ambayo kwa kawaida hufanywa na visigino. Hii husababisha miguu, kiuno, na mgongo kuwa katika hatari kubwa ya kupatwa na matatizo ya kiafya, ikiwemo kuteguka na kuvunjika.

Visigino virefu hubadili muundo wa mifupa ya miguu, hivyo kusababisha magoti na misuli ya mapaja (tendons) kufanya kazi ya ziada ili kuupa mwili balansi. Kwa kuwa misuli inakuwa inafanya kazi kubwa, uwezekano wa kupatwa na maumivu makali ya miguu na kushindwa kutembea katika siku za baadae huwa mkubwa.

Visigino virefu husababisha maumivu ya visigino, damu kuvilia ndani ya miguu, mpangilio wa mifupa ya vidole kuvurugika, mishipa na misuli ya tendon kuwa mifupi, neva za fahamu kufungana na kushindwa kufanya kazi yake. Tatizo huendelea kwa vifundo vya miguu (ankle) , magoti, na mifupa ya kwenye mapaja kushindwa kujivuta na kulegea (stretch and relax) na hivyo kusuguana wakati wa kutembea, hali ambayo kama haikudhibitiwa mapema, madhara yake huwa ni makubwa kwa siku za baadaye.

MAZOEZI YA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME (PHYSIOTHERAPY FOR MALE IMPOTENCE)

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ambayo mwanaume au mvulana anapungukiwa au kukosa kabisa nguvu za kusimamisha viungo vyake wakati wa tendo la kujamiiana. Pia inaweza kuwa ni hali ya mwanaume kuwahi kumaliza wakati wa tendo, au kuwa na nguvu hafifu.Utafiti unaonyesha kuwa Wanaume wengi duniani wanasumbuliwa na tatizo hili ingawa hakuna uwazi wa kutosha wa kulielezea tatizo lenyewe.

Idadi kubwa ya wanaume wana nguvu ndogo, nguvu ambayo haikidhi matakwa ya wenzi au wake zao, huku idadi nyingine kubwa wakiwa hawana kabisa nguvu hata kidogo. Inaelezwa kuwa tatizo hili limepelekea ndoa nyingi kuvurugika na limesababisha maumivu makubwa kwa watu ambao wako kwenye uhusiano.

Watafiti wa mambo ya mahusiano na mapenzi wamejaribu kutafuta vyanzo mbalimbali vya tatizo hili na mbinu za namna ya kulitatua. Licha ya kiusababisha ndoa yingi kuvurugika inaelezwa kuwa tatizo hili limepunguza kwa kiwango kikubwa uwezo wa wanaume kujiamini na kushusha ufanisi wao majumbani mwao na sehemu za kazi.

Watafiti mbalimbali wamejaribu kwa miaka mingi kutafuta tiba ya kudumu ya tatizo hili. Miongoni mwa watafiti ambao wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwarudishia wanaume uwezo wao, ni Daktari Arnold Kegel. Daktari huyu aligundua aina ya mazoezi ambayo yamethibitishwa ulimwenguni kote kuwa na uwezo mkubwa wa kumrudishia mwanaume nguvu zake, hata yule ambaye hakuwa nazo kabisa ( hanithi).
Mazoezi hayo yamepewa jina la mgunduzi wake na yanafahamika duniani kote kwa jina la Kegel.

KEGEL NI NINI?
Kama nilivyoeleza , haya ni mazoezi maalum ambayo huhusisha misuli ya Pelvic inayopatikana kwenye eneo lililozunguka viungo vya uzazi vya mwanaume, kwa upande wa ndani wa mwili.
Mazoezi ya Kegel huhusisha kuibana na kuiachia misuli hii kwa utaratibu maalum, hivyo kuiongezea uwezo a kutanuka na kuwa na nguvu kubwa.

Namna ya kuanza kufanya mazoezi haya ni kwanza kutambua mahali ilipo misuli inayotakiwa kufanyishwa mazoezi. Hili linawezekana kwa kujibana haja ndogo kila unapokwenda kujisaidia.Jibane kwa nguvu kuzuia haja ndogo na wakati huohuo kuwa makini kuigundua misuli inayojibana. Rudia zoezi hili kwa mpaka wiki moja mpaka uhakikishe umeitambua vizuri misuli yako. Ni misuli hiyohiyo ndiyo inayohusika na nguvu za kiume.

Ukishaifahamu vizuri misuli yako, anza kwa kuifanyisha mazoezi kama ifuatavyo:
-Hakikisha huna haja ndogo hata kidogo. Simama wima au kaa kwenye kiti na utulie kabisa. Jifanye kama umebanwa na haja ndogo na kubwa kwa wakati mmoja na uko mbali na choo. Jibane kwa kadri ya nguvu zako zote ukiwa kama unazuia haja zisikutoke, Kisha hesabu mpaka tano (Sekunde tano) ukiwa umejibana, kisha jiachie na urudi katika hali yako ya kawaida.



Rudia zoezi la hapo juu kwa kufuatisha mzunguko wa kujibana kwa sekunde tano na kujiachia. Rudia kwa dakika zisizopungua tano kwa mara ya kwanza. Fanya zoezi hili mara mbili kila siku kwa muda maalum ulioupanga na endelea kuongeza muda wa kufanya mazoezi kwa kadri ya nguvu zako zitakavyokuwa zinaongezeka.

Utashangaa kuona kuwa baada ya muda wa takribani wiki sita hadi miezi mitatu tangu uanze kufanya mazoezi haya rahisi, nguvu zako zitaongezeka kwa kiasi ambacho hukutegemea na utakuwa na nafasi nzuri ya kukidhi haja za mkeo au mpenzi wako. Kumbuka kuwa ukishazoea namna ya kufanya mazoezi haya unaweza kuyafanya mahali popote, wakati wowote bila ya mtu mwingine kufahamu unachokifanya.


Angalizo
Mazoezi haya ni kwa wanaume wenye umri wa kuanzia miaka kumi na nane.

Unapaswa kuanza taratibu kufanya mazoezi haya, na uongeze taratibu kadri siku zinavyoenda. Epuka kufanya kwa muda mrefu hatika siku za mwanzoni.

Mazoezi haya hayana athari zozote kwa afya ya mtumiaji kwani hutumii dawa ya aina yoyote zaidi ya kuifanyisha misuli yako mazoezi.

NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

Ili watoto wakue vizuri baada ya kuzaliwa, ni lazima wapate mahitaji muhimu na ya lazima, ikiwemo kunyonyeshwa maziwa ya mama kwa muda unaostahili, kupatiwa chakula bora, huduma bora za afya, malazi, mavazi nk.
Kwa kawaida mtoto mchanga anapaswa kunyonyeshwa kwa muda wa miaka miwili kabla ya kuachishwa kunyonya. Endapo mwanamke atapa ujauzito mwingine wakati bado ananyonyesha, itasababisha mtoto akatishwe ziwa kabla ya muda muafaka, hali ambayo ina madhara makubwa ya kiafya kwa mtoto na mama.

Zifuatazo ni mbinu mbalimbali za kisasa za uzazi wa mpango (Family planning and contraception) zinazoweza kutumika kupanga familia bora na ya kisasa:

1. KUFUNGA UZAZI (VASECTOMY AND TUBAL LIGATION)
Hii ni mbinu inayopaswa kutumiwa na wanandoa au wenzi ambao tayari wamepata idadi ya watoto waliokuwa wanawahitaji. Kwa wanaume, kitendo cha kufunga uzazi huitwa Vasectomy na huhusishwa kukatwa, kutenganishwa na kisha kufungwa kwa mirija ya kupitishia mbegu za kiume (Vans deferens) na kufanya mbegu za kiume (Sperm zisiwe na uwezo wa kufika ukeni).
Kwa wanawake, kitendo cha kufunga uzazi huitwa Tubal ligation na huhusisha kukatwa na kufungwa kwa mirija ya kusafirishia mayai ( Oviduct) na hivyo kuzuia mayai kushindwa kufika kwenye mji wa uzazi (Uterus).

FAIDA
Mbinu hii haiathiri uwezo wa wenzi kufanya tendo la ndoa na ni salama kwa asilimia 100.
Huhusisha mwanandoa mmoja tu, kama baba au mama akifunga uzazi hakuna haja ya mwenzake naye kufunga.
Hakuna madaliko yoyote yanayoweza kuonekna kwa macho kwenye viungo vya uzazi.

MADHARA
Huhusisha upasuaji mdogo ambao huwa na maumivu kiasi.
Ukifunga uzazi huwezi tena kurudi katika hali yako ya awali kwa maisha yako yote yaliyosalia.

2. VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO ( ORAL CONTRACEPTIVES)
Vidonge vya uzazi hutengenezwa vikiwa na homoni ambazo hufanya kazi sawa na homoni za asili zilizoko ndani ya mwili wa mwanamke. Vidonge hivi vinapotumiwa, huingia ndani ya mzunguko wa damu na kufanya kazi ya kuzuia upevushwaji wa mayai ya kike kwa kuzuia uzalishwaji wa homoni ya FSH (Follicle stimulating hormone) kutoka kwenye tezi ya pituitary, pia kuzuia homoni za Oestrogen na Progesteron kufanya kazi yake na hivyo kufanya kitendo cha kutunga mimba kisiwezekane.

FAIDA
Zikitumiwa vizuri kulingana na maelezo ya daktari, huweza kuzuia mimba kwa asilimia 99.
Hutumiwa na wanamke tu.

HASARA
Vidonge hivi vikitumiwa kiholela huwa na madhara makubwa, ikiwemo kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, damu kuganda katika mji wa mimba (Uterus), kuongezeka kwa uzito, matiti kuwa makubwa na kulegea, kupata kichefuchefu cha mara kwa mara na kupungua kwa uwezo wa mwanamke kubeba ujauzito pindi atakapohitaji mtoto.

3. KITANZI (INTRA- UTERINE DEVICE)
Katika mbinu hii ya uzazi wa mpango, kifaa maalum (Kitanzi ) huingizwa ukeni na kusukumwa mpaka kwenye mji wa mimba(Uterus). Kitanzi hufanya kazi ya kuzuia mimba kutungwa kwenye kuta za mji wa uzazi kwa kuzuia yai la kike kukutana na mbegu za kiume.

FAIDA
Ikitumiwa ipasavyo kulingana na maelezo ya kitaalamu ya daktari, huzuia mimba kwa asilimia 96.

HASARA
Kitanzi kinaweza kutoka chenyewe hasa kama mwanamke anafanya shughuli ngumu.
Kitanzi huweza kusababisha michubuko yenye maumivu kwenye kuta za mji wa uzazi au kuharibu kabisa kizazi. Pia husababisha damu kutoka ovyo sehemu za siri kutokana na michubuko kwenye kuta za mji wa mimba (Uterus)
Itaendelea wiki ijayo

NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

Ili watoto wakue vizuri baada ya kuzaliwa, ni lazima wapate mahitaji muhimu na ya lazima, ikiwemo kunyonyeshwa maziwa ya mama kwa muda unaostahili, kupatiwa chakula bora, huduma bora za afya, malazi, mavazi nk.
Kwa kawaida mtoto mchanga anapaswa kunyonyeshwa kwa muda wa miaka miwili kabla ya kuachishwa kunyonya. Endapo mwanamke atapa ujauzito mwingine wakati bado ananyonyesha, itasababisha mtoto akatishwe ziwa kabla ya muda muafaka, hali ambayo ina madhara makubwa ya kiafya kwa mtoto na mama.

Zifuatazo ni mbinu mbalimbali za kisasa za uzazi wa mpango (Family planning and contraception) zinazoweza kutumika kupanga familia bora na ya kisasa:

1. KUFUNGA UZAZI (VASECTOMY AND TUBAL LIGATION)
Hii ni mbinu inayopaswa kutumiwa na wanandoa au wenzi ambao tayari wamepata idadi ya watoto waliokuwa wanawahitaji. Kwa wanaume, kitendo cha kufunga uzazi huitwa Vasectomy na huhusishwa kukatwa, kutenganishwa na kisha kufungwa kwa mirija ya kupitishia mbegu za kiume (Vans deferens) na kufanya mbegu za kiume (Sperm zisiwe na uwezo wa kufika ukeni).
Kwa wanawake, kitendo cha kufunga uzazi huitwa Tubal ligation na huhusisha kukatwa na kufungwa kwa mirija ya kusafirishia mayai ( Oviduct) na hivyo kuzuia mayai kushindwa kufika kwenye mji wa uzazi (Uterus).

FAIDA
Mbinu hii haiathiri uwezo wa wenzi kufanya tendo la ndoa na ni salama kwa asilimia 100.
Huhusisha mwanandoa mmoja tu, kama baba au mama akifunga uzazi hakuna haja ya mwenzake naye kufunga.
Hakuna madaliko yoyote yanayoweza kuonekna kwa macho kwenye viungo vya uzazi.

MADHARA
Huhusisha upasuaji mdogo ambao huwa na maumivu kiasi.
Ukifunga uzazi huwezi tena kurudi katika hali yako ya awali kwa maisha yako yote yaliyosalia.

2. VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO ( ORAL CONTRACEPTIVES)
Vidonge vya uzazi hutengenezwa vikiwa na homoni ambazo hufanya kazi sawa na homoni za asili zilizoko ndani ya mwili wa mwanamke. Vidonge hivi vinapotumiwa, huingia ndani ya mzunguko wa damu na kufanya kazi ya kuzuia upevushwaji wa mayai ya kike kwa kuzuia uzalishwaji wa homoni ya FSH (Follicle stimulating hormone) kutoka kwenye tezi ya pituitary, pia kuzuia homoni za Oestrogen na Progesteron kufanya kazi yake na hivyo kufanya kitendo cha kutunga mimba kisiwezekane.

FAIDA
Zikitumiwa vizuri kulingana na maelezo ya daktari, huweza kuzuia mimba kwa asilimia 99.
Hutumiwa na wanamke tu.

HASARA
Vidonge hivi vikitumiwa kiholela huwa na madhara makubwa, ikiwemo kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, damu kuganda katika mji wa mimba (Uterus), kuongezeka kwa uzito, matiti kuwa makubwa na kulegea, kupata kichefuchefu cha mara kwa mara na kupungua kwa uwezo wa mwanamke kubeba ujauzito pindi atakapohitaji mtoto.

3. KITANZI (INTRA- UTERINE DEVICE)
Katika mbinu hii ya uzazi wa mpango, kifaa maalum (Kitanzi ) huingizwa ukeni na kusukumwa mpaka kwenye mji wa mimba(Uterus). Kitanzi hufanya kazi ya kuzuia mimba kutungwa kwenye kuta za mji wa uzazi kwa kuzuia yai la kike kukutana na mbegu za kiume.

FAIDA
Ikitumiwa ipasavyo kulingana na maelezo ya kitaalamu ya daktari, huzuia mimba kwa asilimia 96.

HASARA
Kitanzi kinaweza kutoka chenyewe hasa kama mwanamke anafanya shughuli ngumu.
Kitanzi huweza kusababisha michubuko yenye maumivu kwenye kuta za mji wa uzazi au kuharibu kabisa kizazi. Pia husababisha damu kutoka ovyo sehemu za siri kutokana na michubuko kwenye kuta za mji wa mimba (Uterus)
Itaendelea wiki ijayo

USILIE TENA GENEVIV -23

Baada ya mambo kuzidi kuwa magumu kwa Geneviv, anaamua kutoroka nyumbai kwao, muda mfupi kabla ya mama yake hajarudi kutoka Hospitalini alikokuwa amelazwa kwa siku nyingi. Hakutaka mama yake agundue kuwa alikuwa ametoa ujauzito, kwani alijua fika kuwa angeumia sana na huenda shinikizo la damu lililokuwa likimsumbua lingejirudia upya, hali ambayo hakuwa tayari kuona ikitokea. Anaacha ujumbe mzito kitandani kwake, kisha anaodoka kuelekea kusikojulikana. Muda mfupi baadae mama yake anarudi akiwa ameongozana na Alice aliyemsaidia kubeba vitu vyake kutoka Hospitali. Je nini kitaendelea? Twende kazi.

“Geneviv….Genny… where are you my dear? im back,”…(uko wapi mwanangu, nimerudi?) alikuwa akiita Bi Patricia huku akizunguka huku na huko kumtafuta Geneviv kwenye vyumba vyote bila mafanikio. Nyumba ilikuwa kimya kabisa.

Alienda mpaka chumbani kwake lakini hakumkuta. Akiwa huko alishangaa jinsi chumba cha mwanae kilivyobadilika. Alikuwa amenunua vipodozi vingi na kuvijaza mezani, pia alikuwa amenunua nguo nyingi alizozijaza kwenye begi kubwa. Mashuka na mablanketi nayo yalikuwa mapya!…Bi Patricia akabaki mdomo wazi.

Alishindwa kuelewa ni nani aliyemnunulia Geneviv vitu hivyo ambavyo kwa harakaharaka aliviona kuwa na thamani kubwa. Akiwa bado anashangaa mabadiliko makubwa aliyokuwa nayo Geneviv, aliona ujumbe kitandani na kwenda kuusoma. Ulikuwa umeandikwa na Geneviv akieleza kuwa wasimtafute na chochote ambacho kingemtokea kisihusishwe na mtu yeyote.

Bi Patricia hakuyaamini macho yake baada ya kuusoma ujumbe ule. Akiwa bado amepigwa na butwaa, aliona kiboksi kidogo chenye dawa kikiwa pembeni ya kitanda cha Geneviv. Akakisogelea na kukichukua. Alipokitazama vizuri alijikuta akisisimkwa na mwili kupita kawaida. Zilikuwa ni dawa ambazo alizigundua haraka kuwa ni za kusafisha kizazi na nyingine zikiwa ni vidonge vya kuzuia mimba, alijikuta akiishiwa nguvu. Mpaka hapo alishapata picha kamili ya kilichokuwa kikiendelea.

Akatoka na kurudi sebuleni ambako alimkuta Alice akiendelea kusafisha na kupanga vyombo. Alimtazama kwa hasira akiamini yeye ndie chanzo cha Geneviv kuharibika.
“Hebu niambie ukweli, mwenzio yuko wapi?” Bi Patricia alimbana Alice na kutaka amueleze ukweli aliko Geneviv. Alice akawa anatetemeka kwa hofu. Akazidi kubanwa kwa maswali mfululizo na mwisho akajikuta akitoa siri.

“Mama ukweli ni kwamba Geneviv anaumwa sana tumbo…tusamehe ni shetani alitupitia, mimi ndio niliempeleka kutoa mimba tukiogopa kukuumiza zaidi kwa kuwa ulikuwa bado hujapona vizuri, lakini kwa bahati mbaya daktari alimkosea, tusamehe mama.” Whaaat! Geneviv ametoa ujauzito, Mungu wangu wee, ni nani aliyempa? Bora angejifungua tu ningelea mjukuu, si ameshaharibika moja kwa moja sasa, Oooh My Lord, kwanini matatizo hayaniishii mimi? Nimekosa nini kwa Mungu maskini mimi! Bi Patricia aliongea kwa uchungu na kuanza kulia.

“Mama usilie, utaanza kuumwa tena, Geneviv atapona tu, mbona hata mimi iliwahi kunitokea na nikapona” alikuwa akiongea Alice akimbembeleza Bi Patricia. Kauli ile ilimfanya Bi Patricia amtazame usoni Alice kwa hasira. Pamoja na kuwa yeye ndio alikuwa chanzo, alijikuta akimuonea tena huruma. Hakuna kitu ambacho kilikuwa kikimuogopesha kama kutoa ujauzito.

Akajikuta akijifikiria jinsi watoto wa siku hizi walivyoharibika. Enzi wakati yeye akikua, ilikuwa ni vigumu sana kwa watoto wadogo kama Alice kujihusisha na umalaya na kujikuta wakitoa mimba zisizohesabika. Ilikuwa ni kama laana. Akapiga moyo konde na kuamua kuangalia njia ya kumsaidia Geneviv ingawa tayari alikuwa amechelewa. Wakaanza kumtafuta na kazi haikuwa ngumu kwani Alice alimpigia simu na kumuuliza alipo huku mama yake akisikiliza.

Geneviv alijibu huku akilia kuonyesha kuwa hali yake ndio inazidi kuwa mbaya. Kwa haraka Bi patricia akiongozwa na Alice wakatoka na kuanza kukimbia kuelekea kule walikoelekezwa na Geneviv. Alikuwa ameenda kujificha kwenye nyumba moja ya kulala wageni iliyokuwa mbali kidogo kutoka pale walipokuwa wanaishi. Wakawa wanamfuata mbio mbio ili kuwahi kumuokoa.

Kila aliyemuona Bi Patricia akikimbia mitaani alishangaa na wengine wakawa wanahisi kuwa labda amerukwa na akili kwani ni siku hiyohiyo ndio alikuwa ametoka Hospitali. Baadae wakafika pale walipoelekezwa. Wakaingia mpaka mapokezi ambapo baada ya kuulizia waliambiwa kuwa binti huyo aliingia muda mchache uliopita ingawa alikuwa akionekana amezidiwa sana.

“Yuko chumba gani jamani, ni mwanangu…” Aliongea Bi Patricia huku akihema kwa nguvu. Nguo alizozivaa aliziona kama mzigo, akawa anahaha huku na kule kama aliyepagawa. Yule mhudumu wa mapokezi alitoka na kuwapeleka chumba alichoingia Geneviv. Walipofika karibu na mlango walisikia Geneviv akilia kwa uchungu na ghafla akanyamaza, kukawa kimya…

“Geneviv! Geneviv! Fungua mlango, ni mimi mama yako… fungua please, sikufanyi chochote mwanangu…”
Bi Patricia alikuwa akigonga mlango kwa nguvu huku akimsihi mwanae Geneviv afungue kwani alikuwa amejifungia kwa ndani. Pamoja na kugonga kwa nguvu kwa muda mrefu, bado kulikuwa kimya kabisa.

“Tuvunje mlango…inawezekana amepoteza fahamu ndani. Tumuwahi asije akapoteza maisha.”
“Ngoja nikachukue funguo ya akiba,msivunje kwanza mlango.”

Mhudumu alitoka mbio kwenda kuchukua ufunguo wa akiba. Bi Patricia alikuwa hajiwezi kwa wasiwasi. Hakujua mwanae ana hali gani mle ndani. Sekunde chache baadae mhudumu alirejea na funguo mkononi. Wakafungua mlango na wote wakaingia ndani.
“Mungu wangu weee! Mwanangu jamani…uuuuwii!” Bi Patricia alianza kupiga mayowe kwa sauti. Geneviv alikuwa amejilaza sakafuni akiwa amelalia tumbo,mwili wake ukiwa umetulia tuli. Ilionekana kama maumivu yalikuwa yamemzidia kiasi cha kumfanya apoteze fahamu.
Je nini kitaendelea? Tukutane wiki ijayo

USILIE TENA GENEVIV -22

Mchuma janga hula na wa kwao. Binti mdogo Geneviv anajikuta katika matatizo makubwa baada ya kupata ujauzito wakati akifanya biashara haramu ya Uchangudoa. Kwa msaada wa rafiki yake Alice, wanaenda kwenye Dispensari moja maarufu inayofanya kazi hiyo, kwa ajili ya kufanya abortion, huku wakijitahidi kuficha siri ili mama yake Geneviv asigundue chochote. Daktari waliyemkuta anamtamani Geneviv, na kabla ya kumfanyia abortion anamuingilia kimwili.

Geneviv anayakubali yote kutokana na hali aliyokuwa nayo. Bahati mbaya Daktari anakosea kumtoa mimba, hali inayomuingiza kwenye matatizo makubwa sana. Upande wa pili mama yake anaingiwa na wasiwasi baada ya kutomuona mwanae kwa siku mbili mfululizo. Kwa kuwa hali yake tayari imeshakuwa nzuri, anaruhusiwa kutoka Hospitali. Je atafanikiwa kugundua kilichomsibu mwanae? Atafanikiwa kumuokoa? Nini kitafuatia? Twende pamoja.

Bi Patricia alishangaa kuona muda wa chakula cha mchana unapita bila ya Geneviv kumpelekea chakula wakati haikuwa kawaida yake. Akawa anaangaza macho huku na kule akidhani labda atamuona akija. Mpaka jioni inafika alikuwa hajafika. Muda mfupi baadae Alice alienda kumpelekea chakula akiwa peke yake, hali iliyomshtua sana. “Mwenzio yuko wapi, mbona hata mchana hakuja?” Bi Patricia alimdaka juu juu Alice na kuanza kumhoji maswali mfululizo. Ikabidi Alice adanganye…

“Geneviv anajisikia vibaya mama, kichwa na tumbo vinamuuma tangu asubuhi tulivyotoka hapa. Nimemuacha amepumzika lakini anaendelea vizuri”
Bi patricia hakutaka kuhoji zaidi, akaishia palepale ingawa alipomkazia macho Alice alisoma kitu kwenye macho yake. Muda wa kuoa wagonjwa ulipoisha akaondoka na vyombo kurudi nyumbani. Bi Patricia alishaingiwa na wasiwasi juu ya mwanae Geneviv, akabaki kumuachia Mungu.

Tumbo liliendelea kumuuma Geneviv bila kupata nafuu. Japokuwa alikuwa amepewa dawa za kumaliza maumivu na kusafisha tumbo, aliugulia usiku kucha akijigalagaza kitandani kwa Alice. Alikuwa akisikia maumivu makali sana ambayo yalikuwa yakiongezeka kadri muda ulivyokuwa unaenda. Mpaka kunakucha, alikuwa hajapata hata tone la usingizi. Kutokana na maumivu, alishindwa kumuandalia kifungua kinywa na kumpelekea mama yake hospitalini. Ikabidi Alice aende tena peke yake.

“Vipi mbona umekuja tena peke yako, ina maana bado Geneviv hajapata nafuu, au ni Malaria? Lakini bahati nzuri na mimi nimesharuhusiwa, nisubiri tuondoke wote kurudi nyumbani,” aliongea Bi Patricia, kauli ambayo ilimshtua sana Alice. Akajua siku yao ya kubainika imefika.

“Sijui itakuwaje huko nyumbani akienda kumuona Geneviv, leo tumepatikana” alikuwa akijisemea Alice wakati akimsaidia mama Geneviv kufungasha vitu vyake tayari kurudi nyumbani baada ya kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali. Baada ya muda mfupi, Bi Patricia alikuwa tayari ameshakusanya vitu vyake vyote tayari kwa safari ya kurudi nyumbani baada ya kukaa Hospitali kwa muda mrefu. Alice alikuwa akimsaidia na muda mfupi baadae wakawa ndani ya gari tayari kwa kurudi nyumbani.

Alice alishindwa kuificha hofu yake kwani alikuwa akifahamu fika hali aliyomuacha nayo Geneviv. Alijua lazima tatizo lingine kubwa lingetokea baada ya Bi Patricia kufahamu mchezo mchafu walioucheza na Geneviv. Akaamua kufanya kitu ili kunusuru shari iliyokuwa jirani kutokea.
***
Geneviv alikuwa akiendelea kuugulia maumivu makali ya tumbo, mara ujumbe mfupi wa simu ukaingia kwenye simu yake ya mkononi aliyoinunua siku za karibuni. Ulikuwa umetoka kwa Alice na ulisomeka hivi…

… “Shosti leo tumepatikana, sijui utamweleza nini mama yako…lazima atagundua tu kuwa umefanya abortion. Hivi saizi ndio tunatoka nae hospitali, amesharuhusiwa na baada ya muda mfupi tutakuwa tayari tumefika!”

Baada ya kumaliza kuusoma ujumbe ule kwenye simu yake, Geneviv alijikuta ameshtuka
Kupita kawaida. Hakutegemea kuwa mama yake angetoka Hospitali siku ile, na zaidi kilichomchanganya ilikuwa ni hali aliyokuwa nayo.

Alijua lazima mama yake angemgundua na alijua ataumia sana akiufahamu ukweli. Akajikuta amepona ghafla… alijitahidi kuinuka kitandani na kwa haraka akavaa vizuri.

Lengo lake ilikuwa ni kumkimbia mama yake ili kuepusha matatizo mengine ambayo yangetokea baada ya mama yake kuujua ukweli.

Alipokuwa tayari alitoka mpaka ndani mwao na kwa haraka akachukua kalamu na karatasi na kuandika ujumbe akimdanganya mama yake kuwa kichwa na tumbo vimemzidia hivyo ameenda hospitali. Akili yake ilikuwa ikifanya kazi kwa spidi ya ajabu. Alipomaliza kuandika uongo alitoka na akawa anajivuta kuelekea mtaa wa nyuma. Alipohakikisha amefika mbali na kwao, alimpigia simu dreva teksi aliyekuwa anakuja kuwachukua usiku na Alice, na akamwambia aende haraka kumchukua.

Muda mfupi baadae akawa ameshafika na kumfungulia Geneviv mlango. Akaingia ndani ya gari nakumuamuru dereva aondoe gari upesi.

“Mbona leo mapema aunt, si nikupeleke kiwanja kilekile cha sikuzote?” Aliuliza dereva Taksi wakati akiwasha gari na kuondoka. Alikuwa amezoea kuwachukua Alice na Geneviv na kuwapeleka kwenye biashara yao ya Uchangudoa, akajua na muda huo ndiko Geneviv alikokuwa anaenda.

Geneviv hakujibu kitu zaidi ya kuendelea kuugulia tumbo. Alipanga kwenda gesti yoyote na kupanga chumba mpaka apate nafuu ndio arudi kwa mama yake. Alijua yale maumivu ni ya muda mfupi na yangeisha kama daktari Maguru alivyokuwa ameahidi na kumpa moyo.

“Nishushe hapo kwenye hiyo gesti…aliongea Geneviv kwa sauti ya chini akionyesha namna alivyokuwa akisikia maumivu. Alimlipa dereva pesa yake na akajikongoja mpaka ndani alikochukua chumba self contained na kujifungia. Tumbo liliendelea na sasa alishindwa kuvumilia, akawa analia kimyakimya.

“Eeeh Mungu nisamehe dhambi zangu! Niponye tumbo langu nirudi nyumbani kwa mama, why me my Lord!” alikuwa akiongea Geneviv huku akilia.

Je nini Kitaendelea? Usikose wiki ijayo.

USILIE TENA GENEVIV -22

GENEVIV anaamua kujitoa sadaka kwa ajili ya kuokoa maisha ya mama yake. Anathubutu kuuweka utu wake rehani kwa kujitumbukiza katika biashara hatari ya uchangudoa. Anajua fika kuwa anachokifanya hakikubaliki mbele ya wanadamu wala mbele ya muumba, lakini kwa kuwa hana msaada wowote kutoka kwa walimwengu, ukizingatia umri wake bado ni mdogo, anaamua kujitoa mhanga kuokoa maisha ya mama yake mpendwa.
Anatumia pesa anazozipata katika biashara yake haramu kumpeleka mama yake hospitali, na baada ya muda mfupi anaanza kupata ahueni.

Upande mwingine aanaendelea kumuasi Muumba wake, huku uzuri wa sili aliojaaliwa ukiwa kama mtaji wenye thamani zaidi ya almasi. Anakuwa mzoefu wa biashara ya uchangudoa, lakini wahenga walisema…Dhambi ikikomaa huzaa mauti…hili linajidhihirisha miezi michache baadae kwa Geneviv baada ya kuanza kuhisi dalili za ujauzito. Kwa kuwa hamjui ni nani hasa aliyempa ujauzito ule, rafiki yake Alice anamshauri wakaitoe bila ya mtu yeyote kushtukia , hasa mama yake, naye anaridhia kwa shingo upande. Je atafanikiwa? Ini kitatokea? Shuka nayo mwenyewe…

Bi Patricia Alitambua kuwa mwanae Geneviv na Alice walikuwa marafiki tangu enzi wakiwa bado wadogo, lakini wakaja kutengana kutokana na Geneviv kuwa bize na shule. Pamoja na hayo alikuwa akizifahamu vizuri tabia za Alice na hasa ile ya uchangudoa. Akaanza kuingiwa na wasiwasi juu ya usalama wa mwanae, hasa baada ya kuona ukaribu wao ukizidi kuimarika siku baada ya siku . Hakutaka kuendelea kuumiza kichwa kwa kumhoji maswali Geneviv kwani alihisi huenda akajikuta akirudi kwenye ugonjwa wake wa moyo. Akawa anangoja apone kabisa ndio akae na binti yake, lakini moyoni alishaanza kuhisi kitu.

Pamoja na hayo alikuwa akijiuliza ni nani aliyemleta kwenye Hospitali ya gharama namna ile ambayo imeokoa maisha yake. Alikuwa bado hajajua kuwa ni jitihada za mwanae kujitoa sadaka ndio zimemfanya apone. Alikuwa akimshukuru zaidi Mungu kwa kumpa nguvu mpya na kumrudishia uhai. Mawazo juu ya kuondokewa na mumewe yalishaanza kupotea na akawa anawaza jinsi atakavyoanza maisha mapya na mwanae Geneviv.

*****
Geneviv na Alice walikuwa wakielekea kwenye Dispensari moja ya uchochoroni iliyokuwa ikisifika kwa kufanya kazi ya utoaji mimba. Machangudoa wote na wanafunzi wa kike waliokuwa wakipata mimba bila kutarajia pale ndio kilikuwa kituo chao cha kufanyia mauaji ya vichanga. Daktari Maguru alikuwa akipata pesa nyingi sana kwa kazi ile haramu. Japokuwa kila mtu alikuwa anafahamu kuhusu kinachofanyika pale, bado hakuna sheria zozote zilizokuwa zinachukuliwa dhidi yake.

Mabinti wengi walikuwa wakipoteza maisha kila uchao wakati wakitolewa ujauzito na wengine walikuwa wakiachwa na vilema vya maisha. Mapigo ya moyo ya Geneviv yalikuwa yakienda mbio kupita kawaida walipokuwa wakiikaribia Dispensari ile. Alice alimshika mkono na wakaingia mpaka ndani ambako walikuta foleni kubwa ya wasichana wengine, nao wakiwa wanasubiri huduma. Kidogo wasiwasi ulipungua baada ya kuona kuwa hakuwa peke yake, na zaidi kulikuwa na wasichana wengi ambao kiumri walikuwa wadogo kwake.

Alibaki akijiuliza bila kupata majibu inakuwaje watoto wadogo kama wale aliokuwa anawaona mle ndani, tena wengi wakiwa ni wanafunzi, walikuwa hawaogopi kufanya dhambi kama ile ambayo yeye aliiona kama mbaya zaidi na ni sawa na kuua kiumbe kisicho na hatia. Baada ya kungoja kwa muda mrefu kwenye foleni, hatimaye zamu yao ya kukutana na daktari Maguru ilifika.

Chumba cha daktari kilikuwa kikitoa harufu kali ya damu kama machinjioni. Kitanda kilikuwa kimeloa damu na hata nguo alizovaa daktari zilikuwa na damu. Kilichomtisha zaidi Geneviv ni vifaa vilivyokuwa vinatumika. Mikasi mikubwa, visu na vyuma vya ajabu-ajabu vilivyokuwa vimetapakaa damu vilimtisha mno.

“Mungu wangu… im finished! Alice mi naondoka, siwezi, siwezii”
Aliongea Geneviv kwa sauti kubwa na akawa anataka kukimbia na kutoka nje. Daktari Maguru alimuwahi na kumrudisha ndani. Alice akaanza ‘kuwaka’ baada ya kuona Geneviv anataka kumwaibisha.

“Ni mara yake ya kwanza etii” Daktari Maguru alimuuliza Alice huku akiwa anasafisha vifaa vyake tayari kwa kumshughulikia Geneviv. Alice aliitikia kwa ishara na wote wakacheka. Geneviv alikuwa akitetemeka kupita kiasi, hakuamini kama angeweza kutoka hai kwenye kile chumba kilichokuwa kinatisha kama machinjioni. Baada ya kumtuliza, daktari Maguru alianza kumhoji maswali machache huku akiendelea kuandaa vifaa vyake na kuvisogeza karibu na kitanda…

“Wenzio wanatoa hata zaidi ya mara nne na bado wanadunda mitaani, itakuwa wewe? Tulia nikufanyie mambo, mimi ndio Maguru mtaalamu mwenyewe, hakiharibiki kitu hapa,” Alikuwa akijisifia yule daktari huku akivaa gloves ndefu tayari kwa kazi. Alimtoa Alice nje na kubaki na Geneviv. Akamuamuru kuvua nguo na kubaki kama alivyozaliwa ili afanye kazi yake vizuri. Kwa kuwa alikuwa na shida, Geneviv alitii amri huku akijificha uso wake kwa aibu.

“Mtoto mzuri huyu sijapata kuona, lazima nimuonje kwanza kabla ya kazi… nikimuachia watanicheka sana.” Daktari Maguru alikuwa akijisemea kimoyomoyo huku udenda ukimtoka. Ikabidi atumie mbinu uchwara za kidaktari kumuweka sawa Geneviv. Alimdanganya kuwa njia yake ilikuwa ndogo hivyo ilikuwa ni lazime ailainishe kwa kumuingilia ndio aendelee na kazi. Geneviv hakuwa mbishi, akamuacha afanye anachokitaka mradi mimba itoke. Baada ya kumfaidi bila huruma, Daktari Maguru aliendelea na kazi yake. Muda mfupi baadae alikuwa ameshamaliza kazi. Akafungua mlango na kumuita Alice aje amchukue rafiki yake.

“Pole shosti huo ndio ukubwa. Ulikuwa unaogopa nini,mbona hujafa sasa!” alikuwa akiongea Alice kwa masihara hali iliyozidi kumkasirisha Geneviv. Alikuwa akisikia maumivu makali kupita kiasi. Akajikaza na kushuka kitandani, Alice akamshika mabegani na kuuzungusha mkono mwingine kiunoni, wakawa wanatoka huku Geneviv akichechemea. Walipofika nje ilibidi wakodi taksi kwani Geneviv alishindwa kabisa kutembea. Ikawapeleka mpaka kwa Alice ambako baada ya kufika tu, Alice alimchemshia maji ya moto na kuanza kumkanda. Geneviv alikuwa akilia sana kutokana na maumivu aliyokuwa akiyasikia.
***

Je nini Kitaendelea? Usikose wiki ijayo…

TO MY VALENTINE -18

. Alitambua moja kwa moja kuwa walepolisi walikuwa wakimtafuta yeye, na sababu ubwa ikiwa ni ugomvi katia ya Nancy na Ritta.
“Mungu wangu, huyu Nancy kazua balaa gani tena mpaka naanza kusakwa na polisi?” Brian alikuwa akijiuliza mwenyewe huku akizidi kutimua mbio.

Baada ya kuhakikisha amefika mbali kabisa, ambako isingekua rahisi kwa polisi kumuona, alitoa simu yake na kumtafuta Nancy hewani.
“Uko wapi Nancy? Kwani kumetokea ini mbona polisi wamekuja nyumbani kwangu?”
“Niko stendi ya mabasi Ubungo nakata tiketi ya kuelekea Arusha leoleo, nilishakwambia kuwa siku nikikutanaa Ritta nitapata murder case, nimetekeleza ahadi yangu.”
“Mbona siwaelewe? Kwani kumetokea nini?”
“Nimemchoma Ritta na kisu, hivi sijui hali yake ikoje. Tutaonana Mungu akipenda,” alijibu Nancy kisha akakata simu.

Brian hakuyaamini masikio yake kusikia Nancy amemchoma kisu Ritta. Kwa jinsi alivyokuwa akimfahamu Nancy, hakuwa katili kiasi cha kushika kisu na kukizamisha mwilini mwa mwezake. Alijikuta akiijuta nafsi yake kwa kushindwa kusuluhisha ugomvi ule wakati alikuwepo eneo la tukio. Lakini zaidi alijikuta akiijutia nafsi yake zaidi kwani yeye ndiyo alikuwa sababu ya yote yale yaliyokuwa yanatokea. Laiti kama asingemsaliti Nancy wake na kuanzisha uhusiano usiofaa na Ritta, yale yote yasingetokea.

Wazo pekee lillomjia akilini mwake ilikuwa ni kumuwahi Nancy
Stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani ya Ubungo, ili akapate picha nzima ya tukio lilivyokuwa, ili hata kama ni kujiteteta mbele ya vyombo vya sheria ajue anaanzia wapi. Alifanikiwa kufika Ubungo muda mfupi baadaye, lakin kwa bahati mbaya, ile anaingia tu kwenye lango kuu, alipishana na basi lililokuwa linatoka kuelekea Arusha. Alipoinua macho yake na kuwatazama wasafiri waliokuwa ndani ya basi lile, macho yake yaligongana na ya Nancy, aliyekuwa akimpungia mkono wa kwaheri huku machozi yakimtirirka mashavuni mwake.

“Bye my Love, if God wishes we shall meet again. Forgive me for what ive done. Its because I love you, bye!” (Kwa heri mpenzi wangu, Mungu akipenda tutaonana tena. Nisamehe kwa yote niliyoyatenda, ni kwa sababu nakupenda, kwaheri!”

ZBrian hakutaka kuyaamini macho yake kuwa ni kweli Nancy alikuwa akiondoka. Alijikuta nguvu zikimuishia na kuanza kutokwa na machozi kama mtoto mdogo anapoagana na mama yake. Alimsindika kwa macho mpaka lile basi lilipopotea kabisa kwenye upeo wa macho yake.

Alihisi kichwa chake kikianza kumgonga kwa nguvu kutokana na mawazo yaliyokuwa yanapita kwa kasi akilini mwake. Hakujua afanye nini kwa wakati ule ili kunusuru hali ya mambo, kwani kama Nancy aliyefanya tukio lile alikuwa ameshakimbia, moja kwa moja yeye ndiye angeangukiwa na jumba bovu la kuisaidia polisi, kitu ambacho hata yeye hakuwa tayari. Aliondoka eneo lile la stendi na kutafuta mahali palipotulia. Alikaa na kauzana kutafakari nini cha kufanya. Akili zake kwa upande mmoja zilikuwa zikimtuma kuwa nay eye atoroke, lakini alipofikiria kazi yake, aliona wazo hilo ni gumu kutekelezeka.

Akil nyinghine ikawa inamtuma kuwa ni bora amtafute Ritta popote alipo, hata kama yuko mahututi akamuombe radhikwa yaliyotokea, na akamuombe wenda kufuta kesi kabla haijafikishwa mahakamani. Japokuwa alitambua wazi kuwa kwenda kumuomba radhi Ritta kungemaanisha kurudiana naye kimapenzi, aliamua kupiga moyo konde.

“Potelea mbali, liwalo na liwe. Mimi ni mwanaume na lazima nioneshe uanaume wangu katika hili.”
Alitoa simu yake ya mkononi na kuitafuta namba ya simu ya rafiki yake Ritta aliyempigia simu awali kumpa taarifa ya uongo kuwa Ritta anaumwa. Aliipiga na ikawa inaita. Iliita mara ya kwanza bila kupokelewa mpaa ikakatika. Hakukata tama, alijua fika kuwa yule rafgiki yake anaogopa kupokea kutokana na vitisho alivyowatolea mchana. Baada ya dakika chache, aliijaribu tena na ikawa inaita.

“Hallow unasemaje?”
“Samahani dada ‘angu, kwanza nisamehe kwa yote yaliyotokea leo. Naomba kuuliza hali ya Ritta na mahali alipo kwa sasa.”
“Ritta yuko hospitali. Hali yake sio nzuri ila madaktari wanajitahidi kumsaidia. Aliumia vibaya begani baada ya yule shetani wako kumchoma na kisu”
“Nieleze tafadhali Hospital aliyolazwa, nataka kuja sasa hivi kumjulia hali”
“Hata usihangaike kuja kwani mpaka sasa suala liko polisi, na wewe na huyo kicheche wako mnasakwa ile mbaya”

Itaendelea wiki ijayo

TO MY VALENTINE -17

“Brian why are you doing this to me, yaani unanikimbia kumbe unakuja kufurahi na huyu changudoa wako? Why Brian?” Nancy alioendelea kumlalamikia Brian ambaye alishindwa cha kujibu kwani kwa vyovyote ambavyo angemueleza Nancy asingemuelewa kutokana na mazingira aliyowakuta.

Kuingia kwa Nancy eneo lile ilikuwa na kama kuamsha kichaa kwa Ritta, kwani aliacha kila alichokuwa anakifanya na akawa anamsogelea Nancy kama nyati aliyejeruhiwa. Nancy naye alipania kumuonesha adui yake kuwa nayeye ni mtoto wa mjini. Alimsukumia Brian pembeni, wakavaana na Ritta na kuanza kurushiana makonde. Brian alijaribu kuwaamulia bila mafanikio, wakawa wanazidi kubiringishana chini kama wanamiereka. Alipoona mambo yanakuwa makubwa, Brian aliamua kuondoka bila kuaga, akaacha moto mkubwa unawaka.

“Nilikuwa nakutafuta sana hatimaye leo umejileta mwenyewe kwenye kumi na nane zangu, lazima nikuoneshe mimi ni nani?”
“Huniwezi kwa lolote malaya mkubwa wewe, kazi yako kuchukua waume za watu, sasa leo utajua kati yangu na wewe nani mwanamke zaidi.”
Ritta na Nancy walikuwa wakitupiana maneno machafu huku wakizidi kuburuzana chini. Rafiki zake Ritta walikuwa wakimsangilia shoga yao wakati akipigana wakiamini ushidi ulikuwa wao.

Puruushani zile ziliwapeleka mpaka kwenye keki aliyokuwa ameiandaa Ritta kwa ajili ya ulishana na Brian. Waliigonga na ikadondoka chini na kumeguka vipande vipande. Kwa jinsi Nancy alivyokuwa na hasira kali juu ya Ritta, alijikuta akiwa na nguvu ubwa kumzidi adui yake. Akawa anampa displini kiuhakika. Alipoona kama havimkolei, alijivutahadipale keki ilipodondokea. Akawahi kuokota kisu ilichokuwa kimeandaliwa maalum kwa ajili ya kuatia keki, akakishika wa mikono miwili na ukinyanyua juu.

Ritta alipoona adui yake ameshika kisu, akajua asipojiokoa huo ndiyomwisho wake.Akataka kumuwahi na kumpokonya, lakini akawa amechelewa. Nancy alimchoma Ritta begani kwa kutumia kile kisu, ghafla Ritta akaanza kupiga mayowe ya kuomba msaada huku damu zikimtiririka. Alipoona hivyo, Nancy aliwah kukimbilia nje alikomkuta yul edereva wa pikipiki aliyemleta akimsubiri. Akapanda juu na kumuamuru waondoke eneo hilo haraka.

Ritta aliendelea kupiga mayowe ya kuomba msaada, wale rafiki zake wakawa wanamsaidia kukitoa kile kisu na kuziba lile jeraha ili damu isizidi kumtoka zaidi mwenzao.

“Tumuwahishe hospitali, ushakuwa msala huu. Waliita Tax na kwa haraka wakamkimbiza Ritta Hospitali. Masihara ya kumchulia mwenzao kuwa yuko mahututi yaligeuka na kuwa kweli. Walipofika Hospitali waliambiwa kuwa hawawezi kutibiwa mpaka wapitie polisi na kupewa PF3. Kwa kuwa hali ya Ritta haikuwa nzuri ufuatia damu nyingi kumtoka, rafiki zake hawakuwa na ujanja zaidi ya kwenda naye kwanza kwenye kituo cha Polisi ambapo waliandikisha maelezo yao.

“Lazima aliyefanya kitendohiki akamatwe haraa iwezekanavyo.” Aliongea askari aliyeonekana kuwa mkubwa kuliko wenzie. Baada ya kuandikisha maelezo ambayo yaliwajumuisha Brian na Nancy, alipewa PF3 kisha safari ya kuelekea hospitali ikaanza upya. Polisi nao hawakutaka kupoteza muda, wakaingia mitaani kuanza kuwasaka watuhumiwa.

Baada ya kugundua kuwa amefanya kosa kubwa linaloweza kumtia mikononi mwa sheria, Nancy hautaka kulaza damu. Alirudi mpaka nyumbani kwao na kukusanya kila kilichokuwa chake. Bila hata kuaga akaondoka kuelekea jijni Arusha, kwani zilikuwa zimesalia wiki mbili tu kabla ya chuo kufungua. Alijua akiendelea kubakia nyumbani kwao, lazima mkono mrefu wa sheria ungemfikia na kumuweka korokoroni, kitu ambacho hakuwa tayari kuona kinatokea.

Upande wa pili, Brian hakuelewa nini kilichoendelea baada ya kuondoka na kuwaacha Nancy na Ritta wakipigana. Alijua kwa vyovyote wasingeweza kuumizana sana kwani mara nyingi ugomvi wa wanawake huishia kung’atana na kuparuana na makucha. Hakushtukia kuwa Nancy alikuwa amesababisha madhara makubwa , ambayo yagewaweka wote wawili hatiani. Baada ya kuukimbia ugomvi, alienda mpaka nyumbani kwake, lakini akili yake ikawa haijatulia kabisa, akaona ni vyema aende kwenye baa iliyokuwa jirani na pale kwao akapoteza mawazo kwa kunywa pombe.

Wakati Brian akiendelea kupiga moja moto moja baridi, alishtuka baada ya kuoa gari la polisi likipita mtaai kwao, na kwenda kusimama mbele ya nyumba aliyokuwa anaishi. Mapigo ya moyo yalianza kumwenda mbio, akahisi kuna hatari kubwa inayomfuata nyuma yake. Bila kupoteza muda, aliinuka haraka pale alipokuwa amekaa na kutokea mlango wa nyuma. ALipohakikisha hakua aliyemuona, alitimua mbio kwa uwezo wake wote kutokomea kusikojulikana

TO MY VALENTINE- 16

LICHA YA kujitahidi kumkwepa Ritta, Brian anajikuta kwa mara nyingine akinasa kwenye mtego ulioandaliwa na Ritta kwa kusaidiana na rafiki zake. Akiwa na mchumba wake Nancy, Brian anapigiwa simu na mtu anayejitambulisha kama rafiki yake Ritta kisha anamweleza kuwa mwenzake ana hali mbaya na yuko karibu kukata roho kwa ajili yake. Taarifa hiyo inamchanganya mno Brian, na anashindwa kuelewa nini cha kufanya. Japokuwa anamchukia Ritta kwa mambo anayomfanyia, lakini hayuko tayari kusikia yeye ndiyo chanzo cha matatizo ya Ritta. Anabaki njia panda.
Je atafanya nini? Nini kitatokea? Shuka nayo…

“Kwani vipi? Mbona sikuelewi? Huyo aliyekupigia simu ni nani?” Nancy alikuwa akiuliza maswali mfululizo ambayo yote Brian hakuyajibu. Alishangaa kuona Brian amebadilika ghafla baada ya kupokea simu ile. Nancy alijaribu kumtuliza Brian bila ya mafanikio, akatoka nje mbio mbio hata bila kuaga. Nancy alibaki ameduwaa sijue nini kilichomsibu mtarajiwa wake. Brian alipotoka tu, Nancy naye alianza kumfuata nyumanyuma ili kujua ni nini kilichokuwa kimempata.

“Haloo… eeh, umesema mgonjwa yuko wapi?” alikuwa akiuliza Brian kwa yule msichana aliyempa taarifa kuwa Ritta yuko mahututi.
“Bado tuko nyumbani kwake, tunajiandaa kumpeleka hospitali. Ukiwahi utatukuta nyumbani kwake.” Brian alivyosikia hivyo, alikodi Tax haraka na akamuamuru dereva amuwahishe mtaa anaoishi Ritta ili kwenda kuju nini kilikuwa kimemsibu. Huku nyuma, Nancy naye alikuwa akimfuatilia, alipoona amekodi Tax, yeye alikodi pikipik maarufu kama bodaboda na akamtaka dereva kuifuata ile Tax aliyokuwa amepada Brian.

Baada ya dakika kama ishirini kupita, tayari Brian alikuwa mbele ya nyumba aliyokuwa anaishi Ritta. Lengo lake kubwa ilikuwa ni kwenda kuhakikisha kama ile taarifa aliyopewa kwenye simu ni ya kweli au la. Hakutaka kuhusishwa na matatizo yoyote ambayo yangempata Ritta. Akilini mwake alihisi huenda ni kweli Ritta anaumwa sana hasa kutokana na ukweli kwamba aliaminishwa kuwa ana ujauzito wake, ingawa alikuwa ameingizwa mjini. Licha ya kuwa mwanzo alikuwa akikwepa kabisa kuitwa baba, baada ya ujauzito wa Nancy kuharibika alikuwa ni kama aliyechanganyikiwa.

AKiwa pale nje, alishusha pumzi ndefu na akawa anajiweka sawa kuingia ndani kumuona mgonjwa. Kitu kilichomshtua ni sauti kubwa ya muziki uliyokuwa inatoka kwenye chumba cha Ritta, akashindwa uelewa inawezekanaje chumba chenye mgonjwa mahututi kikawa na muziki mkubwa namna ile. Akaanza kuhisi amechezewa akili yake. Hata hivyo aliamua kuingia ndani kwenda kuhakikisha kwa macho yake mwenyewe. Aligonga mlango kwa nguvu, na rafiki yake Ritta akaenda kumfungulia.

Alipoingia ndani alishindwa kuamini macho yake, kwani Ritta aliyeambiwa yuko hoi taaban alikuwa akisakata muziki laini kwa madaha huku akionesha uwezo wake wa kuzugusha nyonga. Aligeuka huu na kule na akagundua kuwa alikuwa amedanganywa. Ritta alipomuona tu, alimkimbia na kusimama karibu naye, na kuanza kumsemesha kwa sauti ya kimahaba.

“Pole mpenzi, najua umeshtuka sana baada ya kusikia niko mahututi, nilijua nikikwambia ukweli hautakuja. Leo ni siku yangu ya kuzaliwa na nilitaka japo uje kutia baraka zako. Karibu ukae basi baba watoto,” aliogea Ritta huku akimshika mkono na kumuelekeza sehemu ya kukaa.
Kwa hasira alizokuwa nazo Brian baada ya kuona amegeuzwa bwege wa kuchezewa akili, alikataa kukaa na akamsukuma Ritta nyuma. Akawageukia rafiki zake waliokuwa wamenyamaza kimya wakiangalia kila kitu kilichokuwa kinaendelea.

“Nani kati yenu aliyenipigia simu? Sio kunitolea mimacho yenu, nauliza nai aliyenipigia simu kunipa taarifa za uongo?”

Hakuna aliyejibu zaidi ya wale rafiki zake Ritta kuanza kutazamana. Ritta aliingilia kati na kumwambia kuwa yeye ndiye aliyewatuma wampigie simu, kwa hiyo amalizane yeye mwenyewe. Kauli ile ya Ritta iliamsha hasira na chuki alizouwa nazo Brian, akajikuta mwili wote ukimtetemeka kwa hasira. Alimtazama Ritta kwa muda, lakn mwenyewe hakuonekana kujali, akaenda kuogeza suti ya redio na kuendelea kuyarudi mbele ya Brian. Rafiki zake waliangua vicheko vya kimbea vilivyommaliza nguvu, akawa mpole ghafla.

“Ukirudia ujinga wako ntakufunza adabu, usipende kuchezea akili yangu kama mtoto mdogo,” aliongea Brian kwa msisitizo, kisha akageuka na kuanza kutoka kuelekea nje. Kabla hata hajaufikia mlango, wote waliokuwa ndani walishtukia mlango ukisukumwa wa nguvu, waashangaa nancy akiingia mbiombio huku viatu vyake akiwa amevishika mkononi. Macho yake yakagongana na Brian aliyekuwa akijiandaa kuondoka.

Thursday, May 13, 2010

HOW TO DEVELOP SELF ESTEEM

Discover why your level of Self-Esteem is the *Most Crucial* Element to Achieve Success, Happiness, Wealth and Balance in Life, AND Why 85% of Us Lack the Confidence Essential for Living a Fulfilling Life!

* Find out what Thousands have already discovered….. Uncover Dr. Joe Rubino’s Proven Formula for Success and Happiness
* Receive the Life Impacting 45-Minute Recording: "7 Steps to Soaring Self-Esteem" for FREE!
* Become a Free Member of the *Success Achievers Club,* Receive FREE The Self Esteem Mini Course, Valuable Free Tools, Tips, & The Success Code Newsletter

What if you knew a way to be happier, wealthier, more balanced and live a far better quality of life.....
"Increasing the Quality of your Life has Never been So EASY!"

“What would Your Life Be Like when You Are – More Comfortable With Yourself, Happier, More Effective with People, Better Able to Attract Abundance into Your Life while Experiencing Considerably Less, Fears, Stress, Doubts, Worries and Insecurities?”



SHOCKING DISCOVERY:
Extensive Research Shows that Less than 15% of Us are Really Happy with the Quality of Life that we're Experiencing – Meaning 85% of Us are NOT!

Hi, my name is Dr. Joe Rubino and I would like to introduce you to one of the most effective solutions for your challenge of not being 100% happy with yourself and with what life is giving you at this point.

About 18 years ago I found myself resigned to my situation in life, tired of my daily routine, not very fulfilled and feeling like I had no control of my destiny. I felt disgusted and likely experienced many of the same problems that you are facing today. Shortly thereafter I managed to turn my life around and create a dream life for myself in every area possible. Not only did I reinvent myself to manifest my dream life, but during the last 15 years I have personally coached over one thousand people to radically improve their lives too.

Over the years I have seen so many people struggle with these types of problems. One by one I've helped my clients to find the best solution for their specific situation.

99% of the time, the personal struggles we experience have their root cause in having insufficient self-esteem in certain key areas of our lives! – Dr. Joe Rubino


Studies Show that the Odds are Against You!

Chances are great that you suffer from diminished self-esteem in one or more life areas too.

Bumps and bruises to our self-esteem could have resulted from something as simple as someone neglecting us at an emotionally important moment or perhaps making negative remarks such as:
"You are Not Good Enough"
"You aren't Worth that Much"
"You're not the Only One in This World"
"You Should Have Done it Better"

Think about it for a second...
Did anyone ever teach you how to optimize your self-esteem?
Did anyone ever show you how to ward off assaults to your self-worth?
Or even worse, did the people around you - those who influenced you most during your childhood - know how to best nurture your self-esteem and champion your self-image?
Were they effective in sheltering you from the constant negativity coming from others - critical comments, false remarks, denigrating communications (either explicit or implied) or other assaults to your fragile self-esteem?


Take a moment and reflect back, recalling a time or two in your life when you first felt the hurt of not measuring up or the absence of love. What happened? What did you decide about yourself as a result of this event? What did you decide about other people? All these upsets combined to diminish your precious, fragile self-image.


Everybody Has Some Recollection of a Damaging Or Traumatic Episode to a Certain Extent.

Discover The Most Effective Formula To Boost Your Self-Esteem!

Upon my discovery that over 85% of us have some degree of diminished self-esteem and that lacking sufficient self-esteem in certain key areas is the predominant cause of all of life's struggles - I committed to putting together the Most Effective formula for Increasing Self-Esteem. Now after over 15 years of improving, testing and further optimizing my formula for reclaiming self-esteem - I am proud to finally release it to the public

I am confident that, when implemented, this high impact, step-by-step formula will provide you with amazing results well beyond your greatest expectations!

Note: This formula has been uniquely crafted based upon universal laws and principles that have assisted thousands to reclaim their self-esteem. "The Ultimate Self-Esteem Formula™" has been thoroughly tested and improved through the most challenging day to day actual experiences of my coaching clients' lives!



Over the years I have supported thousands to improve their lives and achieve greater success and fulfillment. I want you to know that the good name I've developed through years of life-impacting work is of the utmost importance to me. I don't want you to invest in this formula if you are not 100% certain that "The Ultimate Self-Esteem Formula™" will highly impact your life for the better - as it has for thousands so far. (More than 45,000 copies of my book have already been sold since its recent release)

Here is What You Can Expect…
The Complete Step-By-Step Ultimate
Self-Esteem Formula™ Shows You How To:

Uncover the Source of Your Lack of Self-Esteem

Complete your Past and Stop the Downward Spiral of Self-Sabotage

Replace Negative Messages with New Core Beliefs that Support your Happiness and Excellence

Realize the Secret to Reclaiming your Personal Power

See How you Can be Strong and Authentic
Use your Vulnerability as a Source of Power

Design a New Self-Image that Supports your Magnificence

Realize the Power of Forgiveness

Discover the Secret to an Upset-Free Life

Re-Establish your Worth and Reinvent Yourself to Be your Best

Create a Vision of a Life of No Regrets

Also, Expect to discover hundreds of Proven Expert Tips and Insider Confidence Building Secrets, such as:


How to Conduct a Thorough Self-Evaluation and Find Out How to Rid Yourself of Negative Thoughts, How to Check Undesirable Tendencies, How to Eradicate Faults, and How To Correct Bad Habits!

How to Eliminate Timidity from Your Life Once and for All - You'll Learn How to Face Your Fears and Conquer Them!

What a Leading Cause of "Fear Based Thoughts" Is and How To Overcome It - You Will Be Amazed at What You Read Here!

How to Build One of the Most Overlooked, Yet Crucial, Aspects of Maintaining High Self-Confidence: Commitment - Follow These Few Simple Suggestions that Most People Ignore and Watch Your Self-Confidence Grow by Leaps and Bounds.

How to Fight Procrastination - Discovering How To Condition Yourself To Get to Things Promptly, Clearly and Systematically. This Will Insure Peace of Mind, Pleasure in One's Work and Greater Self-Confidence!

How to Develop the Mental Certainty You Need to Communicate Effectively. Here You Will Learn How to Develop Clarity of Thought, Sincerity of Expression, and the Concentration of Mind to Speak Eloquently and Effectively.

The Power of Right Thinking - This Section Alone Is Worth The Price of This Book!

An Excellent Way to Retrain Your Thought Processes That You Can Easily Do during Your Leisure Time - You'll Kick Yourself for Not Thinking of This Yourself!

The Importance of Physical Well Being to The Development of Self-Confidence.

How To Kick "The Worry Habit" - Worrying Can Have Tremendous Negative Effects on Both Your Health and Your Self-Confidence. Discover The Secrets to Beating This Dangerous Foe Here!

How To Overcome Nervousness - In Today's Fast-Paced World, You Need To Be Able To Slow Things Down And Remain Calm, Find Out How To Do So Now!

And Much, Much More!




Let's Summarize:

“The Ultimate Self-Esteem Formula™” is crucially important for everybody who wants to get more out of their lives by experiencing a higher quality of life.


“The Ultimate Self-Esteem Formula™” is extremely effective, regardless of your specific personal challenges. This is because (whether you notice it or not), diminished self-esteem is the root cause for almost all the challenges you experience on a daily basis.

Through the “The Ultimate Self-Esteem Formula™” you will:
Finally Start Enjoying the Quality of Life you, you have Always Dreamed of Having but were Never Able to Achieve
Uncover how to Identify and Correct the Errors in your Thinking that have been keeping you from achieving your ultimate Dream Life!
Learn how to Stop Buying into Anyone's Low, Negative Opinion of You
Discover how Easy it is to use the Tools you've been Given to Create Productive Thinking Patterns that you’ll Benefit from beginning today andeveryday forward the Rest of Your Life!
Find Out How to Discover Strengths you Never Knew you Had and Heal old Wounds That Have Been Keeping You From Realizing Your Peak Performance For Years
Get rid of feelings of Guilt, Frustration, Fear and Anger that keep you from living a Positive, Productive, Effective and Balanced Life
Ultimately Discover how EASY it is to Upgrade the Quality of your Life Significantly –With the Right Formula and Tools Available To You (later you’ll look back and you’ll be proud that you’ve taken this important step!)
But this is not all - There is MUCH more!
These are only some of the benefits you’ll realize from
implementing The Ultimate Self-Esteem Formula™ in your life!
Six Reasons Why The Ultimate Self-Esteem Formula™ Will Work For You:

Here are 6 reasons why "The Ultimate Self-Esteem Formula™" will assist you strongly and positively to resolve your problems, achieve fulfillment and to optimize your life - no matter what level you're at right now:

This Formula is Important: Cutting edge research shows that at least 85% of us have some degree of self-esteem deficit. This can be in any emotional area of our lives. Often it's so subtle that we don't even notice it - simply because we don't know how it is to live without it. "The Ultimate Self-Esteem Formula™" carefully guides you through an effective process supporting you to see where you need to work on optimizing your self-esteem.

The "The Ultimate Self-Esteem Formula™" has been Proven Extremely Effective: Beyond personally coaching over 1,000 people in the last 15 years, the initial launch of "The Ultimate Self-Esteem Formula™" book generated more than 45,000 sales! The book is already available worldwide in 5 languages.

This Formula is easy to Execute and Implement: One of the comments that I keep hearing from my clients is that this formula is so incredibly easy to understand and map onto one's life. In crafting the formula, I have succeeded in simplifying complex principles without loosing their effectiveness. Truthfully, there is still self- reflection, honest evaluation, and personal work required as this is not an autopilot formula. However you'll be amazed at how logical and easy to understand the formula is. It breaks the science of building self-esteem down into bite-size pieces. Virtually everyone can apply this formula regardless of their gender, age, or lifestyle.



The "The Ultimate Self-Esteem Formula™" is Cutting-Edge Technology: I am confident that "The Ultimate Self-Esteem Formula™" will outperform most - if not all- other methods for improving Self-Esteem. Putting it bluntly: I believe that "The Ultimate Self-Esteem Formula™" is the most effective formula available anywhere!

The "The Ultimate Self-Esteem Formula™" Will* Improve Your Life!: Many of my clients who have used this formula have been so enthused about it that they send me unsolicited cards, letters and even presents every now and then! This is a gratifying indication that this formula works! No matter where you are in your life right now, you'll experience less negative feelings such as fear, guilt, shame, discomfort, doubt, and procrastination - as well as enjoying greater consistently positive feelings such as happiness, playfulness, and victory while feeling love for others and being loved by them as well.

*"These unsolicited testimonials provide me with tremendous satisfaction and they motivate me to do whatever I can to support so many more to gain access to "The Ultimate Self-Esteem Formula™" - because of the overwhelming need for it in our fast, often impersonal, results oriented society. The Ultimate Self-Esteem Formula™" will improve your life when you commit yourself to executing all the principles and elements of the formula.



This formula is likely to bring you Great Success: This goes even beyond the fact that "The Ultimate Self-Esteem Formula™" is a proven method to enhance the quality of your life. Properly and consistently applied, this formula will bring you success - no matter what struggle you are facing! Having a solid, healthy level of self-esteem in all crucial emotional areas of your life will bring you: Financial Success, Relationship Success, Success with regard to your health, Social Success, and above all, Success in being yourself -giving your life new meaning as you finally realize your true potential!
Discover The Best Solution For You!

, Now that you know why "The Ultimate Self-Esteem Formula™" would be a valuable asset to champion you for the rest of your life - here are three outstanding, high quality offers to consider.

Don’t fall into the same trap as so many people whose self-esteem is not at the level that it could be and should be. All too often I see people choosing to be frugal, not valuing themselves enough to invest in their greatest asset - themselves! (Wouldn’t it be great to feel better, stronger, happier, more resourceful, more joyful, and more at peace– every moment that you live from now on?)

, This is your life; you only live once and it is fully up to you to get the most out of it. I fully expect that one of these packages is perfectly tailored for your needs and situation. Please take a look at the three options of "The Ultimate Self-Esteem Formula™" and pick the one that suits you best. I'm looking forward to hearing YOUR success story shortly!




Discover how Important Your Strong Self-Esteem is – In a Greater Picture. Find Out How Our World can be Transformed by Elevating Self-Esteem of those Around You – GREAT RECORDING!


“It’s Your Future – It’s Up To You”

Since you have read this far, you must be committed to improving your life’s quality while experiencing greater joy, abundance and fulfillment. We invite you to get one of the three life-impacting offers to champion your happiness, fulfillment, and success. You will receive a Life Altering Incentive for Action Right Now.

, Please take this important step to invest in one of our three package options. Start today to create a better, more attractive, more prosperous and happier YOU that will experience more vibrancy and joy out of life. Greater fulfillment, personal effectiveness, success, and abundance awaiting you.

, Make the decision now – invest in one of these life-enhancing packages. You will be glad you did!


PS. Please Realize that This Very Moment Could Be Life-Changing for You. I Guarantee that When You Apply The Information Provided In This Program, Your Self-Esteem Level will Grow Significantly. With Your Increased Self-Esteem, You Will Be Happier and Able to Achieve Much More in Your Life. Act Now And Take Your First Step Toward Realizing Your Untapped Potential.
PPS. Thousands of People Have Paid Dr. Joe Rubino up to $250 per Hour for his Transformational Life-Coaching. You Can Now Access the Same Life-Changing Information for a Fraction of the cost! This is the Most Effective Formula You'll Ever Find for Boosting Your Self-Confidence. Take Action Now. You Owe it to Yourself.

KALA JEREMIAH NA POZI LA DOLLAR BILLS

SIKU BABU SEYA NA WANAE WALIPOPANDISHWA KIZIMBANI

PICHA YA SATELAITI WAKATI WA USIKU, AFRIKA BADO NI GIZA NENE

Monday, May 10, 2010

TYLOR SWIFT ATOA DOLA 500,000 KUSAIDIA WALIOKUMBWA NA MAFURIKO


Kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha vifo vya watu zaidi ya 20 na kusababisha wengine maelfu kukosa makazi, yaliyotokea huko Nashville, mwanadada mwanamuziki na mwanamitindo, Taylor Swift ametoa kitita cha dola za Kimarekani 500,000 kama msaada kwa waathirika wa mafuriko hayo yaliyotokea hivi karibuni. Nashville ndiko Swift anakoishi tangu akiwa na umri wa miaka 14.

“Nilikuwa nyumbani wakati janga hili likitokea. Sikuyaamini macho yangu kwa kile nilichokishuhudia kikiwatokea watu wa nyumbani kwetu, wakiwemo wale niliokuwa nawapenda sana,” aliongea Swift katika ujumbe wa barua pepe alioutuma kwa waandishi wa habari. Na kuongeza, "Nashville ni nyumbani kwetu na najivunia kuwa mkazi wa Nashville. Niko pamoja na wote waliopatwa na janga hili.”

PENZI LA CAREY LAMBADILISHA PINK


Licha ya mbwembwe na vurugu alizokuwa nazo katika siku za mwanzo za uhusiano wao, mwanamama Pink amejikuta akizidi kukolea kwenye penzi la Carey Hart, hali ambayo imemfanya abadili sana tabia yake kutoka kuwa mcharuko hadi kuwa mwanamke mwema. Awali uhusiano huo uliwahi kuvunjika kutokana na tabia ya ugomvi, matusi na kejeli alizokuwa nazo Pink kabla hajakolezwa kwenye malavidavi na Carey.
“Ni kweli siku za mwanzo nilikuwa simheshimu mpenzi wangu na nilikuwa nikifanya ninavyojisikia, lakini baada ya kutengana naye kwa muda, nimegundua kuwa ni mwanaume wa kipekee sana. Kwa sasa namheshimu sana na sitaki kumuudhi tena,” alikaririwa Pink wakati akihojiwa na mtandao mmoja mashuhuri nchini Marekani. Kwa sasa wawili hao wanafikiria kupata mtoto, ingawa wanasema kuwa ni mapema sana kulizungumzia jambo hilo.

LIL WAYNE AMTUMIA MAMA YAKE UJUMBE MAALUM KUTOKA JELA


Wiki kadhaa baada ya kutuma waraka wa kwanza kutoka jela, msanii anayetumikia kifungo Jela, Lil Wayne ametuma barua nyingine, na tofauti nay a kwanza, hii ameidedicate kwa mama yake mzazi. Barua hiyo imetumwa kutoka jela siku ya Mei 7, ambayo ni maadhimisho ya siku ya kina mama duniani. Katika barua hiyo, Lil Wayne ameshow love kichizi kwa mama yake mzazi.
“Kwangu mimi, thamani yako mama ni kubwa kiasi cha kutoelezeka. Dhumuni kubwa ya kukuandikia siku ya leo, ni kukuonesha upendo hususan katika siku ya kina mama ambayo inasherekewa leo dunia nzima,” ilisomeka sehemu ya barua hiyo.
Japokuwa amefungwa jela, Lil Wayne bado anawasiliana mara kwa mara na watu wake wa karibu na mashabiki wake dunia nzima kwa njia ya mtandao wa internet.

SENETA ABAMBWA AKIANGALIA PICHA ZA NGONO WAKATI BUNGE LIKIENDELEA

UMEINYAKA HII?

No one will argue that sitting on the Senate floor during session can get a little boring, but looking at porn is probably not the best way to pass the time.

On Thursday morning, Sunshine State News captured exclusive video of Sen. Mike Bennett, R-Bradenton, looking at pornographic material on his state-issued computer on the Senate floor.

Ironically, as Bennett is viewing the material, you can hear a Senator Dan Gelber's voice in the background debating a controversial abortion bill.

"I'm against this bill," said Gelber, "because it disrespects too many women in the state of Florida."

Bennett defended his actions, telling Sunshine State News it was an email sent to him by a woman "who happens to be a former court administrator."

"I was just sitting there, bored as they were debating the abortion bill," Bennett said.

"I opened it up and said holy [expletive]! What's on my screen? and clicked away from it right away."

Sunshine State News could not verify how long the image of four bikini-clad women with their tops exposed was open before our cameras started rolling on it, but it was up for at least three seconds before it disappeared from the screen.

Senate spokesperson Jaryn Emhof explained further on Bennett's behalf.

"There was some confusion about an email he received," said Emhof. "He thought it was an email about an item being debated on the Senate floor. As soon as he realized it wasn't he closed the page."

But the one image we caught on camera wasn't the only thing Bennett had viewed. It appears other files, including at least two videos, may have been downloaded, too. He was also caught on camera watching a video of a dog running out of the water and shaking itself off. It is unclear if he also thought that was an email about a bill being debated on the floor.

We offered Bennett an opportunity to prove his statements to Sunshine State News by showing the executive editor and videographer the email record with a government-related subject line, but after talking to the Senate's top lawyer, he declined to let us see those records.

This revealing video comes just weeks after an investigation found a number of federal Securities and Exchange Commission employees had been spending several hours visiting pornographic websites on government-issued computers when they should have been working.

When asked if he ever looks at pornography while on the Senate floor, Bennett responded, "You'd have to be insane to do that. It all goes through a server. I don't think anybody would be doing that."

MWASITI

NAKAAYA SUMARI

Saturday, May 8, 2010

MUME WANGU HAPENDI NIIGIZE MOVIE ZA MAPENZI: NKEM IKEH

Msanii chipukizi anayekuja kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini Nigeria, Nkem Ikeh amesema kuwa binafsi anapenda sana kuigiza movies za kimalavidavi, lakini tatizo kubwa ni mumewe ambaye hapendi kabisa kumuona akishiriki katika movie yoyote ambayo ndani yake kuna masuala ya mapenzi.

“Mume wangu ananipenda sana na ndiyo maana ana wivu. Najua huwa hajisikii vizuri kabisa kuniona kwenye movie nikiwa nacheza sehemu za kimapenzi, huwa anakasirika sana,” aliongea Nkem na kuzidi kueleza kuwa huwa anajitahidi kumuelewesha mumewe ili aipende kazi yake, ingawa imekuwa vigumu kumshawishi.
“Siwezi kuacha kuigiza, ila ntakachofanya ni kuepuka kucheza zile sehemu zinazomkasirisha mume wangu. Sipendi kumuudhi mume wangu kwa kuwa ananipenda na mimi nampenda sana.

NKIRU SYVANUS ASAHAU SIKU YAKE YA KUZALIWA


Inaweza kuonekana kama ni mzaha, lakini hili ni tukio la kweli ambalo limemtokea msanii nyota wa filamu ya ‘Cry baby’ Nkiru Syvanus, ambaye alijikuta akisahau siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni. Bila mtandao wa kijamii wa Face book na marafiki zake waliokuwa wakipiga simu kumpongeza, huenda Nkiru asingekumbuka kabisa licha ya kwamba alikuwa amepania mno birthday yake hiyo.

Marafiki zake wa karibu ilibidi wamuandalie party ya kishkaji fasta fasta kwani mwenyewe alikuwa bado hajashtukia kuwa ile siku aliyokuwa akiingoja kwa hamu ilikuwa imefika.Party ya kumpongeza ilifanyika huko Enugu kwenye makazi yake, na baadae alitoka pamoja na marafiki zake kuingia kiwanja kula bata.

MAMA GEE, MERCY JOHNSON WAZICHAPA KAVUKAVU


Wasanii wawili wenye majina makubwa kunako ulimwengu wa filamu wa Nollywood, Patience Ozokwor a.k.a. Mama Gee na Mercy Johnson ambao wamekuwa na ugomvi wa muda mrefu, wamepigana hadharani na kuzua gumzo kubwa miongoni mwa mashabiki wao kutokana na kitendo hicho. Tukio hilo lililoelezwa kuwa aibu kubwa Nollywood, limetokea huko Ogwashi Ukwu, jimboni Delta, Nigeria wakati wakirekodi filamu.

Kwa mujibu wa mashuhuda, ugomvi huo ulianza baada ya Mercy kumtupia kauli mama chafu mama Gee wakati akiigiza, na kumwambia kuwa uwezo wake umeshuka sana na angeiharibu filamu wanayorekodi. Kauli hiyo ilijibiwa kwa hasira na Mama gee aliyemwambia Mercy yeye bado ni mtoto mdogo na hawezi kumfundisha lolote kunako game. Sekunde chache baadae wawili hao walivaana miilini, na kuanza kurushiana makonde, kanla ya ugomvi wao kuamuliwa na watu waliokuwa jirani.

Friday, May 7, 2010

amenibarikihash@rocketmail.com

amenibarikihash@rocketmail.com

This is a certified email from "ArcaMax". Learn More.
Wed, March 18, 2009 10:01:54 PM
Thyroid Linked to Heart and 59 Other Diseases
...
From:
ArcaMax   
...
Add to Contacts
To:amenibarikihash@rocketmail.com



Dear Reader:
David Brownstein, M.D., one of the foremost American practitioners of conventional as well as holistic medicine, has some urgent health information that could dramatically affect your health and well-being. Please take a moment to read his information below.

Dr. Brownstein's Natural Way to Health


Confessions of the Medical Doctor Who Nearly Gave Up

Fortunately for You, He Didn't. See Below How His Story Can Heal YOUR Life

PLUS, get three health books. A $60 value absolutely FREE!
Dear Friend,
Let me introduce myself. I'm Dr. David Brownstein, and I'd like to tell you a story — the story of Ellis, the man I could not "fix."
Even back in the early stages of my life as a family physician, I started to feel uneasy about the type of conventional medicine I'd been taught — you know, prescribing a multitude of drugs to treat a multitude of symptoms.
Well, one night as I tossed and turned (there had been many such nights), I confessed to my wife that I didn't want to be a doctor anymore.
She was stunned!
Yet the truth was, a large number of my patients were not improving. The drugs I prescribed were only treating the symptoms, not addressing the true causes of their illnesses. And to make matters worse, I had to treat the drug side effects with even more medications.
And there was Ellis...
Ellis, age 61, had his first heart attack when he was only 41 years old. He had his first bypass surgery at age 48 and then a second one at 55. Following that, two angioplasty surgeries at ages 58 and 60. He had an 18-year history of angina, and seriously high cholesterol.
Ellis felt terrible. He looked like he was about to die.
He was overweight and had no energy — he was tired all the time. And no matter what I tried, my conventional medical treatment was not helping him.
Fortunately, Ellis survived long enough for me to help him. And that's personally very significant to me.
You see, Ellis was my father.
Just imagine how you would feel, after years and years of medical school and residency, only to find that the very medical training you'd been taught could not help your own father...
In my frustration, I began to search for new ways to help my patients, including Ellis.
About David Brownstein, M.D.
Dr. David Brownstein is a Board-Certified family physician and is one of the foremost American practitioners of holistic medicine.
He is a graduate of the University of Michigan and Wayne State University School of Medicine. Currently, he is the Medical Director of the Center for Holistic Medicine in West Bloomfield, MI.
Dr. Brownstein has authored eight books on natural health:
  • Drugs That Don't Work and Natural Therapies That Do!
  • Overcoming Thyroid Disorders
  • Overcoming Arthritis
  • The Miracle of Natural Hormones
  • The Guide to Healthy Eating
  • Salt Your Way to Health
  • Iodine: Why You Need It, Why You Can't Live Without It
  • The Guide to a Gluten-Free Diet
In addition, Dr. Brownstein has lectured internationally to physicians and others about his success in using natural hormones, and nutritional and holistic therapies in his practice.
A chiropractor I happened to meet did me a great favor I can never repay. He introduced me to a book by famed natural healer Jonathan Wright, M.D. entitled Healing With Nutrition.
Inspired by Dr. Wright's success in using natural therapies to treat and prevent illness, I focused on the chapter in this book that discussed heart disease (because of Ellis, of course).
And eventually, I discovered new, natural therapies that weren't taught in medical school. I began to devour more and more research on the true causes of heart disease (and many other conditions).
What I discovered not only kept Ellis alive for a number of years, but also helped him thrive. And it all started with a little gland that weighs less than an ounce.

Lifesaving Secrets of
Your Neglected Thyroid Gland

Your thyroid is a small butterfly-shaped gland in the lower part of your neck. Small as it may be, the single teaspoon of thyroid hormone it secretes each year must drive the metabolic rate of every individual cell in your body.
After all the research I'd done, I suspected that Ellis could have a sluggish thyroid. So I performed a test of his TSH level, the test most physicians perform to check the thyroid.
It was normal.
I could easily have stopped there, as many doctors do. But I didn't.
I checked other thyroid hormones, which were not up to par, and Ellis' basal body temperature, which was low (another sign of underactive thyroid functioning).
Plus, Ellis demonstrated other symptoms of hypothyroid, including weight gain, fatigue, dry skin, and constipation.
Well, to make a long story short, I started Ellis on some natural thyroid hormones, and also balanced some of the other hormones in his body (including testosterone).
His improvement was shocking!
His 18-year history of angina resolved in just one week. His cholesterol dropped to less than 200 — with no change in diet (to my consternation).
He lost 25 pounds in just a few short months. His symptoms improved, and he no longer looked as if he was going to die.
Ellis was my first "test case" in natural therapies.
When I saw the rapid and specific improvement in his condition, I knew I could continue being a doctor — but this was the kind of medicine I would pursue from that moment on.
Perhaps you're wondering what the thyroid gland has to do with heart disease...

The Link Between Thyroid Imbalance,
Heart Disease, and at Least 59 Other
Symptoms and Conditions

Coronary artery disease is the #1 killer in America.
I'm sure you're aware that high cholesterol has been implicated as a major cause of death due to heart disease. That's why, if you have elevated cholesterol levels, your doctor may be quick to write you a scrip for a cholesterol-lowering statin drug.
What you've probably never been told is that, for over 70 years, research has shown that hypothyroidism makes you vulnerable to high cholesterol levels. So here's the $64 million question: What if your elevated cholesterol is only a symptom of another problem — an underactive thyroid?
That makes the consequences of undiagnosed and untreated thyroid imbalance staggering ... because over time, hypothyroidism will make you susceptible to coronary artery disease, as well as numerous other conditions related to an underactive thyroid gland. At least 59 of them!
While hypothyroid may affect as much as 40% of the population (maybe even you), there is also the reverse condition: an overactive thyroid called hyperthyroidism.
Because your thyroid function is so crucial to your health, I want you to have a copy of my book Overcoming Thyroid Disorders — absolutely free (I'll show you how you can claim yours in just a minute).
In this 256-page, easy-to-read ("plain English") book — full of actual case histories — you'll see how it's impossible to achieve optimal health when you have a thyroid problem.
Plus, you'll discover:
  • How common blood tests only reveal a miniscule 2 to 5% of people who actually have thyroid problems (Warning: if you've received "normal" lab results in the past, they could be wrong)...
  • How a thyroid imbalance could be to blame for infertility issues (You or someone you care about could be spending thousands of dollars for help with conceiving, yet the "fix" is simple and cheap)...
  • The secret link between hypothyroidism and two modern epidemics: fibromyalgia and chronic fatigue syndrome (Imagine saying 'goodbye' to feeling tired and achy — permanently)...
  • Why the most frequently prescribed thyroid medications are NOT effective (Plus, why most doctors won't give you the best thyroid hormones available)...
  • 12 signs and symptoms of an overactive thyroid (I guarantee you'll want to know if your thyroid could be working 'overtime')...
  • The little-known connection between hyperthyroidism and autoimmune diseases (Including rheumatoid arthritis, Crohn's disease, lupus, multiple sclerosis, ulcerative colitis, and many more diseases you or a loved one may suffer from)...
  • How a gluten-free diet can truly be a godsend for those with thyroid or autoimmune disease (Please don't throw 'fuel on the fire' when the solution is so simple)...
  • Why natural testosterone is such an important part of hormone balancing (Ladies, don't make the mistake of thinking this is just a men's issue)...
  • The risks and benefits of hormone replacement therapy (Essential knowledge for both pre- and post-menopausal women)...
  • 6 easy steps to improve your diet (Plus, you'll help overcome obvious or hidden thyroid illness, too)...
  • 2 ways to test yourself for heavy metal toxicity (And how to remove any offending toxins in a simple 5-step process — for your own peace of mind)...
  • How to tell if you're vulnerable to dangerous blood clots — and what to do about the risk (Hint: low-dose aspirin is NOT the answer)...
  • And much, much more...
But here's the good news...
I want you to have my book Overcoming Thyroid Disorders (a $19 value) — absolutely free. We'll even ship it to you at our cost.
Not only is the information you'll find between its covers essential to your healthy life, but it's the best way I know to introduce you to my brand-new newsletter, Dr. David Brownstein's Natural Way to Health.

Not Just Another Health Newsletter

The best medicine certainly doesn't come in bottles... In fact, the best medicine is — information.
As a charter subscriber to Natural Way to Health, you'll grab priceless information that can make a crucial difference in your own life — and that of your loved ones.
Each monthly issue of Dr. Brownstein's Natural Way to Health will include:
  • Comprehensive Reports. Each issue will include one in-depth (but easy to read) report focused on a vital and timely health topic. You'll gain a crystal-clear overview of the most promising holistic and medical strategies to help conditions such as:
  • Arthritis and autoimmune disorders
  • Thyroid disorders
  • Depression
  • Heart disease and elevated cholesterol
  • Hormonal disturbance (in both sexes)
  • Fibromyalgia and chronic fatigue syndrome
  • Osteoporosis
  • Gastrointestinal disorders
  • Breast and prostate cancer
  • And many more
  • Healthy or Hogwash? Just like me, I'm sure you hear news reports about various health issues on a daily basis. Which ones should you believe? Every month, I'll discuss several recent health items in the news, and share with you my insights on whether or not what you've heard is the real truth — or not.
  • Case Studies. After treating thousands of patients with integrative health programs combining the best of the medical and alternative health worlds, I have developed a massive collection of case studies that I'm eager to share with you. You can use this real-world information to better your own health, and to prevent making some of the mistakes these patients made before they came to see me (many of them at their absolute wit's end).
Here's a sample:
Katie, age 54, suffered from severe fatigue for six years. "I go to bed tired, and I wake up tired," she lamented. Also Katie complained of other symptoms of hypothyroidism. She said, "I can't believe how I look. I feel like someone took a bicycle pump and blew up my face. Also, my hair is falling out and my skin is extremely dry no matter what I do to it." Katie's blood tests revealed significantly elevated TSH and a very low T3 level, indicating a hypothyroid condition. Within two months of treatment with Armour thyroid, many of Katie's symptoms were markedly better.
Even my friends were commenting how much better I looked. They all noticed that I looked like I had lost weight. I did lose a few pounds, but I think they were noticing the difference in my face. It no longer looks swollen," she reported.
Katie also reported a return of her energy level when the hypothyroidism was appropriately treated. Katie sent me a 'before and after' thyroid hormone picture of her face, where the difference in the puffiness of her face can clearly be seen. I have used these pictures to educate others about how an individual's face can look when they are suffering from hypothyroidism.
  • Nutritional Strategies. Sometimes it's the little things that make big changes in how great you can feel. That's why I feel you must know the truth about what you're feeding your body. Discover the little-known facts about such simple things as iodine and salt (the right kind of salt), grains and gluten, carbohydrates, and more.Learn how to shop for and prepare healthy meals, even make your family's favorite foods better for them...
  • Questions & Answers. Find out the correct answers to the most commonly asked questions that impact your health.
By now, you might be wondering if all this valuable health information will cost an arm and a leg, but don't worry...
Special Limited-Time Charter Offer:
Get 3 of Dr. Brownstein's Best Selling
Health Books FREE A $60 Value!
I'll admit it — I'm a bit biased, but I recommend you subscribe to Dr. David Brownstein's Natural Way to Health newsletter right away. That way, you'll become privy to hundreds of the holistic healing tips, tricks and strategies he's gained over the last 20 years.
And especially when it's so darned affordable...
Your investment in a one-year trial subscription is only $49, just eleven cents a day. Plus you get 3 of Dr. Brownstein's best selling books absolutely free.
And here's where it gets even better. As a new subscriber...

You Get 3 FREE $19.95 BOOKS With Your Risk-Free Trial Subscription
(A Super $60 Value!)

sd4
With your risk-free trial subscription, you'll receive 3 FREE BOOKS courtesy of Dr. Brownstein and Newsmax (a total value of $60):
Free Book #1:
Overcoming Arthritis
Free Book #2:
Overcoming Thyroid Disorders
Free Book #3:
Drugs That Don't Work and Natural Therapies That Do
In fact, we'll rush all 3 of them to you and even pay the postage for you, too.
The value of these books really discounts your subscription by a whopping 75%!
You've already heard about some of the health gems you'll find in Overcoming Thyroid Disorders.
In your second great free book, Drugs That Don't Work and Natural Therapies That Do, you'll see why some of the most commonly prescribed drugs may be harmful to your health ... and why you should consider natural therapies in your treatment program for these six common obstacles to wellness:
  • Elevated cholesterol levels — discover how you can lower your cholesterol naturally...
  • Osteoporosis or brittle bones — see how to maintain healthy bones without inflammation-causing drugs like Fosamax® and Boniva®...
  • Stomach problems like heartburn, reflux and ulcers — see why antacids should be used only as a last resort...
  • Depression — discover how to raise your serotonin levels through diet and amino acid supplementation — the natural antidepressant treatment...
  • Inflammation — see numerous simple and natural alternatives you can use to relieve the pain, stiffness, and other symptoms of arthritis...
  • Imbalanced hormonal system — learn how to safely balance your hormonal system to improve your well-being, slow the aging process, and even reverse many chronic conditions...
And in your third free book, Overcoming Arthritis, you'll see how modern holistic treatments can cure arthritis, fibromyalgia, chronic fatigue syndrome and many other common conditions. You'll discover:
  • How conventional medicine does not understand the cause of many chronic illnesses such as arthritis (See how to save yourself from the risks of powerful steroids and toxic chemotherapeutic agents that many doctors prescribe because they don't know what else to do)...
  • Exactly where to go to find help from a doctor trained and knowledgeable about conditions such as hormonal imbalances and natural arthritis cures (Only 1 person in 1000 knows about this valuable resource)...
  • Why the use of antibiotics as a treatment for arthritis has been basically ignored for over 50 years (Don't be hoodwinked by the use of cortisone instead — avoid its adverse effects, including cataracts, osteoporosis, diabetes, high blood pressure, and many more)...
  • Two tests you must have done if you have a chronic illness such as arthritis...
  • The single hormone found significantly lacking in nearly 100% of people with autoimmune disorders such as ulcerative colitis, rheumatoid arthritis, lupus, M.S., and many others (Plus, how you can find a pharmacist trained in compounding natural hormones)...
  • How joint stiffness — especially early morning stiffness — is one of the cardinal signs of dehydration (And how, if you have a chronic disease, you are almost guaranteed to be dehydrated)...
  • Why fibromyalgia, with its severe muscle pain, is such a difficult condition to treat (And nearly impossible to overcome unless this one factor is addressed)...
  • Dr. Brownstein's specific recommendations (with dosages) for nutrient deficiencies...
  • How to test and treat for heavy metal toxicity (Great to boost your immune system — and imperative if you suffer from chronic illness)...
  • Plus, many more health-saving tips and strategies...
All three easy-reading books are yours FREE with your risk-free trial subscription to Dr. David Brownstein's Natural Way to Health. Just so you know, this is a limited time offer — only available to our new subscribers, so order today!
However, I wouldn't wait ... you must subscribe immediately to be eligible for your 3 FREE BONUS BOOKS offer.
But along with the savings and book bonus, here's something else that should put your mind at ease...

You Don't Risk One Red Cent

You're fully protected by my iron-clad, unconditional money-back guarantee.
At your leisure, read over your brand-new newsletter Dr. David Brownstein's Natural Way to Health. You can get it in print form or via e-mail, your choice.
Take what you discover to help yourself and your loved ones. If you're not absolutely thrilled with the health-recharging information you'll find in each and every report, just let me know within the first 90 days.
You'll get every cent you invested refunded back to you, no questions asked. (After 90 days, you'll still qualify for a pro-rated refund of any unused portion of your subscription.)
Either way, you can keep any Free Books you received with my thanks, just for giving the newsletter a try. How's that for fair?
The next move is up to you. I've shown you that your trial subscription is as risk-free as possible. And I suspect that if you've read this letter, you're seriously interested in bettering your health and the health of your loved ones. All that's left now is to take action.
Don't miss out on this time-limited offer.
To Your Lasting Health,
3
Dr. David Brownstein,
P.S. Claim your FREE $19.95 book Overcoming Thyroid Disorders today! Plus, you get two other FREE books: Drugs That Don't Work and Natural Therapies That Do and Overcoming Arthritis (a full $60 value for all three books) with your no-risk trial of my new newsletter — a Newsmax exclusive. Subscribe today and grab 3 Free Books!



To unsubscribe from future Newsmax.com offers, please click here
Newsmax.com, 4152 West Blue Heron Blvd, Ste 1114, Riviera Beach, FL, 33404
 

Manage Your Subscriptions
You are currently subscribed as amenibarikihash@rocketmail.com.
To unsubscribe from this newsletter, please notify us here or visit https://www.arcamax.com/cgi-bin/custacct.
ArcaMax Publishing, Inc., 729 Thimble Shoals Blvd., Suite 1-B, Newport News, VA 23606 | FAX (757) 596-9731
Copyright © 2008 ArcaMax Publishing, Inc. All Rights Reserved.

THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 1

Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 “Ngo! Ngo! Ngo! Fungua!” “Nanii?” “Fungua!” “Jitambulishe kwanza, wewe nani?” “Nimese...